Ads 468x60

Sunday, July 17, 2016

GUESS WHO IS GETTING MARRIED

Fransisca : The Dragon Queen

Born in the Chinese year of the Dragon.

As the noble animal symbol that represents the Chinese emperors, Dragons are born leaders and masters of ceremonies. And because of this, every Chinese parent is hoping to have a Dragon child. Dragon people get things started and keep them moving. They are feisty and gifted with power and luck. Most people look up to the Dragon.

Dragons are born monarchs. As far as they can see, their power is indisputable. Dragons are idealists, perfectionists, they are born thinking they are perfect and they are inflexible

Irritable and stubborn, the Dragon is a real big mouth and their words often outrun their thoughts. Nevertheless, their opinions are worth listening to and their advice is always good. People do, in fact, listen to them and their influence is considerable.

Angela: The true Angel

Born in the Chinese year of Pig.

Pigs are models of sincerity, purity, tolerance, and honor. When you first meet them, Pigs seem too good to be true. They are careful and caring, obliging and chivalrous. Put your trust in them, they won't let you down and they will never try to.

The Pigs simply want to do everything right. Pigs are the people everyone admires most. Make a list of the Pigs in your life: aren't they the nicest, most loving and scrupulously caring people around?

Anna! The Mistress

Born in the chinese year of The Snake.

Snakes have always been the seducers of human beings. If you know the story of "The White Snake", you will understand what I mean. In reality, Snake people are born charming and popular. Snakes are spotlight magnets, and they will not be ignored.

Peer group attention and public recognition are the least of what they expect. Yet Snakes are never noisy or deliberately outspoken, and they have have excellent manners.

Most people are secretly or hopelessly in love with Snakes. Gather those frustrated folk you know and most likely, they are probably in love with a Snake. Irresistible as they seem, the Snake never wastes time in idle gossip. They think often and deeply. They are an intellectual, a philosophers, a cerebral person.

Snake people rely heavily on first impressions, on their own feelings, on their sympathies, rather than on facts, on the advice and opinions on others. They seem to have a kind of sixth sense in this way.

Another big flaw in a Snake's character is that, they are capable of biggie lies. White lies, true lies, whatever they call them, though they don't lie often, they do lie when they feel they can get away from it.


Year 2012! Chinese Year Of The Dragon. Catholic Church Liturgical year of Faith.


Sisca amejikalia kwake usiku, usingizi hamnaaa, anahesabu mapaaa tu, mwaka huu anatimiza miaka 32 bila bila, hana mume wala mtoto. Wenzie wote Anny na Angy wameolewa, na familia zao.

She just sat there wondering how and when it all went wrong in her life. Sio kwamba maybe ana miaka hio 32 ana mtu w mda mrefu labda, hataaa, yupo single and ready to mingle.

Mawazo kama atavaa lile gauni la harusi, yana kuwa yakiongezeka shaka siku hadi siku. Ile picha ya siku ya harusi yake ikawa ikienda ikififa. Humo mawazoni hajioni sura yake kamili anaona vivuli tu, maana ndo dalili za kukata tamaaa tena hivooo.

If he meets a guy and he thinks this is him, kama hana pete kidoleni ujue shogaaaa, kama sio shogaa marioooo, au wale watu single na baby mama wa 2 au 3. Duuuuuuuuuuu! Ikawa mtihani kweli kweli Akaanza kuamini tu huenda wanaume wameisha kweli si masihara.

Akawakumbuka wale wooote walio mngangania aolewe akiwa na miaka 25. Akawakumbuka sanaaaa. She thought it would be tough then but not this tough. Akapata wazo maybe aze tu na mume wa mtu awe single mom, manake umri nao unamkimbia si kidogoo. Lakini hataaa roho inamsitaaa.

Akajiambia nisipozaa kufumba na kufumbua i will be 42 and regret why sikuzaa mapemaaa like now. Nizae tu, nangoja nini sasa. Akakumbuka mistari yake ya biblia anayoisimamiaaa miaka yote Mungu ampe Mume mzuriii,mume watakaye endanaaa. Akaiwaza tu, na chembe chembe za doubt zikawa zikimeamoyoni dhidi ya Mungu huyu.

James 1:17
Every good gift and every perfect gift is from above, coming down from the Father of lights with whom there is no variation or shadow due to change.

Psalm 27:14
Wait for the Lord; be strong, and let your heart take courage; wait for the Lord!

2 Corinthians 6:14-17: Do not be unequally yoked with unbelievers. For what partnership has righteousness with lawlessness? Or what fellowship has light with darkness? What accord has Christ with Belial? Or what portion does a believer share with an unbeliever? What agreement has the temple of God with idols? For we are the temple of the living God; as God said, “I will make my dwelling among them and walk among them, and I will be their God, and they shall be my people. Therefore go out from their midst, and be separate from them, says the Lord, and touch no unclean thing; then I will welcome you,

Proverbs 18:22 : He who finds a wife finds a good thing and obtains favor from the Lord

Hebrews 11:6: And without faith it is impossible to please him, for whoever would draw near to God must believe that he exists and that he rewards those who seek him.

Isaiah 55:8-9: For my thoughts are not your thoughts, neither are your ways my ways, declares the Lord. For as the heavens are higher than the earth, so are my ways higher than your ways and my thoughts than your thoughts. Akawaazaaaaaa, na kuwazuaaaa, bado kiza kinene kikawa mbele yake.

ANGELA:

Agela nae akiwa kwake na mumewe kitandani, akawa anawaza na kuwazua yake. Akawaza tu, sawa kaolewa, mumewe ni mchapa kazi, ana biashara zake, ana hela kiasi, wana ishi neighbourhood nzuri, mtoto anasoma shule nzuri sanaa, watu wengi wanatamani wawe kama yeye, but deep inside her heart she is hurt and hurt deep.

Why hurt, siri yake kubwaaa hajawahi mwambia mtu, ni suspect zake ambazo zilikuja kuwa proved with time ni kwamba mumewe hampendi. Hajawahi kumpendaaa. Huo ndo ukweli mchungu. Ilitokea tu she was there, while the guy needed a wife after fatal breakup. Akakubali kuolewa hoping things will change over time but they didnt.

Akajua pale alipomzaa mtoto wao wa kwanza angeuteka moyo wa mumewe, na akaomba sanaa Mungu ampe mtoto wa kiume, lakini ikashindikana akajikuta kapata mtoto wa kike. Na mume alibadilika kidogo ila akarudia hali yake na kumfanya aishi empty as usual.

Tatizo lingineni swala la mumewe kutaka watoto wawili 2, jinsia yoyote itayoletwa na Mungu ni hao hao basi. Na hilo swala kamsisitiza mara kibao. Na wa kwanza alishazaa wakike vyovyote itakavyokuwa itatakiwa azae wa kiume. Hili limesababisha atoe mimba 3, sababu zote zilikuwa watoto wa kike na kumdanganya mumewe ni miscarriage za kawaida. Hili lilimtesa sanaa usiku, mpaka kuna mda kawaza kujiua, sema akimkumbuka huyu mwanae anavumilia.

Kikubwa kilichomfanya afikirie kuwa mumewe hampendi ni sababu their sex life is terrible. Mwanaume hana mzukaa kabisaaaa. Mpaka adai yeye tendo, tena kwa kubembeleza. Akaanza kuhisi mbali sanaa. Ila katika peleleza pelez yake akagundua mumewe anaendelea na gf wa zamani ambae walivoachana ndo akaolewa yeye, na huyo dada ni mke wa mtu pia.

Kumuuliza alitmani sanaaa, sema akayaogopa majibu, what if akimwambia ndio kweli na anampenda yule dada sanaa, kama vipi waachane atafanyaje? Hayupo tayari kuwa divorced, Au mwanae alelewe na mama mwingine. Familia hakuna talaka, hamna aelitalikiwa and her mama raised her better than that.

Kutafakari akaona bora tu ajifanye mjinga, ndoa iendeleee. Maybe and by maybe it means MAYBE fate will be kind mbeleni na yule mwanaume atajua nani ni bora kwake na mambo yatabadilika. Maisha yake ni ya kuishi kwa matumaini na kuingoja kesho maana leo ishaingia shubiri.

Kwa mumewe akawa na adabu zote, mtu wa maneno machache, hata akidanganywa safari anajua tu wapo hapa hapamjini anajinyamazia tu, akirudi anampa pole, Mtu wa kwenda kama hayupo ila yupo

Akajitafakaria tu mpaka lini hali hii. Akatafakari maybe aondoke na yeye kama Anny huenda akapata mtu mwingine wa kueleweka na akawa na furaha kama Anny lakini akaona she is not that strong. Kama ameweza kuvumilia miaka yote hio what is 1 more year? Akakata shauri aendelee kucheza the fools card.

Anny has always been a beauty, breath taking beauty. Kila mtu alikubali kuwa yeye ni mzurii mnoo. Mpaka mama yake akawa anawakere ndugu zake kwa kujitapa pale kwa Anny kazaa,kama mtoto tu, palekwa Anny alitulia kumzaaa. Na kila mtu kamkubali Anny ni mzuri.

Uzuri huu umemrahisishia sanaa maisha, kazi kapata kiurahisi, chochote akitakacho hajawahi kosa maishani mwake. Watu ni wakarimu kwake sababu ni mzuri sanaa, ofisini ana mashostiii kibao sababu wanapenda campani yake. Katembea hoteli nyingi mnooo, kafika sehemu nyingi, kala vingi sababu tu ya uzuri huu. Akawaza wazo linalo mjia siku zote, je asingekuwa mzuri angeishije ishije? Akamshukuru tu Mungu kwa uzuri wake.

Uzuri una gharama zake pia, umemcost vingi, ikiwemo kuolewa akiwa bado mdogo sanaa,miaka 23,na bwana wake wa chuo, waliomaliza wote. Sababu watu wengi walikuwa wnavutiwa nae, bwana wake huyoakaona amuoe jumla haraka haraka yeye Anny akiwa na miaka 23, na mwanaume akiwa na miaka 25.

At that time she was young, restless, and she thought it was cool, atasifiwa kama kawaida, kapendeza sanaaa, kaolewa mdogo, et. Ndo ikafungwa kanisani despite mama yake kumsisitiza huyo mwanaume hana kitu, ana jilostisha tu, angoje aende maofisini akapate maboss. Mama yake akijisingizia ugonjwa asiende tu kwenye hio harusi.

Pamoja na yote alimpenda sanaaa BF wake, na alikuwa mzuri, so wakiwa wote wanasifiwa ni wazuri sanaa. kila mtu alitamani kuwa yeye. The beauty of it allshe always cheated on him, so hata kwenye ndo she knew she will be a serial
cheater!

Too bad do hii ili dumu mwaka tu, na kuvunjika kiutani utani. Kikubwa kilichomshinda ni ugumu wa maisha na kumsikiliza mama yake. Mwanaume hakuwa na kazi nzuri, na familia yao haikuwa na uwezo mkubwa, ikawalazimu kuishi nje ya mji, maisha ambayo ni ya kawaida sanaaaa. Sasa Anny kwa ushangingi wake akapata kazi nzuri sanaa kwa wazungu, akajitahidi kumsihii mumewe wajitahidi kuishi kizungu maisha ya juu, ya kifahari kwa yeye Anny kugharamia.

Mumewe akaleta msimamo waisi maisha ya uwezo wao, uwezo wa mwanaume, hawezi kulelewa na mkewe. Anny kampenda na hayo ndo maisha yake inatakiwa arizike. Ukijumlisha na kelele za mama mkwe zaa, zaa, wajukuuu, zilimtibua kabisaaa akaweka vijiti 5 kisiri siri ikawa malumbano hayaishi na ndugu wa mumewe.

Huku kazini akaja mteja ana hela zake za maana, akamuelewa Anny, Anny akaacha kuvaa pete, akamwambia yupo single. Wakaaanza yao. Huku na huku mteja akamwambia Anny waishi wote Masaki kwenye apartment yake. Akaenda kwa mumwe kumuaga, ndoa imeishaaa. Mumewe akajua Anny anatania atarudi. Ndo hivo.

Mume akajua anaishi na kibuzi, kaita kikao cha familia kasamehe yote Anny arudi kwenye ndoa, Anny kasema sirudiii. Nimefika huku Masaki. Mumewe ana kazi ya kumbembeleza kila siku arudi, ndoa yao ya kanisani, haifutiki. Mume hajaoa mpaka kesho anamngoja Anny arudi nyumbani, anajua ni ulimbukeni utamuisha lakini hata wazo hanaaa.

Huyu pedeshee wa Masaki ni Mnamibia, kaishi sanaa nje, na bongo ni consultant wa multinational moja kubwa sanaaa, na anampenda Anny hakuna mfanowe. Ni aged kampita kama 12 years so ana mtreat kama kitoto. Atachotaka anampa. Na mda wote ni kumdekezaaa tu, kama haamini umri ule kumpata mtoto kama yule.

Na Anny anajua kupendwa na kupendeka. Basi ndo anamkolezaaa Daddy hakuna mfanooo. Kama mahaba ana mu overdose. Ile kupay attention, dady unkula nini, dady hapendi hiki, dady anependa hiki basi lazima kiwemo mezaniii. Dady ana meeting lazima suti ziagizwe mpya, daday ana homa, Dr. ataletwa kumpima kila kitu, simu za kumkumbusha Dady umekunywa dawa ni muhimu.

Japo kuna sehemu ya moyo wake ikawa inawaza huenda huyu Dady ana mke maybe familia huko kwao. Hakuwai kumuuliza, wala dady hakuwahi kusema, wakawa wanaishi tu kiutu uzima wanaelewana. Hakuna kuuliza lolote, wala kijibiwa lolote. We are here now lets love each other.

THE WEDDING BELLS!

Siku hio wote wakawa wamkutana kwa Daddy kumfanyia surprise Anny. Wakawa wana hamu ya kujua ni surprise gani safari hiii, maana daddy kwa surprise hana mpinzani. Alisha msurprise gari, akamsurprise birthday, akamsurprise shares, yaani kwa hawa wawili surprise haziwaishii kiukweli.

Basi kufika wakakuta Decor, na watu wa catering, wakawa wanajiandaa na hio surprise. Anny karudi wak msurprise akafurahi kinomaaa, wakala na kunywa hatariii. Akawwambia mashostize huyu dady leo ananisurprise nini, ukute ndo ananitimua kwa party hahahaaaaa.

Mda ulipofika Dady kapiga goti, na pete ya tanzanite will you marry me Anny? Akatoaje Yes fastaaaa. atu wote wakashangilia kasoro Sisca, ambae aliwaza na kuwazua ndo ya 2 hio kwa shoga ake yeye hata moja bado. Akawa anatamani kumfuahia shoga ake ila furaha hanaaaaa.

Basi Anny ndo kukeraa ni vipi sasa, engagement mda huo huo ashaanza i want a beach wedding, oooh my God, i always wanted a beach wedding. Or we can go and marry in Dubai kama wanaigeria, au Paris, oooh my God. This time i can afford a designer gown, who shoul i wear? Vera Wang? or Valentino? I dont know.

Sisca akaondoka mdogo mdogo na mawazo akiwaza dunia ilivo na upendeleo. Hakupata usingizi kabisaaaaa usiku huo.

Angy akarudi kwake akiwa kasahau kama hakumuaga mumewe, akajua mumewe hatogundua hata kama kachelewa wala hatojaliii hata akijua. Kinyume na matarajio yake kamkuta kuraaa kam Cobraaa. Ulikuwa wapi, mwamke gani hujafundwa, ndio nini sasa? Akawa kashavurugwa na ishu ya Anny kuolewa tena na yeye kuishi kwa manyanyaso afu mwanaume anamwambia nini.

Akamjibu tu, nilikuwa kwenye engagement ya Anny, samahani sikuaga. Mume kaja juu kama moto wa kifuu, ndo anakwambia na wewe uiache hii ndoa yako upate mwanaume mwenye hela sio, sasa sikia rudi huko huko kwa Anny hapa kwangu sikutaki tenaaa! Khaaaaa! Akamjibu tu, wewe kama umeamua kurudiana jumla na ex GF, mmeona ku cheat haiwatoshi, kunifanya mimi mjinga haitoshi, sema tu ni mambo umeamua, wala usimsingizie Anny, wala usifanye kuchelewa ndo sababu. Mi naenda kulala na nitaendelea kujifanya sioni kama kawaida. Mwanaume akashtukaaa, na kupoa ghaflaaa! Baada ya mda akajikusanya kusanya eti Ajitia kukanusha. Hisia hisia zako hizo zitakuponza, mimi mke wa mtu wa nini wakati nina mke wangu wewe apo.

Akwambia wewe jua mi najua, na sijajua leo wala jana, safari zako zamikoani bahari beach nazijua zooote. Nimemuachia Mungu, iko siku Mungu huyu huyu ninae muabudu atakuabishaaaa Mchana kweupeeee jua linawakaaaaa. Na mimi nitakuwpo hapa hapa kushuhudia ukiumbukaaaa. Mi nalala sitaki maneno.

Mwanaume akaingia kabatini akaweka nguo zake kadhaa akaondoka usiku huo wa saa 7. Angy akajua tu ndoa ndo imeishia hapooooooooo! Akajilazaaa tu akihesabu paa, hata lepe la usingizi halikumpitia.


More and more mystrey!


Siku hio ana hili wala lile, kaenda kwenye meeting Sisca, akaona akae restaurant ya hapo hotelini amngoje Angy, manake jana yake alimwambia the marriage is so bad, she knew the marriage was on the rocks before, but it could be the real end this time.
Akawa anamuonea huruma Angy, how she is bottling up every thing, and trying to hold on over the years. Akawa anawaza na kuwazua. Aksikia habari yako, can i give you company! Kucheki hivi mkaka wa maana, kapiga suti, and there was some ellegance and class about hima akajikuta tu kawa mkarimuuu.

Kutambulishana akamwambia yeye ni lawyer, kumcheki kidoleni bonge la peteeee ya ndoa, akajua tu ngoma ya kitoto haikeshi. Basi wakaongea ongea na nini, wala haa hakumficha, akamwambia tu, yuko married with 2 kids, mkewe anafanya kazi bank. Hivo yaani.

Basi baadae Angy akawa kaja, yule kaka akaaga akamuachia business card yake. Akaipokea akawa tu kaiweka mezani. Basi Anny anamwambia waoooh, he is cute, so cute jamaniiii. Akamjibu tu he is married as shit. Angy akatikisa kichwa tu.

Ndo kumpasha kuwa jibaba limehama nyumbani siku ya pili, yupo mwenyewe na mtoto. Bado hajapata akili afanye nini. Yani network bado haijarudi kabisaaa. Akawa anamwambia tu ningeondoka ila ada zenyewe ghali sanaa, afu mwanangu atateseka sanaa, maana hawa wanaume kama wa kwangu ukisema uondoke akufate utachora chini, labda anaombea leo kesho niondokeee, kuondoka ndo nimemrahisishia kazi.siondoki pale, kodi atalipa na ada atatoa. Hata kama hanitaki najivictimise yeye ndo mkosefu, mi namwangalia tu.

Sisca akamwambia sasa shoga si utaborekaaa, ujana unakupita waiting in vain for some one you are not sure. Bora utafute kazi uwe unatoka asubuhi umeoga angalau na kupendezaaa, walau utakutana na wanaume wengine na watu wengineee, kuliko kukaaa nyumbani unawazaaa tu, utapata alcers. Angy akaona hilo litakuwa swala la msingi sio kidogo.

Wakakata shauri wamwambie Anny aongee na dady kazi ipatikane, maana ana network kubwa. Anny akasema haina neno atampanga Daddy kama kwaida, haitoshindikana jambo. Wakiwa wanaondoka Sisca akaiacha ile business card pale mezani. Angy akamkumbusha umeacha business card ichukue tu, huwezi jua, akamwambia achana nayo. Drama drama za side chick siziwezi. Mburaaaaah! Wakaondoka wakiwa wameiacha pale mezani.

Angy kufika nyumbani, dada wa kazi anamwambia Baba karudi yupo ndani! Mmmmmmh! Nini? Baba karudi yupo ndani. Eeeeeehhhhhh! Hajaniulizia? Kakuulizia nikamwambia umetokaaa. Tobaaa! Ngoja niende huko ndani. Akafika za mda baba flani. Salama tu mama flani, nimerudi. Akamjibu nakuona umerudi, karibu sisi tupo. Mumewe akamtwanga swali, huniulizi nilikuwa wapi? Akamjibu aaah bwana nikuuulize ulikuwa wapi, hapa kwako bwanaaa unakuja mda wowote unaojisikia na kutoka mda unaojisikiaaa, mtu chake, hata ukikuta mlango umefungwa we vunja tuuu, si wako bwana unaulipia kodi, hakuna atakae kuuuliza. Kweli mke wangu unanijibu hivooo?

Sasa nikujibu vipi, sio kwako hapa? Wewe mtu mzima. Ukienda mahali umeamua sio mtoto kama huyu Melissa wetu useme anakosea nimkanye, au hajui alitendalo, wewe ukifanya lolote ni maamuzi binafsi tu. Nishakwambia knock your self out. Mi wala hunistui, siku ingine kaa mwezi, kaa mwaka utajua mwenyewe ukirudi utanikuta hapa nafanya kazi yetu ya kushirikiana kumlea huyu mtoto, sababu kesha kosa baba, inabidi niwe baba yake na mama yake, nitafanyaje sasa.

Mwanaume akakaa kimyaaa kwa mda. We endelea tu na huo mdomo wako, iko siku utakipata unachotafutaa, nitakupa unachonitafuta. Akataka kunyamaza ila akaona vimemkaba sanaaa bora tu atapikeee. Nachokitafuta kishakushinda siku nyingiiii sanaaa kunipaaa, sema vile nina roho ya kuridhika navumilia.

Mi namna hii nyumba itanishindaa, unakuja nyumbani uwe na furahaaa, amani, upendo inakuwa majunguuu majunguuu na kashfaaa! Mi mambo ya uswahili sipendiiiii. Vitu unahisi hisi tu ndo kujiaminishaaa moja kwa mojaaaaa. Hivi huwazi maybe just maybe there is 0.0001 chance you are wrong amd it is all your imigination? Hivi ukijua umenikosea sanaa utafanyaje? Mwanaume kabwatukaaaaaa. Angy kaamua tu kumpa jibu la mjinga ambalo ni kumkalia kimyaaa.

Anny akawa kamtext kazi imepatikana ofisini kwa Dady. Akaona asimtibue zaidi yule mwanaume atampa hio taarifa ya kuanza kazi siku ingine.


The power of new beginings!

Anny aakawa yupo busy planning the big day, akawa kashaongea na dady aende U.s kuangalia designer colections za msimu huo. Daddy akawa kakubali kabisaaa. Na akawa ana debate afanye beach wedding au destination wedding.

Wakawa wamekutana for brunch kujadili what colors, sare, decor na mambo kama hayooo. Basi wakajadili pale sababu hela ipo, kila kitu kikawa kinaenda fresh. Baadae ndo kumuelezea ile kazi ipo ofisini kwa dady. So atalipwa vizuri, na hakutokuwa na ishu yoyote wala nini.

Angy ndo akamwambia Anny, Sisca met this guy he was cuteee! Way too cute sema kampotezea coz he is married. Anny akawa anampa tu, we jilegeze utazeeka nyumbani, ndoa kwa mkewe kwani wewe tatizo lako nini? Kama ingekuwa yeye Anny, anavoona angeungana na Johny deep kwenye usemi wa "If there is a man who is inlove with 2 women, and has to chose, he really loves the second because if he loved the first he will never have noticed the second. So anachezea bahati, mtu anaweka ndoa yake kwenye line ili wawe wote bado anaona hiko ni kitu kidogo olaaaaaaaa!

Wakaongea pale na kuhusu mume jeuri wa Angy, akawa anawaambia siku hizi namjibujeee, nampa za uso, hata simuogopi, akinianza tu nammalizia. Hahahaaaaaaa! Wakacheka. Anny akamwambia wewe jibu sanaaa tu, siku ukute bag yako iko nje. Hahahaaaaaa! Akamwambia weeeee, navunja mlango. Asintanieee.

Baadae wakaagana kila mtu akarudi ofisini, Angy akarudi nyumbani kumpeleka mtoto piano classes. Sisca kufika ofisini akaambiwa kuna mgeni wako alikujaa. Akajua wa kikazi. Akauliza nani, akambiwa flani! The maried guy! Akastukaaa! Akauliza alisema anataka nini? Akaambiwa hajasemaa but kasema atarudi tenaaa. Akamwambia akija mwambie sipo.
Mda wa kutoka anashangaa anaitwa Siscaaa, kugeuka the married guy, akajibalaguzaa. Akaulizwa why are you avoiding me? Tuko na tatizo? Akajikosha hapanaaa, didnt know it was you. Basi MBA (Married but available) hakukawiza akamwambia lets go for drinks somewhere. Sisca akamwambia tu, well natamani but i cant , sipendi drama, tunaweza kukutwa tumekaa, nikapigwaa, kutolewa kwenye tabloids, i really pass.

MBA anakomaa sio kihivooo, i just wanna talk and be friends, sipo huko ulipo! We can go somwhere my wife hatogundua. Hiiiiiii! Trust me. Alingangania sanaa akaamua tu aende akasikie hilo la huko. Kufika kule, he was really nice, and she missed company kiukweli. Ukizingatia the guy was hot, watu wanangali mambo yakawa bambam. Tofauti alivohisi ataboreka akajikuta kaenjoy kichiziii. Story hii, story hii,mara wacheze music saa 7 hii hapa. Wakaagana. Ila MBA safari hii alijibipu na simu ya Sisca.

Akarudi home hoiii, akiwa kachangamka lakini full of life. Akakuta missed call 6 za Anny. Akasema atampigia kesho. Mara Anny akapiga, you are such a slut my friend, nimekuja ofisini nilitaka unisindikize mahali, nikakuona na MBA, ooh my God, he is cute, nikajibanzaa tu sikutaka kuharibu picha. Nikawaona mnaongozanaa, please tell me you got laid! You cant pass that di.ck. It is evil! and dispeakable! Hahaaaa! Akamwambia hamnaaa we just talked! Anny anagomba talk what bwanaaa, mume wa mtu ukimpata jivinjari, hana time na wewe jivinjariiii, anakudanganya jivinjariii. Sisca anamwambia it is not good, ana mkewe. Anny anakuja juu mke kitu gani wewe, wewe mambwana wangapi umeporwa mpaka leo hii? Ishu kuporana mabwanaaa. Mke mwenyewe alimpora kwa mtu, wewe unamdokolea yeye, hivo hivo siku zinaendaaa. Hahaaaaa! Wakacheka tuuuu. Anny anamwambia if you werent too proud you could be having a di.ck right now, hot sexy, steamy night, ila sababu ni zobaa lala bwanaaaa. Mi nishaukalia wa daddy round 1 kiuno chote hoiiii nangoja round 2. We lala na kikoko hicho ndo ushaharibu. Hahahaaaa!

Angy huku mume karudi na mshawasha akawa anamwangalia tu, mume kakumbuka zawadi ya mtoto siku hio, anauliza nini kimeisha kwenye friji, rangi imechakaa hii, kesho nitamleta fundi sijui nini. Sababu anajua atamtibua na kwenda kazini asubuhi, akaona usiku huo ampozee kwanza. Basi akawa ane anacheka na kujiongelesha, kama yamekwisha kabisaaaa. Hadi wanataniana.

Akwa anawaza tu, kweli siku hazifanani, siku zingine Mungu anakuona kama hivi, siku zingine shetani anakukalia kooni basi tabu tupuuu. Hapa mambo yakienda vizuri huenda nikapewa mechi leo, sijuiiii, ngoja nijioneee. Akamtengea chakula fresh, basi anasifia hiki chakula umepika mke wangu kitamu sanaaa, unajua kupikaaaa.

Hakufanya ajizi wala nini, kaenda kuoga fastaa, kajifukizaa marashi, akataka kuvaa bikini set akaona akishushuliwa ataumbuka sanaaa. Akaona tu bora avae dira, maana aibu zingine za kiutu uzimaaa. Akawa kajilaza anasoma gazeti la mwaka arobaini na sabaaa. Anazuga tuuu.

Baba la baba kaja, straight bafuni, wala hakuchukua taulo katoka huko moja kwa moja kitandani, kaanza kuushika mzigo mwenyewe bila mizunguko. Sababu nae Angy nae alikuwa kammiss, akaonesha ushirikiano wa hali ya juu. Mechi kali ikachezwa. Kama sio wao waliotifuna juzi. Saa kumi kamshwa tena mzee anataka cha asubuhiii, kama kawaida bila hiyanaaa kaonesha ushirikiano. Baadae baba la baba kaenda kuoga, Angy nae bafuni humo humo, baba la baba akajua mahaba niteketezeaaa, kampa kingine cha bafuni, akajua wakitoka kuoga hoi atalala, ili baadae amuandae mtoto shule, manake yeye anadamka ga sanaa kuwahi kazini.

Wanatoka kuoga anaona mtu anatoa seti mpya ya chupi za maana na sisiria anavaa. Akashtuka kwanzaaa, akaamua akae kimya. Anaona mtu anajipaka mafuta hana stress, akakaa kimya, akaona anajipaka foundation, make up, ikabidi amuulize hizo date zenu za umbea umbea mmenza kukutana alfajiriii? Mbona unavaa, unajiandaa, mimi nitakuja kukukataza haya mambo ya mashoga, alfajiri yote hii unaenda wapi.

Akamwambia mi naenda kazini, nimepata kazi. Mwanaume kadakia nini? Unasemaje? Nimeanza kazi ndo naenda ku report. Hahahaaaa! Akacheka, huo umbea wenu sasa too much mpaka alfajiri au mnaenda kuniloga kwa mganga leo, anajitia kutania tania. Angy akavaa kisuti kifupiii juu ya chupi tuuu, bila tight wala nini. Mumewe anamuangalia tu. Hivi kweli unaenda kazini? Ndio kweli baby nimepata kazi. Na hukuona umuhimu wa kuniambia au kujadili hio kama mumeo humu ndani? Angy akakaa kimya. Sasa mimi mumeo nasema hakuna kufanya kazi. Huli humu ndani? Huvai? Husuki nywele za gharama? Sikupi hela za kuchezea kwenye botiques. Mimi kama mumeo nasema vua nguo ulale hapo, na kulea mtoto.

Angy akajipulizia perfume, akanyanyua mkoba, akamwambia baby tusigombaneee, kuna leo na kesho, leo upo nashukuru sijawahi kupungukiwa, ya kesho anayajua Mungu, kazi ni jamba la neema, tuna mtoto huyu huwezi jua, sikukwambia kwa mambo kama haya, badala ufurahi mkeo naenda kazini, hata ukikwama nitakuwepo kukuboost, lakini ndo hivoo kashfa juu ya kashfa. Mi naenda bwanaaa. Kwa hio ndo unaenda kuanza kazi na bikini tupu ndani ya kimini afu mume nikae nafurahiii, unanikalia kichwaniii si ndiooo, wewe nenda ka resign tu, huu mjadala haujaisha.
Akamuacha dada maelekezo cha kufanya, huyooo ready for the first day in the office.

Tomorrow is another day!

Akafika ofisini, dady akamuuliza unataka kufanya kazi deprtment gani? I am very big here, i can make it happen, akasema tu marketing. Akampigia director of marketing akamwambia our new employeee nakukabidhi, make sure she grows her career. Usimtelekee, give her roals that will make her grow and evolve. Basi anaitikia yes boss mfululizooo. Basi Dady akamwambia incase of anything dont hesitate to tell me anytime.

Kafika kapewa ofisi kubwaaa, kabati, tv. Hr akamletea contract nono. Akasema moyoni tu Anny aendelee kuwa mzuri hivo hivoooo. Mashoga wazuri wana faidaaa si kidogo, kazi zilivo za shida akashukuru Mungu. Akakutanishwa na team, ya hapo wanampa orientation. Mchana akaja Anny kumchungulia, vipiiii? Umepapendaaaa! Akajibu nisipapende tenaaaa, aaaah, najiona nipo kama Mbinguni. Wakacheka chekaaa, akamuonesha sehemu possible za wedding anazozi consider. Basi wakapiga story mbili tatu akamuaga ngoja nikampe Dady cha ofisiniii. Destination wedding sio mchezoooo.

Sisca busy busy kuchat na MBA, kila akisema hii text ya mwishoo, MBA analeta more interesting topics. He had a way of being nasty in a classy way and it was amusing. Basi MBA anamwambia incase just incase ukiamua kunipa ill take you to levels you never been. Akamuuliza tu out of curiosity what levels do you think i never been? Akamjibu ill give you a 69 position! Hahahaaaaaa! Sisca akamjibu i have been on that level! MBA akapanda dau, basi nitakunyonya k mpaka u squirt. Mmmmmmh! Akastuka kwanzaaa isije kuwa mtu anachungulia, akabana miguuu.

Akamwambia mimi sipendi hio it is just unmanly, ujue wanawake sio kama wanaume eeeh, lot of shits inapitakule MP n all it is just pyuskiiiii! Yakh! MBA, namwambia fack that shit, mimi napiga dekiiiiii, you will like it, believe me. We nikubalie tutupeane rahaaa uta enjoy mwenyewee. I got a big dick too, na najua kuitumia. Sisca akamjibu hahaahahaaaaaa! MBA akamwambia you think im blaffing? Akamtumia picha ya kitu. Tobaaaaaaaaa! Akazima data kwanza kazi ziendelee.

Jioni jioni akawasha data, akakuta kamtex scared huh! Akamtumia vi emojii vya kuzomeaaa. Basi akamwambia mimi nipo level 8, leo come we chill out, akamdanganya yuko busy n shit, akamwambia if you change your mind,mi nitakuwa pale na wanangu team popo. Basi akawa kakaa home, akaicheki ile picha vizuri sasa, huyo akavaa kwenda level 8. Kufika kule akawakuta wako kikundi watu wazima badala ya kukaa na familia zao wanakesha full shangwe, full bataaaa! Basi kufika pale MBA akagoma kumtambulishaaaaa. Huku na huku kuna mkaka nerd mmoja alikuwa katika hio campany, akawa anamuangalia kichiziii, kila akimuibia jicha anakuta Nerd anamuangalia. Kuna mda MBA akaenda ku take a pee, nerd kamsogelea, anajitambulisha yeye ni Auditor, akamuomba namba ya simu.

Kwa uhuni tu akamtajia ya uongo, nerd si akaipiga palepale ikasema namba unayopiga haipatikani, akamkazia macho, ikabidi ajikoshe namba hio ya tigo imezima ngoja nikupe ya vodaaa. Looooh! Akampa na safari hii kama lilijua limepewa ya kweli halikuijaribu. Akaondoa tu. MBA karudi bata likaendelea. Mda wa kuondoka, MBA anamwambia twende tukalale kwangu! Hiiiii! Akamwambia wewe si una mke? Akamwambia mke wangu anafanya ile bank Mwanza hukoooo, so im free as a brid. twende nikakupe mambo.

Basi na ulevi ule, pombe zimekimbilia chini,akili yote inamwambia rudi nyumbani, nyege zinamwambai if you hadnt curved all niggas that hitted on you, you could be having a dick right now. We are not going home with you tonight. Akajikuta tu kakubali, atafanyaje ukubwa jalalaaaa.Akakubali wakaenda, akauta picha ya mkewe sebuleni, wanae wawili pale, picha ya harusiii. Fack shidaaa, huyooo akaingia chumbani. And the guy was good. He lived up to his reputation, K kanyonya kweli kweli si kutishiaaa, anameza kila kituuu. Kwenye ligi we can consider him a pro. Anamuandaa mtu mpaka anaomba mshedede mwenyeweeee. Na sio watu wa kubust in few seconds, anampa mshedede wa uhakikaaa, mpaka anamuuliza umfikaaaa, umeridhikaaa, na yeye ndo an bust. Haaaaaaaaaaaaaa! Ilikuwa champions ligi! Mwendo huo huo goli 4.

Asubuhi yuko hoiiiii, moja haikai mbili haisimamiii, akaomba ruhusa ofisini kabanwa na tumbo la kuharisha akarudi nyumbani kulala. Akasema amekomaaaa, sio kwa mechi ileee, haendi tenaaa, maana kwa mambo yake kuto fall in love na mwanaume wa design ile sio rahisi hata kidogo. Akalalaaa mpaka saa 7, akaamua awa text kina Anny na Angy kuna ubuyuuu wa sheikh Kipondaaa. Lunch date ikapatikana fastaaa.

Kufika kwanza sura yake tu, Anny akamwambia you had a di.ck last night, a very good one. Slutyyyyy! Akawaambia huo ndo ubuyu wenyweee. Nimeenda na MBA, damn he is good, so good, i can swer i have never had that di.ck in like years maybe since University. Wenzie wakabkia midomo wazi, haaaaaaaaaaaaaaaaaa! Anawapa details, wako he did that? Really! Wanaangaliana, huku wakisikiliza neno kwa neno. Balalaaaa hilo ujue wanamwambia. Anny anamkoleza finally umejua what you have been missing.

Angy akawaza mbali akamwambia wanaume wa hivo ni hatariii, hawatulii na mwanamke mmoja, wanakuwaga malaya malaya tu, leo yupo na huyu, kesho yule mradi tu they dont fancy going to bed alone. Anakuwa anaendekeza u legendary kwenye fani hii ya kupigana miti. Mmmmmh! Wote wakatafakariii, wakaona huenda ndio ya sio ikawa ndio au sio kiundani. Sisca akawaza tu, i wont see him again, it was a mistake, i should forget about him.

Angy akawataarifu tu, ndani mume kanunaaa haongei kisa ishu ya kazi. Yeye ashazoeaaa, anacheza na mwanae na kufanya yake. Atajijuaaa. Sema na game imesitishwaaa, mpaka ligi itakavoanza tenaaa.
Hope. It is the only thing stronger than fear. A little hope is effective. A lot of hope is dangerous. A spark is fine, as long as it's contained.

Baada ya ile simu ya mke wa mtu, akaanza kuminyia MBA, ile anampotezea kiutu uzimaaaa, huku anaongeza nguvu kwa nerd. Huku mume wa mtu analalamika, hapewi mambo, anabembelezaaa, na nini. Akawa kanotice tu kuna tofauti but hajui tofauti hiyo vepeeeeeeeee, kuna shetani gani kapitaaaa. Hakujua kama mkewe kamuharibia inshu zake huku.

The challange with the nerd, he was so anti social. Mda wooote yuko busy, bsy as shit. And mda kidogo anaopata wa kurelax, he is such a boreeee! Mkienda nae mahali hataki Sisca acheze mziki, anamwambia it is not lady like, watu watamuonajeeee. Beach siku hio wameenda kujiachia, mmmh! Kwanza kachagua beach za bei poaaa! Khaaaaa! Beach ya 5000 kweli? Sisca akamwambia mimi siendi, basi nerd asili yake mpole mtu wa kufanya kitu hata kama mwanamke hakitaki maadamu kishaamua. Aka cancel trip baada ya kuambiwa private beach hela ndefuuu.

Baada ya kucancel hio trip, jmosi anamuuliza Siscaunaenda wapi this weekend. Akamwambia naenda private beach as planned. Heeeee! Akashtuka na kumwambia si nilisema hela sinaaaa, tukacancel. mmmmmmh! Akaambiwa taratibuuu, yeye ndo hela hana, ila Sisca kwenda beach hamtegemei yeye, kama yeye anabaki yeye bibie kwenda kuko pale paleeeee. Kama asili yake ya ubabe akamwambia na mimi nakuja huko. Makubwaaaa!

Kufika kule, bibie kajiachia na bikini yake, anaambiwa vaa mtandio, unatapitaje pitaje chiu, ushakuwa mtu mzimaaa. Khaaaaaaaa! Akavumilia. Kaagiza zake shots, analalika mwanamke hatakiwi kunywa mipombe mikaliiii, mwanamke anatakiwa anywe vitu laini kama wine. Akamwaga zile shots, akamwambia waiter mletee wine ya msalaba. Sisca ikabidi tu avumilie umri wenyewe ushasogea sasa atafanyaje.

Kitandani nerd nae alikuwa yumooo, manake nerd mbishi wa rohoooo, hataki tu kushindwa na anapenda kuwa in control mda woteee. He was a control freak. Anamtawala mtu mpaka basi, sio kumkalia kichwaniii, anachukua godoro na kumlalia kabisaaa huko kichwani. Mnaweza kukubaliana hiki, mda mwingine anaghairi ghafla tu, anachotaka yeye ndo hicho hicho.

Sisca akawa tu anavumilia tu, wapo wote, hivo mradi she had a man of her own. Na kuhudumia anahudumia fresh, kodi analipia, mafuta anaweka, akikuta vitu ndani vimeisha analeta au anatoa helaaa. Yani ikitokea swala la kulipia kitu sio majadiliano marefuuu, analipa tuuu, sema ndo ukubali shurti la utii, na heshima na kuishi atakavyo yeye.

Kimbembe MBA alivojua mshkaji wake ndo kajiweka pale, afu yeye bado anamuelewa demu akaamua kuwaharibia, ili Sisca arudi kuwa vulnerable aweze kumfaidi zaidi. Akamwambia Nerd, mimi huyu demu Sisca nimemfanya sanaaaa. Afu nimemfanya rafu rafuuu si alikuwa kazi ya nje! Nimemla mpaka kibogaaa, infact nilikuwa namla Tigo tuuu. Mi nakwambia hivo coz wewe mwanangu siwezi kukuachia uoe kimeo. Yule mwanamke wa kupiga tu, sio kuweka ndani.

Nerd akapinikiiii aka screenshot akamtumia hizo sms Sisca. Tobaaaaaaaaaaaaaaaaa!

Anny maisha yakawa yameanza kubanaaa, pesa yaa kuchezea tu hamnaaaa. Matumizi, mawazooo, magari ya kifahari hakuna, akawa Anny sio The Anny. Stress mpaka kaanza kuzeeka. Akaona hataaaa. Yule lawyer akawa ndo yupo close sasa balaa, kila siku anampigia simuuu.

Kilichomchosha kwa lawyer ni personality yake. Mshamba mshamba sanaaaaaaa. Gari analotumia bayaa, nguo anavaa cheap cheap, hajui kupangiliaa. Hana kiatu cha maana, wala mkanda wa maana, wala simu ya maana. Japo alisikiaga analipwa vizuri sanaa kwenye law firm yao, na ana A list clients kama Dady akawa tu hamuelewiii.

Akawaza kutoka na lwayer akaona sasa itakuwa kuruka mikojo kukanyaga mavi. Mwanaume wa vile atampeleka wapi. Dady alikwa mtu wa makamo lakini yumooo veterean yule. Suit anagiza online Italy, viatu Italy, simu latest ikiingia tu anayo, perfume za designers, yaani alikuwa anajipenda na anapenda kuishiiii. Hapendi kujibanaa banaaa wala nini.

Alimiss dady vibaya mnooo, maana kila siku alikuwa anawaza how to get better and better kufaidi maishaaaa. Ama kweli bahati haiji mara mbili, she blamed it all on the stupid cancer.

Angy akiwa bado kwenda kwenda kwa Dr, akashangaa nguo hazimtoshiii. Akaanza gym, Siku wakaonana na Anny akamwambia you are so pregooo. Akastukaaa, akanunua vipimooo. Kupimaa viatu vyote positive. Akachokaaa. Akaenda kwa Dr akamwambia it could be a boy huwezi jua. Alienda hospital kwa Dr wao mpyaa, manake wa zamani aliefanya nae ma inshu alihama mkoa akawa recomend kwa huyu mpyaa.

Akawa anatafakari aiache ikue au aishughulikie akalipie kule watoto wa kiume mapacha, au mazae tu huyu, azae na wale wa hospital. Akawa hajaamua. Anashangaa mume anarudi na mauaa, na furaha teleee. Hongeraa nyingi, akamwambia Dr gave me the good news. Finally! Tobaaaaaaaaaaaaa! Akawa hana pa kutokea, ikabidi tu ane afurahi manake mume keshajua tenaaa hivooo. Mamakwe kupiga simu asubuhi, usiku na mchanaaa, na kujisemesha cha kiume hikooo, baba yangu huyooo muangalie vizuri! Loooooh! Mimba miezi mi 4.

Dr akamwambia iko namna ya kuona jinsia advanced China akamfanyia booking akaenda kuangalia jinsia. Akaenda akaambiwa wa KIUME. Wacha afurahiii, hajawahi kufurahi namna ileeee maishani mwake. Hakumwambia mumewe ili amsurprise mtoto akizaliwa.

Sasa alimdanganya mumewe anarudi Jmosi, akarudi ijumaa ili tu kumsprise lamujer de mividaa tenaaa, finally mambo yanaendaa. Mungu kamuona na yeye. Kurudi akakuta mumewe hayupo lakini bag lake la safari lipo kitandani kama alivokuwa safari nae alisafirii pia. Akawaza tu kwanini hakumwambia anasafiriii? Roho ikamwambia lisachiii. Akalisachi akakuta tu nguo zake na karatasi, kuzifungua zile karatasi akakuta Regency Hospitals, jina la yule mchepukoooo. Khaaaaaaaaaaa! Aka kaa kwanza chini.

Akawa anasoma details sasa, zimeandikwa homornal count sijui nini, akawa haelewi vizuri ila mwishoni imeandikwa Fit to Conceive. Mmmmmhhhhhhhh! Akavaa akaenda Regency akaingia kwa Dr na zile karatasi. Akamwambia tarehe hii nilikuja na mume wangu hapa, tukamuona huyu Dr, sasa alinipa maelekezo nikawa sijaelewa vizuriii, nikaogopa kuuliza mbele ya mume wangu, ila naomba unielewesheee. Akamuuliza Jina, akataja la mchepukooo.

Dr akachukua karatasi zile akaingiza details kwenye system, akamwambia ni vema umuone huyu huyu Dr. wenu japo yupo Ulaya kwa sasa. Akamuomba masomee tu ile karatasi na kumelewesha. Basi akamwambia lile swala lao la kuzaa mtoto, linawezekanaaaa snaaa, maana tayari ana watoto wa kiume wa 3, so uwezekano upo mkubwa sanaa. Na hormones zake zipo vizuriii, hana tatizo lolote na hata akizaa uwezekano wa kuzaa mtoto wa kiume ni mkubwa sanaaa. Awe tu amani, atashika mimba tenaaaa. Akajifanya waooooh! Nashukuru Dr.

Alivotoka akasema maku vibuyuuu hawaaaaa, kumbe wanataka kuunganisha damu kabisaa kwa kuzaaaaa! Mazafantaaaaaaaaa! Mi natesekaaa, nasononekaaa, nahangaika kumbe wananizunguka na yao. She felt so batrayed, so useless, so aloneeeeeeee. Roho ikawa inamtukutaaaa. Hakurudi nyumbaniii akaenda kukaa hotelini. Kila hata akisema amshirikishe mtu kitu kinamkaba kooni, analia tuuu, na kusaga menoooo.

Akawa kadataaaaaaaaa. Akaamua kwenda Dispensary moja, ya rafiki yake ambae ni dr sema hio ni kama private practise. Kufika kule akampigia kuja, akamshangaaa why are you in very bad shape. Akamwambia i need an ABORTION. Heeee! Akastukaaa. Akagomaaa, akamwambia ya nje ya ndoa, niokoe. Akakubali akamuuliza utakuja liniii? Akamwambia ndo nimekuja tayariiii, manake tuingie mitamboni hivooo. Dr akasitaa ila urafiki denii ikabidi tu amsaidie.

Kakorofishaaa mambo, akamsafisha vizuri kabisaaaa, akamwambia hapo safi kabisaaa. Mambo byeeeeeeeee. Akarudi hotelini, sasa hasira kaliii ile ikaanza kupoa ndo akagundua kafanya nini, akazidi kuchanganyikiwa, akawapigia kina Anny na Sisca waendee.

Huku mumewe akaambiwa mkewe amerudi, akfika chumbani akakuta bag lipo wazi karatasi hazipooo. Akipiga simu haingiiiii. Kangoja usiku kucha hajarudiiii. Akawapigia mashoga zake. Wakamwambia kiukweli hawajui alipo. Akawa anahaha kumtafutaaa.

Kina Sisca wakamwambia tunakuja sasa hivi, mumeo anakutafuta si kidogooo, upo wapiii, akawaambia msije nae. Njooni tu i feel like diying right now.


The devil is not so black as he is painted!

Kufika kule hotelini wakamkuta hoi bin hoiii. Ndo kumhudumia supu na nini, ndo kusimuliwaaa sasa, kisa na mkasaaaa. Kila mtu jivcho lilimtokaaa, maneno kumkaukaaaa, maana lawama mda huu hazisaidii tenaaa. Ila ilikuwa kati ya siku mbaya sanaa kwao wote. Wakawa tu wamekaaa hakuna anaesema lolote juu ya chochote. Sisca huku kubwa la maadui Nerd linampigia simu, anakata. Manake mpaka ya kuliwa tigo akayaona madogoooooo. Badae akatumiwa text kwa hio hayao maneno kweli si ndio? Aibu zako umekosa mpaka la kujitetea. Akamjibu kifupi tu, you know me! Mimi mnyonge baba, la kusema sinaaa. Namuachia tu Mungu wangu aniteteee.

Wakawa wanashinda tu na Angy pale hotelini kila siku. Akaanza kupata nafuuu, sema sasa nuru yote ilimuondoka maishani. Akawa kama mzimuuuu. Hana hamu na chochote. Wakamwambia rudi nyumbani wewe, mwanao anakumiss, jikaze tu inabidi maisha yaendeleee. Akawaambia siwezi naweza hata kumuwekea sumu yule jibaba kule. Wakamwambia be strong do it for your daughter. Akawa hatakiii.

Wiki mbili zikaisha Sisca amerudi kuwa single and lonely, Anny bado hana direction, Angy bado anakaa hotelini kajificha. Ikawa maisha ya kuishi kula tuuuu, chezea stress. Siku hio wakaenda hotelini jioni wametoka kazini wakaambiwa kaondoka leo na funguo karudishaaa.

Wakasema kaenda kujiua nini? Mmmmmmhhhhhh! Wakawa wanamtafuta kwenye simu hapatikani, wakaona wakaseme tu ukweli kwa mumewe , kama ndo kwenda polisi au vipi watajua huko huko. Kufika getini wamekaa dakika kumi hawagongi wanaangaliana, kengele kama ina miba.

Mwishoni Anny akagonga, akaja dada, si anawajua akawafungulia, wakamuuliza baba yupo? Akasema baba hayupo but mama yupooo! Wakaangaliana, hata hawakumuuliza zaidi wakamfata huko huko chumbani, wakamkuta kalala. Wakamkurupua si kwa kuwatia jamba jamba kiasi kile. Akawaambia nimeona nirudi kumlea mwanangu, mambo ya dunia hii huwezi kuyawezaaa.

Wakampa tu poleee, kuwa yatapitaaa, asiwaze sanaa. Akawaambia tu toka nimerudi siwezi kumuangalia mwanangu machoni, naona kama yule mtoto ananiangaliaaa. Yani nimejaribu 3 times sijawezaaa. Akaambiwa itaisha tu hio hali, ajitahidi kujisamehe, yeye Anny mpaka kesho anamuota Dady usikuuu. Akasema kasheshe.

Wakamuga pale, hao kila mtu akaishia kwake kudeal na ya kwake. Jioni mumewe karudi akaanza kubwatukaa ulikuwa wapi umenisumbuaaa, kukutafuta , mbona hujielewi wewe mwanamke, ndo tabia gani, akato zile karatasi chini ya mto akampatia. Mmmmmh! Sura ikamsawajikaaa. Akajikoshaaa si karatasi tu kwani kitu gani?

Akamwambia sio kitu, ila shukuru Mungu wako alie hai, sijazipeleka kwa mumewe, Mungu awasaidie mzae watoto wa kiume alfa lela ulela, na wote waje kuwa mashogaaa na wangese kwa jinsi mlivoninyanyasa maishani kwangu. Mimba yako hii ya mwisho nimetoa alikuwa mtoto wa kiumee, na nishatoa zingine 3 kukuendekeza na upuuzi wako wa mtoto wa kiumeee, ndo nakwambia mimba sitoi tenaaa, wala sizai tenaaaa. Zaa na huyo aliezaa vidume vitatu, ikishindikana zaa na mke wa Devi si ana vidume 4, ukishindwa zaa na mama yako mzazi si ana vidume 5 yule.

Akasikia malaya mkubwaaa, umetoa mimba yangu afu umerudi kufanya nini? Kofi la kwanza. Hivi unaona umenitawala sanaaa? Umetoa mimba zangu ngapi, akawa kama anaenda kuchukua kitu sebuleni, akasikia tu kishindo koridoniiii kutoka kamkuta akaanguka chaliiiiìiiiii. Kumtikisa baba Meliisa? Baba Melissa kimyaaaaa! Akaona sasa biashara over, akawa kakaa tu pembeni amejishika kichwaaa.

House girl ndo kutoka nje na mtoto, baba anakufaaaa, jamani baba anakufaaaa! Majirani kuja ndo kumzoa zoa yule baba, kumkimbiza hospitali, mkewe anangaa tu sharubuuu.

Huku Sisca kufika anamkuta kubwa la maadui nje kwake. Akamkaribishaaa. Akamwambia nimefanya uchunguzi nimejua yale maneno sio ya kweliii. Akamuuliza umejuajeee, MBA ndo kalwambia ya uongo sio rahisi akane maneno yake. Akasema bwana mimi nilitaka kukuacha semaa roho ikawa inaniuma sanaaa, nikasema hata kama kweli poa tu. Ulifanya kabla hatujakutana so it shouldnt be an issue. Ila roho ingine ikawa bado inasitaaaa.

So nikaamua kutuma screenshot zile kwa mkewe. Mkewe hakunijibu kitu, ila baada ya wiki moja wakaja nae mguu kwa mguu, mkewe kakaaa kimyaa jamaa anajielezaa, kajieleza yoteee, kuwa ni uongo mtupuuu, alitaka tu nikache aendelee kukychezea. Sasa sijui mkewe kamfanya nini? But i believed him, nisamehe baby for doubting you.

Akashukuru tu Mungu kamtetea kwa kubwa la maadui, manake nanuzee huu angempata nani tenaaa. Ikaingia sms baba Mellisa kaanguka tumemkimbiza hospital. Mmmmmh, akamwambia kubwa la maadu ngoja anende regency mjadala utaisha siku ingine. Kubwa la maadui akamwambia twende nikupeleke.

Anny anaendelea kusaka danga la maana, holaaa. Huku lawyer anamuomba date kila siku, siku hio na haya mambo ya Angy akaona tu amkubalie walau usiku usogee maana kama kuna msibaaa hukuuu. Lawyer kaja kachomekea shati kwenye jeans na sandals za wachaga! Mmmmmmh! Akasema kazi ipooo. Akamwambia njoo tu tule hapa hapa, tupike tule.

Basi akamwamvia lawyer apike hata mayai, manake yeye Anny hajapika mda sanaa, hana uhakika kama hata anakumbuka kupikaaaa. Lawyer kapika ugalii laini na kitimoto roast. Basi anamsimulia kwao huko kijini Machame alikuwa anawapikia wadogo zake, mama yao alitangulia mbele za haki wakiwa wadogo sanaa. Mama wa kambo ndo kumfanya haouse girl. Anny anawaza yake ya mbali, mambo ya kijijini tenaaa not that day!

Sms ikaingia baba Mellissa ameanguka pressure, ndo tunamkimbiza Regency. Mmmmh! Akamwambia Lawyer ugali silii, kuna ishu kubwa imetokea wacha nikimbie hapo regency. Lawayer akamwambia twende nikupeleke, huwezi kudrive hivo na panic, hao wakaacha msosi uleee mpaka regency.
New country old people!

Wakafika pale hospital, akakimbizwa wodini, wakawa wanahangaika kulipaaa, kadi kaziasahau nyumbani za bima ya afya, ikabidi Lwyer atoe ATM yake watamlipa. Wakachaji pale, wakapigiwa ndugu, ndo kuja na ile kadi.

Basi Dr akamwambia tunashukuru Mungu sio cardiac arrest, ungekufa huyu, ni kama neema tu mapigo yalikuwa chini sanaaaaa. Sahivi tumempa huduma, anaendelea vizuri sema itabidi tu mmoja alale nae, ila kwa mujibu wa habari ya tukio, sababu alikubwa na huu mshtuko akiwa anagombana na wewe itabidi wewe usilale hapaaa. Angy huyoooo. Mama yake akasema mimi mzazi wake nalala hapaa.

Akawa tu hajieleweiii, watu wanaongeaa ongeaaa jamani baba Mellisa kijana wa watuuuu. Maisha haya kifo tunatembea nacho mkononi. Wakawa wanasikitika tu. Basi wakaagana na kurudi nyumbani kila mtu kwake na bwana wake, Angy na mwanae.

Huku kwa Sisca mambo moto moto na hibi kubwa la maadui aliumisi mzigooo. Na ile exitment ya somebody close could have died but they didnt inawapa mshawasha wa ku enjoy life even more and more. Wiki mbili hajala mzigo ana hamu nao niajeeeee.

Kufika na kufika kubwaa la maadui anavua nguo mwenyeweee zoteeee, hata kubakisha boxer. Anaenda kitandani kujilaza tayari kwa kula mzigooo. Anaulizwa huogiiii. Aaah nitaoga baadae, sahivi nataka kuzindua kwanzaaaa. Nijilie mali zanguuu.

Nae akavua nguo kuonesha ushirikiano, akaambiwa kaoge kwanza wewe mtoto wa kike, usitake niseme memngiii, hujafundwa nini? Hahaaaaaa! Sema kwa furaha aliokuwa nayo hicho kijembe akaamua tu kuchekaaa. Akiwa anaoga, mtu huyu hapa nimeona unachelewa kuja, tuoge wote unibebe mgongoni kama wanawake wa kitanga, kisosa kiko wapi, leo ndo utayajua ya kisosa. Hahahaaaa!

Hapo mabusu moto motoooo, maji ya shower mjini tenaaaa, mambo muruaaa. Cha kwanza cha bafuniiiiii. Anamtania basi leo vile umekimisi unakilaje kwa fujo sasa. Akamwambia hapa napasha tuuu, sijaanza bado kula.

Mechi kali usiku kuchaaaa, mara alalamike wiki mbili 2 umenenepeana ushaanza kuwa mzito kitandani mi sipendi namna hiooo. We unajua kabisaa raha ya mechi performance bao majalaiwaaa. Akaanza kumjibua kunya kati kati ya mambo, si unajua tena wanawake tukiambiwa umenenepa unavo nunaaa, roho inataka kukuchomokaaa. Akamwambia sikia usininyanyase kama unene huutaki tafuta mwembamba.

Akamgeuza pozi la miguu shingoni, Kamnigaa kweli kweli, afu aakaingia mzima mzimaaa, afu anamuuliza unasemajeee? Hapo anaongeza kasi, huku mambo yamemuelemea Sisca hana jibu. Basi kubwa la maadui anafanya sifa, anazama mzima mzimaaa, jibu ulivokuwa unajibu, ikabidi tu aombe poooh, yameishaaa nisameheee. Bae nakupendaaa! Mimi nani? Kubwa la maadaui anauliza kwa ubabe? We bae wanguuu, nakupenda mpaka naumwaa. Utaendeleza kula kula ovyo na kufutukaa! Hapana nimekomaaa, sili tena nafanya diet. Hapo anasikilizia boloyankii kooni.

Akamuweka pozi lingineee, anaendeleza ubabeee, unanipendaaa? Ndiooo, maana akichelewa kujibu tu huku mashambulizi yanazidiii, sanaaaa eeeh, ndioooo, kama nini? hamna mfanoooo. Mpaka akanza kulia sasa manake raha zimezidi na control imezidi vile vileeeeeee. Mechi ilikuwa si mchezooooo. Kuja kuisha hoiiiii. Anamuuliza kitemi, ulikuwa unalia nini? Hahaaaahaaaa!

Huku Anny na lawyer wamerudi wakaupasha ule ugali na kitimoto chao wakaulaaa. Basi lawyer anasimulia story zake za child hood mambo ya shida shida yanamboa Anny. Anny yupo tu off mood, hana hamu na chochoteee. Akawa anawaza mambo mengi. Akaona tu usiku utakiwa mrefu.

Lawyer akamuaga mimi naondokaa, akawambia unaenda wapi? Tunalala wote hapahapa, come on si unaniona sipo sawa, help me to relaxxxx! Lawyer kijasho chembamba kikamtokaaa. Akakubali fastaaa bila hata kubembelezwaaaa.

Mda wa kulala akajua atapewa chumba chake pembeni, akambiwa njoo tulale hukuuuu. Mmmmh akaingiwa wogaaa, ooh najua haupo sawa, sitaki our first time iwe nime take advantage of you. It is a fuvked day acha tu nilale huku. Akaambiwa come on! We too old for dramatic begginings. I might change my mind, better seize the opportunity, the Gods smiled upon you tonight.

Akaingia mule ndani, kama kondoo anaenda kuchinjwaaa. Akavua nguo zote kaingia bafuni, lawyer kakaa tu pale ka bungaaaa. Karudi anamuuliza nguo hizo huvui? Anababaika kuvua, chezea dream come true. Akanza kumvuaaaa. Badala ya kuseduzika akawa sasa anaetetemeka tumbo linamchezaaa

Nguo zikavulika, wako wotee, papasa papasa na wewe, hapo Anny ashapanic, anajua dudu tu ndo litampozaaa. Shika mic wapiii, na Lawyer nae akaanza kubabaika kla ndo dudu haisimamiiii ngooooo. Shika ziwaaa, shika tako, wapiiii, kama kalogwa vileeee.

Anny akakasirika na kuanza kulalamika ndo mambo gani haya sasa tena baby? Come on! Ndo nini sasa? Make it erect i dont care how but i need a dick, huniachi hivii hiviii. Wapiii, mchaga mwenzangu anahaaa haaa ndo bunduki isha jam katikati ya vitaaaaa.

Akasikia tokaaaaa! Kwendraaaa! Embu toka ndani kwanguuu. Akaondoka kwa kujikusanya kusanyaaaa, mchaga wenzangu yule Mangi wa watuuu. Anajieleza aiseee hii sio kawaidaa, nimerogwaaa, Anny baby pleaseee. Nachocharuaaaa, shimbony shafoooo, nasishambeee kichagaaa humo anachangaya kwenye maelezooooo.

Akambiwa toka bwanaaa, mi najua mtu mzima mwenzangu kumbe huelewekiiiii. Akatoka na shati mkononi kavaa jeans, boxer kasahau chini kule. Akafunga mlango na kusikia wanaume wengine kama wangeseeeee vile mxiuuuuuuuuuuuuu! We shepu hiii, ya kushindwa kusimamishaaa? Chaaaaaaaa!

Roho ikamuuma kinomaaa mangi wa watuu, akatoka tu kwa upole, ila aksema lazima amle yule demu na atamla kwa ugwaduuuuuuu na jazbaaaa, si kwa neno lile la kufananishwa na mngeseeee!

Kesho wameenda hospital wakakuta ,mgonjwa kazindukaaa, anaongeaaa fresh, sasa Angy aliechelewa coz ya uchovu akapitiwa akaenda saa 3 hiviii. Akaambiwa na mama mkwe mgonjwa kalaaaa aje baadae. Mmmmmh! Baadae kaja mchana na chakula akaambiwa mgonjwa ashakula, arudi na chakula chake, na kalala kaambiwa apumzike, akambiwa jioni asliete chakulaaa.

Jioni akaenda na Melissa, Melissa akaambiwa aingie yeye akae njeee. Baadae akambiwa mgonjwa kazidiwaaa, hivo hatomuonaaa. Akarudi nyumbaniiii. Usiku mama mkwe akaja kumwambia Angy mwenzio hataki kukuona naona unasumbuka bureee tu, sijui mmegombana nini kikubwa ila kasema hataki kukuonantena maishani mwake. Akamwambia sawaaa.

Moyoni akasema atakuwa anaenda pale kila subuhi, mchana, jioni mpaka kielewekeee. Wakamuhamishia TMJ. Kila siku kiila asubuhi, mchana, jioni yupo pale nanharuhusiwi kuingia wala nini. Watu wakija wanamsalimj, anadanganya nishatoka huko anaendelea vizuriii. Sa zingine anamsikia kabisaa anachekaaaa na kuongeaaa. Mama mkwe anakuja kukaa nae nje, anaumia lakini ndo hatakiwi na mgonjwa kule ndani atafanyaje sasa.

Siku ya siku ule mchepuko ukaja, ukajitia kumpa pole saaanaa. Mungu akutie nguvu, anaitikia tu. Ukaruhusiwa kuingia. Ulivotoka ukamugaaa, Mungu awatie ngubu sanaaaa. Akamjibu tu kwa hakika Mungu yupooo, hawahiii wala hachelewiiii anajibu kwa wakati wake. Asante kwa kuja kumjulia hali mwenziooo.

Mamamkwe akajua hatokuja tenaaa, sio kwa mgoni wake kutinga liveeeeeee! Asubuhi yupo pale liveeeee, kaka nje kama kawaida yake na kwenye nafasi yake. Hivo hivo mpaka wiki 3 zikaishaa akapata dischargeee! Na siku ya discharge alikuwepo pale nje wanamtoa anaangalia tu, wakampita mgonjwa kajikausha kimyaaa! Mama mkwe anageuka geukaaaa sema afanyaje sasa.

Akarudi zake nyumbaniii, ila akajua tu ya safari hii yamefikaa mbali, hayawezi kurekebishikaaaa tenaaaaa. Ile kitendo cha kunusurika kumfia kikamfanya sumu yote imtoke, awe yupo yupo, Hana kinyongoo, hana nini, yupo mradi yupoooo. Mwanaume akaenda kukaa kwao kwa mama yake.

Sisca huku siku hio kaambiwa jiandae jmosi kuna sehemu nataka twende, anamuuliza wapi? Anaambiwa utajua huko huko. Mmmmmmhhhhh! Akawa kavaa tu nguo zake za kihasara hasara, akaambiwa nguo hio haifai. Akawa kanunaaa, kubwa la maadui kaingia kabatini kamtolea gauni refu vaa hiii. Akaona isiwe kesi avae tu.

Vuuuuuu, mpaka kwa kwao kumbe, ndo kaenda kutambulishwaa. Akawa angaa sharubuu tuu. Kakaaa sebuleni ugeni ugeni uleee, kubwa la maadui linamwambia nenda jikoni kapike na mkweo muanze kumalizanaa mapemaaa! Hahahaaaa! Basi anaenda ana wasi wasi. Mamkwe anamwambia wewe kaaa tu hapo mwali wangu, nitakupikia, nilivosubiri mwali kwa hamu si kidogooo.

Basi anamuuliza tu, unafanya kazi gani? Kwao wapi hivoooo yani. Anajibu kwa heshimaaa kabisaa, hapana chezea mama mkweee. Wakakaa mpaka saa 4 usiku, akajua wanarudiii, hamna kituu, akaambiwa tunalala huku huku.

Basi akapewa kanga na mkwe usikuu, akaoga akawa anataka kuwapisha waongee mama mtu na mwanae, akawa kaenda chumbani kwa wifi yakeee. Wifi mcharukoooo. Anamsifiaaa, hii lace wigi wifiii, akamwambia ndiooo. Utaninunulia na mimi. Akacheka tuu. Na hii saa yako nzurii, naiombaaa! Akamwambia chukua. Simu yako samsangi? Utaninunulia na mimi touch! Mmmmh! Akawa anamjibu tu kiustaarabu, si unajua tena kubembelezea ndoaaa.

Akawa kalala washashusha neti kabisaa, mara kaja mkweee. Mwanangu kalale na mwenziooo atasikia baridiii. Akajikaushaaa, mama acha tu nilale hukuuu na wafiiii, akasikia fanya tukalale bwana ulale na wifi vipi, mimi nilale na nani.

Mmmmh! Akaona kweli hii familia sugu. Akajizoa akaenda kulala chumba cha kubwa la maadui. Akajua ukweni watalala kwa amaniii. Anaona kubwa la maadui anamgusa gusa. Akamwambia mbona unanishushia maxi ndugu yangu ukweniii, mambo ganiiii. Akamwambia yaani mama kakupendaaa, kakusifiaa, basi ndo kanitia nyegeee ni balaaa. Si eti mke wanguuu.

Anamwambia heeee kanisifiaa? Enheeeeee! Akamwambia mweo hana makuu, anaelewana na watu wote mpaka ndugu wa marehemu mumewe wanamuongelea vizuri, so yeye kila mtu kwake mwemaaaa. Sema basi tu vile amekukubali, na nyege zangu za kawida tu nakuwa im so horny baby right now, itabidi unipe hata kimoja cha kimya kimyaaa.

Anamwambia bwanaaa, nyumba yenyewe moja hiii, watatusikia we mwenyewe unajijua shoo ya kibabe, nitaanza kupiga mikele humu mpaka mkwe aje humu. Hamnaaa kidogoo tu, baby dont spoil this for me, dont make me beg bwanaa, akanza kunuaaa, kubwa la maadui nae.

Ikabidi tu ndo akubali kiutu uzima kumpaaa, atafanyaje sasa na ndo ashaamua. Basi kaanza kweli kula kistaarabu akanoa hataa, hanogewiii, akajikaza hivo kula cha kimya kimyaaaa. Asubuhi wakaondoka, akawasindikiza mkwe, mkarimuu, anamwmbia uwe unakuja kunichungulia mkweo, Nipe namba yako niwe nakujulia hali.

She was happy! Not exactly kama alivofikiri itakwa but she was happy.

Anny kaamka asubuhi akafikiria alivomtimua Lawyer, akajisikia vibaya kweliii. Akaona alichofanya sio utu, ukizingatia mangi mwenyewe mshamba mshamba, dfenceless, han hiana na mtu akajiona hakufanya vizuriii. Ku sawazisha mambo akaamua ampigie ila akiwa na shka kubwaaa kama simu itapokelwaaaa.

Simu kuita na kuita ikapokelewa, Eeeeh, Anny my baby unaendeleaje. Mchaga kapanic, akamwambia nakusalimia tu, nimekumiss sanaaa, jioni twende ile dinner yetu ya janaa, si unajuaaaa jana haikukamilikaa, basi Mangi yule anakubali kweli kabsaaa Anny, nitakupeleka ile hoteli ya hapa posta Serenaa hotel. Nzuri snaaa ileeee, mangi anajimiminaaa kama sio yeye alieuza mechi janaaa.

Akawa anamchembezaa kweli baby wangu, basi mi nasubiriiii. Katoka ofisini mapema mnoo kajiandaa, Mangi kaja na suti leo, suti ilele aliyotoka nayo mahakamaniii mchana. Loooh! Suti haielewekiii, chini kapiga moka za wachaga wenzie wa kariakooo. Akaona atleast sio casual ya janaaaa.

Wakafika kule, akaagiza masalad salad sababu weight issue, Mangi anakula ribs hajibani kabisaaa. Wakawa wanapiga story, Mangi ndo kumsimulia anakula paleee lakini roho inamuuma sanaa, maana huko uchagani alipata sanaa shidaaa, mpaka kuna kipindi ikabidi awe anabana maviii, ili asisikie njaaaa! Hahahaaaaaaaa! Anny anamwambia Mangi bwana wewe muongooo habari zako zingine. Anamwambia kweli unafikiii unafirikiii Anny, usione mimi nipo mjini sahii ni juhudi sangu aiseee. Ndo maana sichezei hela.

Anny anamwambia hapa kwa mbondei umefika, hela utatoaaa, na utaitumia ikuzoeee. Mangi anajiongeza, kwa wewe mama yangu natumia hela yoyote ile, wala sioni ishu, ila sio ndorobooo wengine wale hela yanguuuu kirahisiii rahisiiii. Hahahaaaaaaaaa!

Wakahama kiwanja, mpaka level 8, kunywa kunywa sanaaa. Mangi kama sisi mangi wenzie pombe anapendaaa. Akilew ndo haongei kabisaaa, anasinzia tuuu. Ikabidi Anny arudi nae mpaka kwake, wakalala. Asubuhi Mangi kushtuka yupo na mtoto Anny akaona hataaaa, hapa yatajirudia ya juzi, saa 9, kawahi kuoga ooh kuna client ni mkubwa sanaa, sijaaandaa minutes, ngoja nikaandae alfajiri hiii. Anny akamwambia hayaaaa!

Mangi akawa ka save kiaina hio.

The future is looking at you kid now!

Ikawa Sisca na Nerd they going stronger and stronger. Ila kama kawaida Kubwa la maadu ndo ana make all the decisions about them. Sasa siku hio kukawa na harusi ya mshakaji wao kubwa la maadui anaoa. Sisca akawa hataki kwenda coz MBA atakuwepo. Na yeye hataki kumuona maishani mwake.

Akawa anatoa visingizio, kimeenda kimerudi, akaambiwa hapa kwenye harusi tunaenda. Utajificha mpaka liniii.You were the victim, so kwanini utesekee. Akagomaa zaidi ya mbuzi kagoma kwendaaa. Kubwa la maadui ikabidi sasa atumie diplomasia sasa. Sikia baby, najua alikukwza na nini, bt wewe uko na mimi, you are going with me, you know me, siwezi kwenda pale niache anything bad happen to you. I got you. Yule hawezi kukufanya kitu.

You my girl, i want to go with you places comfortably, i want to flaunt you, i want to enjoy being your man bila pimbi yoyote kuniingilia kwenye 18 zangu. Trust me, wewe twende, people talk more ukiwaendekeza na ukijifichaaa. But if you are strong confront your ghosts, dare the devils wenyewe wananyweaaaa. Kama hivi ukijificha ndo watafurahi kwamba hujaja. Be stronger than your fate.

Kampa maneno laini laini, huyu hapaaa kajaa nyavuni, kavaaa wakaenda. Ila bado tumbo linamcheza kwa uogaaa. Kufika kule kuangaza kidogo MBA huyu kakaa na mkewe. Akajilaani kutembea na mume wa mtu hamna mfano, maana akawa kama mtumwa. Anajihisi watu wanamsemaa semaaa, ila kubwa la maadui yupo close, kamuagizia shots mwenyewee. Maana alimuona antembea roho mkononi. Basi anampigisha story mpaka akaanza kuzoea na kuchangamka.

Mara kubwa la maadui akaja kuitwa na wenzie wakawa wameenda kusimama pembeni kule, na MBA akawa kaendaaa. Kwanza alijua hawaongei MBA na kubwa la maadui, si kwa alichowafanyia. Akajua pale kubwa la maadui ana feel so awkward sema ndo urafiki mjini deniii. Basi wakateta wenzao wakarudi kukaa wakabaki Kubwa la Maadui na MBA, akashangaaa, akajua ngumi zitapigwaaa. Mara anawaona wanachekaa kabisaa wanagongaaa. Yaani story zimenogaa mbayaaaa, kama zamani, vicheko vya bashashaaa kama washkaji kiroho safiiiii.

Akaona kama anasikia kutapikaaa, nafsi inamtukutaaaa, akatoka nje na pochi yake jumla jumlaaaa. Huku KLM anageuka anakuta kiti cheupeee akajua tayariiiii, picha lilishaungua ikabidi afanye kumkimbia nje, akamkuta anatapika tuuu. Ikawa Sisca kanuna hatariii, manake akawa kaona wanamchezea picha, mineno yote ile bado washkajiiiii. Akamwambia bwana wee tuondokee.

Kwenye gari hamna kuongea kila mtu kimyaaa. Kufika kwa Sisca anamwambia usiku mwema yaani asishuke kwenye gariii, KLM akashuka vizurii, tena kapaki kabisaaa jumlaaana gari kalizma,na kulock. Sisca anamwabia leo itabidi ukalale kwako i want to be alone. KLM akachekaaa tu. Akamwambia kwanini? Sisca akamjibu uwe muelewa mda mwingine KLM akamwambia mimi nalala hapa hapa, hujanitoa kirahisiii. Si nachangia kodi na maintenance hapa, basi kulala hapa ni halali. Khaaaaaaaaa! Sisca akamwambia labda ulale nje! KLM akamjibu kulala nje itakuwa ngumu, ukinifungi mlango kwa nguvu zipi labda uingie hapa ufunge mimi nipo nje, hata ukifanikisha hilo kichawi labda, nauvunja mlangooo naingia nalala kesho namleta fundi aweke mlango mpyaaa kwani sh ngapiiii? Sisca akacheka tuuu! Akamwambia basi sifungui mlango tulale wote hapa nje. Akakaa kibarazani. Hahahaaaaa! KLM akajibu tu, tena cha nje kitamu sanaa, we never tried that before. Sisca akamsonyaaa yaani unategemea sex tonight of all nights! Hahahaaaaaaa! Unachezaaa. KLM akajibu utanipa tu, kununa kidogo imooo, kuninyima mzigo haimooo hio. Sisca akajiapiza akimpa chiu siku hiyo sio yeye.

Wakawa wamekaa nje tu, wanaliwa na mbuu tu, mda unaendaaa. KLM akatoa msokoto kitu cha bob Marley, akakiwashaaa anakipuliza kidogooo. Sisca akamwambia naomba na mimi msokoto. Akamwambia sina, na hata ningekuwa nao nisingekupaaa, mwanmke gani unavuta bangiii. Akamwambia nipe bwanaa, unanikata stimu, nishavuta sanaaa, too late kunikataza. Akamjibu bangi hupati hapaaa, siwezi kukubali uje uniharibie watoto. Sababu mimi dume la mbegu navuta naweza ku control, wewe kuvuta ukiwa na mimi sahau.

Anapuliza puff zake kishkwambiii. Sisca anamuomba, nipe basi hata pufff moja. Aaaah wapi. Akamjibu basi kesho naenda kununu misokoto 10. KLM akamjibu labda nisijue, nitakupigaaa, si sijawahi kukupiga, vuta hata puff uone utavochezea kichapooo. Akamjibu weee mimi sipigwiii, baba yangu mzazi mwenyewe hajawahi kuninasa kibao afu wewe mtu baki uje unipige thubutuuuuu. Labda tuachane sio kunipiga. Akamwambia kuachana hakupooo, tena sahauuu, na ukinitibua nakupa kichapo mpaka ukae nafasi yako. Kama hutaki kupigwa behave, usinitibue. Ama sivo kichapo unachezea na uhusiano unaendelea.

Sisca akamjibu weeeee labda sio mimi. siku utayonigusa ndo mwishooo. mimi najiweza sio lazima niishi na wewe, sikai in abusing relationship. Kwanza unanitawala sanaaa. Naoana nimekufuga mda mrefuuu. We should take a break! Hahahaaaaaaa! KLM akacheka, hapa break hamnaaa, come on ujue wewe sio katoto tena ka 25 yrs, running from shit, scared of shit. Wewe mtu mzimaaa, ukikereka jambo unasema tu kitu flani kimenikreaa, we talk it over. I guess mimi kucheka na MBA is what is eating you up. All this drama.

Sikia sis watu wazima, we should be stronger than any issue, MBA tumejuana like forever, sawa alikosea na nini but we went past it, so should you. Ukikaa maishani mwangu zoea tu kuwa MBA atakuwepo piaaaa. Isitoshe dunia hii utawashut watu wangapiiii. Na mimi nilikupora kwake, he got past it. I stole his girl, we unahisi anafurahi kuniona navojitanua na wewe, anajikaza tuuuu, ndo maisha tenaaa. Na wewe ujikaze ndo ukubwa huooo. Utanunaa mpaka lini?

Sisc akafungua mlango akaingia ndani, KLM nae akaingia ndani. Akavua nguo zote sisca, akaoga akaja kulala na pajama. KLM anamwambia ndo nini sasa? Sisca akamjibu sina nyege hata mojaaaaaaaaa, leo niache tu utanichubuaaa. Akamwambia mzigo utanipa tuuu. Sisca akamwambia kweli shika uamini. Akagusaaa! Akasema khaaaaaaaaaaaaa! Umeoshea ndimu kabisaaa nini huko bafuni si kwa ukavuu huu! Kweli hapa hata mimi nitachubuka. Hahahaaaa!

KLM akamwambia ujue nakupenda sanaaa, of ll days leo we must have sex, sio kwa kutaka inatubidiii. Htuwezi kujiendekezaa kila tukimuona MBA we cant have sex, ndo maisha ganiii sasa, si utumwa huooo. Unachotakiw ni kujikaza na kujitahidi, kila tukimuona MBA we have the hottest sex ever! Dont take it seriously, you made your mistakes, i made mine,but we are togethe now that should mean eveything. Hata uksirike vipi ishatokea, hata nisipomsalimi MBA nikaweka kinyongo still haitotusaidia kitu.

Hata yale mambo yangekuwa kweli, ningekusmehe tu, ingechuku mda kidogo but ningebull shit cause that is who i am, nimesamehe vitu vingi maishani ndo maana nimefika hapaa. Kama ingekuwa kweli i would have helped you to become a better person instead na ningekupenda hivi hivi. Mbona mambo mengi ulikuw unafanya because of life, sikujaji i help you become better and better ka kulewaa, hata bangi leo jioni. Kudeka deka, sometime nakufanyia umafia because it is the right thing to do. Ningeweza kukuchokaa na kusema mwanamke mwenyewe mlevi, mvuta bangi niakakukula kwa hamu tu, bt sifanyi hivo tunaenda kijeshi jeshi hivo.

Umesikia baby wangu nakupenda sanaa, akaanza kumpiga mabusuuu, upinzani hakunaaa, kuingiza mkono tayari pashajiseti siku nyingiii, aaaaah KLM akala mzigo genuineee afu mtamu balaaaaa. Nguzo zote za bibie Sisca zikaangushwa moja moja.

Angy akawa kakaa na mwanae kila siku anamuuliza baba atarudi lini? Anakosa jibu la kumpa! Mara amuulize baba ana mama mwingine kama baba kina Joe na mimi nitakuwa na mama mwingine? LOOOO! mtoto kama katumwaaa. Mara amwambia dada yake, my mum will marry my dady becuase my mum is beautiful. Mara mda wa kusali aseme God please God bring Dady home!

Akaona imetoshaaa akamfata huko huko kwa mama yake. Akavizia mchana wanakuwa kazini kasoro mgonjwa na msichana wa kazi. Kafika kakuta kupo wazi kaingia mpaka sebuleni, akamkuta anangali tv kajilaza kwenye kochiii. Akaingia kakaa. Mgonjwa akataka kunyanyuka aende chumbani, akajisikia maumivu akakosa balance, ikambidi arudi kujilazaaa.

Wakakaaa kama nusu saa hana anaeongea. Mgonjwa kaanza Angel mimi kukusamehe sizwezi sio maisha haya wala yajayo naomba uniache nijiuguze kwa amani, ama ulivoshindw kuniua kw pressure umekuja kuniua kwa kunikaba na mto nini? Mmmmmh!. Angel akaja kumwambia sijakuomba msamaha, wla siwezi kukuomba msamaha kwa chochote si kwa maisha haya wla yajayooo mimi siwezi kukuomba msamaha sababu sijakukosea kitu chochote, wala usinisamehe ukishindwa kunilipiza kama unaona nilikukosea, ukishindwa maisha haya please do definitely take your revenge in the next life. I have taken responsibility for what i have done. Wewe ulikuwa hunipendi siku nyingi tu, nimekubaliana na hali, i have no regrets.

Isipokuwa kilichonileta hapa ni Mellisa, mtoto kule anakukumbukaaa. Tushaharibu haribu maisha yetu, tusiharibu maisha ya mtoto please. That is the only noble thing we have left. We rudi nyumbani tumlee yule mtoto, master ile nakuachia, tembea na mu yeyote utaejisikia, fanya lolote mi sitosema kitu, sitouliza kitu, i just need you to be the father you are to our daughter mengine yote sina la kusema.

I promise i will make it easy for you kuishi pale, sikupigi vijembe, no attitude, tushakuwa watu wazima sisi, hata ukileta ule mchepuko wko nitautengea juice bila kutia sumu ndani wala chumvi. Hahahaaaa! Wakachekaa! Fanya urudi, haina lazima kuwa maadui, hatuongei, umri ushaendaa, mtoto mkubwa yule 4 yrs, we should not fail as parents that is the most important thing now, since we failed in everything else.

Mgonjwa akamwambia embu nipe maji nimeze dawa mda umefika, akamsogezea, akamwambia nipeleke chumbanii nikapumzikee, akawa kamsindikiza, akamwambia kiukweli nitarudi nyumbani for my daughter na because the cookings here suck! Hahahaahaaa! Nimemiss misosi yako kinomaaa. Na kudeka mgonjwa imooo. Hahahaaa! Wakachekaaa.

And the ice between them was broken, they buried the hatchet.

Anny kwa mchaga huku hali tete, mchaga anakwepa kwepa swalaa. Akawa concerned ndo ashakuwa hanisi au? Akaona bora ajaribu kwingine. Weeeeeeeeeeeeee! Kapiga show ya kibabe sio kidogoooo. Akasema au ndo nishapata kisukariii? Akaenda kupimaaa. Iko normal tu hana tatizo lolote. Akajua itakuwa ilikuwa woga tuuu.

Akaanza kujiandaa na mechi ya marudianooo, anakula mihogo mibichi, karanga, na asiambiwe kitu inaongezaa yumoooo. Supu ya pweza daily. Kama si yeye. Akaanza kutoka chunusi nyege zimemjaa si kidogo. Akasema sasa Anny utaisoma nambaaaaaaaaa! Katika maongezi akamwambia aisee Anny nataka kukutoa resort weekend, pale bahari beach nimelipia chumba cha $170, nata tuspend weekend wote. Anny akachekaaaa! Jamani Mangi hiko chumba tutakuwa wote au ndo mambo ya kazi za ghfla usiku nilale mwenyewe? Mangi anajitutumua tutakuwa woteee, niaje tena Anny mbona unaleta mambo sizooo. Unafiiii unafikiri kweliii! Mimi lazima niwepo nimezima simu! Mangi nae kwa kujitutumua. Hahahaa! Akamwambia haya najiandaaa, ole wako unizeveze kama kwaida yako and you better get it done this time. Mmmmh! Mangi moyo ukampasukaaa. Akjitutumua ofcourse Anny you will never regret.

Moyoni Mangi anajisemea wewe jishaue tu, mimi Mangi ndo kiboko ya Anny utawakumbuka marehemu wenu wote kwa kazi nitayokupa.

The stuff that dream are made of!


Ikawa Anny anajiandaa na mechi kali, maana toka Daddy aondoke ni kitambo kidogooo si mnajua tenaaaa, mambo ikawa kayamisi, mpaka kumpa mchaga mechi ndo mjue simba akizidiwa anakula hata nyasi potelea pote.

Akawa anawaza ikitokea kashindwa tenaaa itakuwajeee? Akajipa moyo haiwezi tokea bwanaaa. Siku ile tu ilikuwa na mambo mengi mchanganyikoooo. Mpaka mechi kaomba mwenyewe itakuwa kajipanga kapangika, mpaka katoa $100 na ushee kwa usiku mmoja itakuwa si bureee.

Akawa anajiandaa, akataka kunyoa brazillian, akakumbuka wembe nao unatoa mapele mapele sanaa, so akaamua kufanya waxing kabisaa Upanga huko kwa wahindi. Akawa anawaza Mangi akichemsha safari hii atanilipa hii 80,000 ya waxing haki tenaaa. Akanunua lingerie mpyaaa, bikini ya kamba 3 tuuuu, sidiria bustaaa. Akaenda na kwa sonara kusafisha cheni yake ya gold.

Ijumaa kufika akawa yupo tayariii kwa mechi kali ya marudianoo. Asubuhi kampigia Mangi, aseee Mangi usiyeyusheee, mimi nakutegemea ujue. Siwezi kuyeyusha aisee bae. Nishabook na kulipia kabisaa chumba hikoo. We ukitoka kazini pitilizaaa. Nikuletee nini? Mangi anajiongeza si mchezooo. Niletee chocolate, juice ya Delmonte, pringles na wafer. Mangi akatia nitumie sms mambo yenu wanawake siwezi kukumbuka vyote hivo.

Anny katoka ofisini huyooooo mpaka hotelini. Kavua nguo zote, kaogaaa, akaenda na kuogelea kwenye pool pale, akarizikaa. Akarudi sasa kufanya maandalizi ya maana. Chetezo chake cha umeme, kachoma udiii na kujifukiza kwa bibi wa kitosha, mjaa asili haachi asili.

Akavaa vile vikambaa, akawa kajilaza anasoma kijarida alichokikuta humooo kuzugaa tu. Mangi kaja moja kwa moja mlangonii, akataka kuingia, akasitaa. Akasema hata ngoja nifanye tambikooo kidogooo. Akawaita wazee wake, jamani wazee wangu, babu zangu wa baba na mama mliotanguliaaa, akawataja majina yao, naomba mnisaidie kijana wenu leo nisiaibikeee. Mama yangu huko uliko kama unaniona naomba unilinde leo jioniii. Akasema miiko ya kwao pale.

Kuingiaaa anakutana na mtoto kwenye vikambaaaa, tumbo likamkata traaaaaaa! Akajikaza kiume akaingia. Eeeeh nimeleta vile vitu, yani network ishaanza kukatikaaa. Akaja kuvipokea kwa madaha, mangi jicho limemtokaa si kidogo.

Basi Anny anafanya kusudi tu kupita pita mule ndani kumtamanisha tu mangi wa watu, mara aangushe vile vitu chini ainame kuviokota hapo kambinulia tipa mangiii. Balaaaaa! Mangi huku confidence level zinazidi kupungua.

Anahaha jasho linamtokaaaa! Anny akaja kumkalaia, akajua labda atamvua nguo ama vipi, mwenzie kafikia kufungua zipuuuu na kumshika mzeee! Yaani Mangi anachokaa formation aliopangaaa inavurugwaaa. Akawa sasa anadata hana maamuzi acheze 4,4,2, au atumie 3,4,4,. Tumbo likazidi kumkataaaa.

Anny akapiga magoti, afanye ibada za kitanga rasmi mambo ya shika maiki. Ile anasogeza mdomo, mangi akapigaaaaa subirìiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Akashangaaa! Mangi kainuka kabana miguuuuuuuu, hata kutembea hawezi? Anny anamuliza vipi tena baby! Katoka mbioooo mpka choooni!

Anny akabaki anashangaaaa! Yuko chooni huko anasikia mabomuuuuuuu! Ndo keshashikwa na tumbo la kuharishaaa tenaaaa. Tena lile lisilo na staha la papapaaaaaaaa! Anny anayapata mabomu tuuuuu!

Anny aksema maskini Mangi almanusura kujinyeaaaa! Hahahaaaaa! Akawa anacheka kwa masikitiko. Alitegemea kukereka ikawa kajichokea tuuuuu. Baade ndo anarudi, tumbo lilinibana bwanaaa, sasa nipo gadooo. Anny akamwambia poleeeee, Mangi anakuja kwa madoido zaidi ya yamoto band, kutaka tu kupanda kitandani akanasa tenaaa.

Ndo kukimbilia chooni tenaaa. Ametoka hoi, ama kweli tumbo halina adabu. Akasalimu amri. Leo sipo vizuri kabisaaa. Ikawa trip tu za chooni haziishii usiku kucha mpaka saa 7. Anny akamkorogea maji ya chumvi akamwambia kunywaaa. Ndo kidogoo kupata ahueni. Wakawa wamekaa tu, mangi kajifunga taulo hoiii kajilazaaa, maneno yamemuishaaa. Anamwambia kama umeboreka nenda tu dear.

Anamuuliza naenda vipi unamwa hivi nakuachaje sasa. Wewe nenda tu usijali kuhusu mimi. Mangi machozi yamlenga hahaaa! Anny akamwambia acha ujingaa, mi nipo hapa kukuangalia hali yako, asubuhi nakupeleka hospital. Basi Mangi anajitutumja najua nimekudisapoint sanaa. Anny akamwambia hamnaaa, kesho pia sikuuu nayo. La maana upone kwanza.

Saa 8 Mangi kaanza kuchemka homaaaa. Wamoto, zima Ac, anatetemeka. Akamwabia twende tu hospital hakulaliki huku. Kufika akambiwa ana malaria nyingi mnoo hawaelewi alikuwa anatembea vipi. Na kulazwa hapo hapo.

Basi akawapigia ndugu zake wakaja pale akaondoka zake. Mara ya pili bila bilaaa. Ikawa kaitisha kikao cha dharura kuwauliza mashogaaa, kwani ana ubaya ganiii??? Au kazeeka? Au hana mvutooo? Wakamuuliza vipi? Akawajibu tu nina matatizo sio madogo hata aibu kusemaaa. Wapo tuambie. Akawaambia siku nyingine labdaaa.

Baba Melissa karudi, ikawa washatengana vyumba, wanaishi kila mtu na mishe mishe zake. Akapona akarudi kama kawaidaaa. Akaja kuambiwa na mmbea baba Melissa ana Gf, msichana mbichiiii kamaliza chuo. Akamwambi basi sawaaaa.

Basi siku hio jioni alivorudi akamtania nasikia una demu mpyaaa, chombo cha maanaaa! Wambea washaniambia. Akachekaaa tuuu. I guess no country for old men, kabinti kadogo kadogooo. Basi anamwambia acha kabisaaa. Mzee nina wewe ndani, nje nikatafute tena mzeee, haihuu kabisaaa.

Siku nyingine Melissa akaja kumwambia mimi simpendi aunty mwingine, anakaa kwenye siti yangu kwenye gari ya dady. Ananiambia nimuite mama. Simpendiiiiii! I just dont like her. And she kissed dady on the mouth! Yaaaakhhhhh!

Angy akajisemea tu kimoyomoyo mtoto komaaa, ashamvulia chupi baba yako ndo mama yako wa kambo tayariii hivoooo. Ila akazuga zuga tu.

So kwenye kikao chao akawa kawasimjlia the girls hio ishu, wakamwambia wewe bado mdogo, date some body else. If baba Melissa dsnt want it other people do. Cha nini kiozee kwenye pichu wakati wenzie wanakitolea macho. If he is seeing other people, see other people also.

Akawa analitafakari hiloooo.

Sisca huku katika kukaaa kukaa na KLM siku hio akamshika mkono, akakuta vijiti! Anamuuliza nini hiii? Aka kaa kimyaaa. Naomba ukatoe hivi vijiti kesho. Nikija kesho nisivikute hivi jiti mkononi.

Akamwambia siwezi kuvitoaa, sindano zinanifutushaaa, na wewe wa kwanza kuchonga nikiongezeka hata gram. Vidonge vinanidhuruuuu. Akamwambia wewe huna hata mtoto mmoja unaweka vijiti ukija kukosa uzazi utamlaumu Mungu kweli? Mbona unapenda kurisky lakini?

Sisca akamuuliza nikitoa vijiti inakuwaje sasa? Maana mechi tunapiga kavu kavu, wewe si ulisema eti condom zote zinakubanaaa? Mara zinakupa rashes, ili mradi tu usivae. KLM akasema tena usinikumbusheee kabisaaa, ulikuwa unanivalisha condom wakati una vijiti mkononi.

Sisca akamuiliza inakuwaje sasa, utavaa condom? KLM akajibu hapana kama nilivokwambia zinanibanaaa. Mmmmmmmh! Tutatumia Calendar. Sisca akamwambia sijaridhia, calenda si salamaa, nipe mda nifikirie.

KLM akamwambia sasa mimi nakupa option toa vijiti, yutumie calendaa, njia salama kabisaa, au mimi mechi nasimamishaaa. Maana tushaanza kushindana humu ndani. Mimi nakushauri kitu cha afya yako afu unaleta ubishi usio na tijaaa. Kikipotea humo utasemaje? Sisca akakaa kimya moyoni akajisemea hujanibebesha mimba kipompiii namna hio, hakitoki kijiti wala chelewa.

Kesho KLM karudi kamkuta hana plastaaa, basi akasalimia, wanapiga story vizuriii, mda wa kulala kalala na boxer. Sisca akasema alivo mdhaifu hapakuchiii. Palikicha salamaa kabisaaa. Asubuhi kaoga huyo kaenda kazini.

Siku ya pili akaamu yeye Sisca kulala mtupu kabisaa, anamjua mdhaifu sana yuleee, hata kushtuka hajastukaaaa, kalaaaa fofoooo mpaka asubuhi. Huyo akaishia zake kazini kama sio yeye. Hajanuna story kama kawaida sema supply ya mechi kaisimamisha.

Siku ya tatu akasema atamtegaaa mpaka kielewekeee. Akalala bila nguoooo, usiku anampiga mabusuu, na kumshika shika ndo kwanza anageukia ukutaniii. Basi anambembeleza akamjibu tu nyege zangu ni psychological ujue, sababu ushakaa jambo nililokwambia haziwezi kusimama hata ufanyaje. Wewe katoe vijiti tu, hapo itakuwa umepress on vinginevo niache nilale.

Kesho akaenda kutoa vile vijiti. Karudi mkono unamuumaa si kidogooo. Alivokuja akaona bangage basi akaanza kuwa romantic, anakuja embu nione, pole baby wanguu. Akambandua ile plasta akakuta kidondaa. Wacha Sisca amuweke ngumi maana sio kumtoneshaaa. Pole baby nilikuwa nahakikisha hunichezei picha la x. Poleee kidonda kinatishaa.

Njoo hapa kitandani, akamwambia si kwa maumivu hayaaa. KLM anamwambia ujue ukiwa unaumwa unatakiwa ukae na bwanaa akuliwazee, njoo hapa uone kama utasikia maumivuuu. Akaendaa, akaanza kumpiga mabusu mabusuu, mara anashangaa mtu kasha dindaaa. Mmmmh! Mara anaanza kumvua nguo. Akamwambia sio kwa maumivu hayaaa! Kutaka kutoka kambanaa, akamwambia ukifosi kujitoa utaumia sio kidogo. Aaah bwana mi naumwaaa sitakiii.

KLM anamwambia mambo yashaharibika siwezi kupata blue balls we upo, it wont be fair, nakufanya taratibuuuuuu okay baby. Very careful hwezi kuumia. Umensikiaaa. Ana seduce, Sisca akalainkaaa, ila akkumbuka katoa vijiti. Akamkazia labda ukachukue condom. Mmmmmh! Akamwambia sikizaaa, namwaga njeee. Niamini mimi namwaga nje, nishawahi kukudanganyaaa? Sisca akawa kaelegea, akaumuamini. Huku na huku kajisahau, kamwaga kila kitu ndaniii.
Let as not ask for the moon we have stars.


KLM akajikosha kosha pale, umri na nini ndo vimemfanya ashindwe kumwaga njeeee. Sisca akajikalia kimyaaa tu. Ikaanza formula ya calendar, siku za hatari lazima KLM afanye maarifa ale mzigooo, kavu kavu. Sema Sisca mtoto wa mjini akaiuza mechi kesho na aamkia 72hrs pills

Ila kiukweli kwa KLM alifika beiii, leo kesho alikuwa anamngoja amtangazie ndoaaa. Alitamanii big day ifikeeee, aaaaawwwwww! Akawa anangoja tuuuuu. Kwa hamu zoteee. Mama mkwe nae anamta ndimu kama nini mwali wangu, mwali wangu mpaka rahaaa.

KLM yakamshinda akamuuliza hivi wewe mwanamke hutamaniii ndimu ndimuuu hivi, embe mbichi, mabungo kama wanawake wenziooo! Sisca akacheka tuuu. Akamwambia hapana mi natamani burger, pizaa. Akamjibu ahaaaaa! Basi sawa.

Anny akaenda kwa Angy kumtaka shauri la siri Sisca asijue, kamuapisha kabisaaa hatouza cd. Akamwambia shogaaa mwenzio nimekwishaaa, acha tu usinicheke. Angy anamwambia nambie naweza kuwa wa msaada kwako.

Mwenzio nina bwanaaa, japo haeleweki kanivunja maini kabisaaaa, kasindwa kudindaa. Angy akabaki mdomo waziiii! Haaaaaaa! Hajadinda kwako? Annn akamjibu ndio shoga mara 2 sio moja. Angy yuko tobaaaa!

Yaani shoga nimechokaaa, sijui natisha siku hiziii maana wanasema ukitembea sanaa na mzee anakuzeesha, sijui nanukaaa, mpapa umevundaaa hausikii udi wala marashi ya pemba, sijuiiii. Na kinachonitishaa huyo alieunawa mzigo mshamba ,shamba flani hivi, nawaza kama yule pimbi kanawa, mtu classic itakuwajeee? Naogopa hata kujaribu na mtu mwingine asosinda na yeye si nimekwishaaaa.

Angy akagunaaa mmmmmmh! Labda ushamba wa huyo mtu umechangiaaa. Maybe alipanic au hawezi levwl zako, embu jaribu na mtu classic uone kama itakuwa bila bila au vipi. Anny akamwambia lakini i like this dude, he is not my style, ila imetokea tu nimemzoeaa, na ennjoy kuwa nae vibaya mnooo. Ana mambo yake ya ajabu ajabu nayaona amazing. I just like him a lot. He makes me wanna be myself. I dont try so hard arround him. Mxiuuuuu!

Angy akamwambia basi kama ndo hivo stick with him, kwani kuna tatizo? Anny akamjibu yapo mengi kwa kweliii. Kwanza kabisaaa hajui kuvaa. Angy akamwambia unamuelekeza tu, sometime unamnunulia wewe, mbona inarekebishika tu hio. Baba Melissa mnamkumbuka enzi zake, sahivi wanakula wengine jasho langu, dunia hiii. Unamfanyia shopping kama umeamua hio sio issue. Nguo sio mwili au ngozi useme hawezi kubadilika. Maybe kama ana bad genes inaweza kuwa issue.

Anny akamwambi maneno kuntuuu hayooo, sikuwaza kabisaaa, lakini hili la kutokudinda inakuwajeee? Angy akamwambia kama ingekuwa mimi ningejitahidi tu. Manake ushajua tatizo panic, basi kwanza unamwambia tuwe marafiki tu, kumuondoa kile kimuhe muhe cha mechi, siku hajatarajia kabisaaa, unatengeneza mazingiraaa, mbona tadindaaa tu. Na mazingira yenyewe sio ya mechi kaliii, maandalizi nini, mazingira tu ya maongezi wawili, unampa mistari ya kimaosha na kumelewa, ishu moja inaanzisha ingine, mara umemlalia, unampa mate atadindaa tuuuu. Hahahaaaaa!

Anny akasema pambe sanaaa hio. Nitaifanyia kazi ila Sisca usimwambie. Angy akasema walaaa simwambiii, naona KLM anakazana kumtia mimba, ndoa hatangazi yu
E nae anamuweza mwenyeweee! Hahaahaaaa! Wakachekaa.

Anny akamcheki Mangi, kumjulia hali na nini, Mangi anajitutumua kulilaumu tumbo kuomba rematch. Anny akamwambia lets just be friends, tumejuana mda mfupi sanaa, tuwe tu marafiki wa kawaida. Mmmmmmh! Mangi kilimuuma kurudishwa kwenye frendship zone sikidogooo. Akavumilia tu atafanyajeee.

Basi siku hio Mangi akamuaga ananeda Zanzibar hide away Nungwi, pesa ndefuuu. Anny akamwambia nichukulie chumba na mimi nikusindikize. Mangi anakufa na tai shingoni chumba cha nini tulale wote tuuu. Akamwambia aaah rafiki acha zako we nichukulie na mimi. Mangi akagomaaa akadai hela hanaaa.

Anny akamwambia basi sawa nakuja kwenye humba chako ila dont try anything, we are friends. Mangi akamwambia mimi kama kawaida yangu ngamia wa maoneshoo tu, sina effect. Mmmmmmh!

Wakaenda Zanzibar, hide away nungwi pambe sanaaa. Anny akawa kajiachia anaoglea tu, Mangi yupo kazinii. Jioni katoka kazini jua linazama kamkuta, kajilazaa kwenye zile beach beds, wakaanza kupiga story. Hapo yupo na bikini tupuuu.

Basi story za maishaa, mama yao wa kambo alivokuwa anawatuma shamba afu mwanae anabaki nyumbani. Jinsi alivokuwa nasoma kwa uchungu sanaaa. Jinsi kaka yake alivokuja mjini akawa dereva wa ubalozi wa denmark na kumsomeshaa. So many tjings ambazo hakuzijuaaa.

Jua likazama kigizaa kikaanza, anny akaenda kujibanza kwa Mangi, madai anaogopa chunusi, baharini paleeeee. Sasa Mangi story zimemnogeaa, ana hamu aendelee kumsimulia , manake akawa kashaanza kumzoea. Anny nae anamsimulia siku ya kwanza kumuona alisema kaka mzuri, yule ila mshamba mshambaaa. Hahaaaaa! Mangi akamwambia kwa hio mimi mshamba? Anny akajibu kidogo sio sanaaa. Wakachekaaa.

Basi Mangi akawa anamwambia siku ya kwanza kumuona alijua mmarkani eti, maana alikuwa kavaa hills ndefu, ananuki vizuriii, hadi akauliza dada yule nani, akaambiwa mke wa Dady akae mbali, kila akijitahidi kumsahau anashindwaaa. Kila akijitahidi kumsahau anashindwaaaa.

Basi Anny akaanza kumuwekea mguu, sasa si tupo wote hapaaa, marafiki wenyewee, anampapasa papasa, dreams are valid ujue anamwambia Mangi, umeona the gods delivered me to you kwenye bikini. Anampapasa pasa hapo.

Mangi akaona sas huu uboyaaa, akajaribu kumpa mateee, akapoelewa vizuri tu, mate mate, katikati Anny anamuuliza kimahaba, rafiki vipi tenaaa. Ndo anamtia mangi mzuka mbayaaaa, huyu hapa kadindaa ni hatariiii. Anny akataka aingilie shoo aicontrol yeye akasema hakawii kubanwa tumbo huyu ngoja nimuacheee.

Sasa full mipapasanooo, Anny yeye anatumia nguvu kidogo na technic za hali ya juu kama kumsukuma mlevii, anasiki mani mkono upo kwenye bikini. Akasema leoooo. Mambo yameivaaa. Mangi anamwambia twende chumbaniii, Anny akamjibu hapa hapa. Mangi hakutaka mjadala zaidiii, kaipindua tu ile bikiniiikashusha bukta kala mzigoooo.

Tofauti alivotegemea he will bust quick, Mangi alilast, weeeeeeeeeeeee, mpaka akaenjoy. Kuja kumaliza hoiiii. Wakajilaza kwanza pale pale si kwa shughuli ya Mangiii. Anny kiranga chake si akamkalia mangi kimchezo mchezo. Mangi kadinda tenaaa kampa kingine cha kukaaa, hakuna kuvua bikini wala nini mwendo wa kupachua tuuuuu. Anny akawa ana hana hamu na Mangi.

Wakahamia chumbaniiii. Mangi kala mzigoooo. Usiku anashangaa Anny anaguswa guswa mzigo unatakiwa. Mangi nuksiiii sanaaaa! Hana hamu naeee. Alfajiri mzigo tenaaaaa. Akawa hana hamu na mangi kabisaaa. Akashukuru walibook siku moja kesho wanarudiii.

Si kwa kichapo kileee. Mani hapo confidence level 200% Anny kufika mjini ikabidi anywe diclofenac.

Huku kwa Angy mwaname anamwambia mummy i have a boyfriend! Haaaaaa! We mwana weeee! Akamwambia ndio. Akawa hajampatilizaaa. Siku ingine akamwambia ujue Ty hajaja shule leo anaumwa can we go to see him? Mmmh! Akamujliza who is TY akamwambia my Boyfriend. Khaaaaaaa!

Akamuuliza why do you think Ty is your boyfriend? Akamwambia one day we learned face painting, teacher said we should paint practise painting people. Every body didnt want me to paint them, my fellows were painting their friends and i was alone, i felt like crying. Then Ty sat on my space and said i can paint his face anyway i want.

Then i didnt paint him well, i was scared he will yell at me, but he said it is beautiful and i am a good painter. Mmmmmmh! Mama mtu akawaza makubwaaa! Akamtega tu so he is your boyfriend because he let you paint his face

Yes! And he always come to say hi to me on break, and gave me a flower one day, invited me to his birthday, showed me his daddy! Mmmmh! Mama mtu akazidi kuona majangaaaa! Akamuuliza which grade is Ty akawambia grade 1, wakati Mellisa yupo senior nursery. Akabaki tu katoa machooo!

Sometimes the only way you can win is through losing!

Mangi ikafika ijumaa saa 9 anamwambia Anny nipo parking hapaaaaa! Mmmmmmh! Anny akamwambia subiri mda wa kazi mwisho saa 11. Kazunguke urudi. Akasema sina pa kuzunguka nakungoja hapa hapa. We fanya kaziii.

Akatoka saa 10, hao wakachukua boti mpaka zbar. Basi Mangi anajifanya kidume ndo yeye njia nzimaaa. Anny anamuangalia anasema leo wewe usipoimba haleluyaaa kuu, mimi sio Anny wala sitokei Tanga. Mangi anajishebeduaaa, diclofenac umemeza lakini, usije kunifia room ukaniachia murdder case. Hahahahaaaa! Annny anasonyaje kimya kimyaaaa. Chezea kupoteza mechi ya kwanza.

Wamefika Zbar Mangi anamwa,bia dreva tax, pitia pharmacy kidogooo. Akanunua diclofenac akampa Anny! Hahahaaaaa! Anny akajisemea ungejua nilichokuandalia hizi dawa utazinywa wewe leo. Wamefika Anny anamwambia ngoja nikaogeleee. Mangi anasema utaogelea baadae, madai yake nyege zisha mbanaaa sanaaa. Lo! Mangi huyu vipi jamaniiiii! Akamwambia usinihribie fomesheni, acha nika swim kidogo. Basi Mangi anapiga push up eti ana pashaaa. Aiiiiiii. Anny akamwambia wewe maliza nguvu afu uje ujambe jambe kitandani. Hahaaaaa

Akaenda kuswim, akatuliza akili na kujirelax, afu akamrudia Mangi kitandaniii. Mangi wa sahivi mbabeeee, anamdakia mlangoniii, kumshika tu keshadindaaa! Makubwaaaa, kufika Anny akamwambia kaoge kwanzaa, maana ibada nazotaka kukufanyia zinahutaji usafi. Na ujisugue hilo dusheee. Mangi kusikia jisugue dushee akajua hii koniiii, hii akawahi bafuni kwa mbwebwe. Anaoga kadinda jamaniiii. Akamuita Anny njoo unisugue mgongo sijifikii! Loooh! Ili amuone tu kadindaaa. Chaaaa!

Akajitia kumvutia kwenye shawa, Anny akamchomoka, kimoyomoyo anasema nani akupe ushindi wa mezaniii. Akawa kaka kitandani. Mangi kuja na maji yake kajirusha kitandaniiii, Mangi naee kwa mbwembwe. Anny akamdakaa juu, hajampa mate wala nini kamuanza na sikio, vile vile alivosema Sensei. Mangi anahaaaa! Anny anamuuliza nikupunguzie dozii? Mangi hana analolisemaaa, akaja kumnyonya chuchu design anazingata ngata, Mangi anadataaa, Akashuka kitovuniii, Pale ulimi tu hamna kujaza mimate, Mangi akipiga mahesabu ya safari inakoelekea raha ndo hizo na hajafikaa eneo la tukio, anajifunga goli la kisigno mwenyeweee.

Kufika pale Mangi ka cremu procedure, anashangaa ulimi tu, stroke ya kwanza kama shoti ya umeme, ya pili, network inakata kata, 3,4,5,6 Akamuwekea ulimi kwenye kichwa anachezesha chezeshaaaa kwa spidiiii, Mangi akapaaaaa mbingu za 8, akajua anakuja, he just had to bust. Yupo nakujaaaaa, Anny alivoona mtu anageuza machoooni akamshika ile sehemu ya reflexxxx! Mangi akarudi dunianiiii, anashangaa kadinda badooo, Anny anamuuliza uje wapiiii, tuliaaaa, utakuja nitavoamua mimi kiboko yako, nani kiboko ya Anny? Mangi anaongea kichagaaaa. Akawa haelewi yani kama kakumbwa jini maitiiii, maana hakojoi afu ana vibrate kwa raha. Mxiuuuuuuuuuuu!

Anny akamkaliaaaa, Mangi akajua uwanja wa nyumbani anataka kusmamia show, Anny akabadili formation akainuka juu, afu anaikatikia juu juu. Yaani juu kwa juu hashuki chini, Mangi anadataaa, analiaaa akataka kumshusha chini kwa nguvi ili apumue kidogooo. Anny amashika mikono style ya kioo kioo na kumblock Mangi hana balance anatapa tapaaaa. Manake kalala kifudi fudi mikono blocked so kujinyanyua hawezi, Anny kamkalia huku kachuchumaaa afu anaikatikia ju kwa juu kwa juu mamae. Mangi anaongea kichagaaaa tu. Ikibadi aoleweee asikilizie utamuu tu, maana ujanja hanaaa! Basi anamuomba anny naomba niruhusuuu nikojoeee, nitakupa nyumbaaa, nitakubadilishia gari, sijui kuna heli gani inaingia lini nitakupa yoteeee. Anny akashuka chini na kumuinua Mangi sasa ndo kupata ahueni, huku anakojoa Anny anamtekenya miguuuu! Mangi ikabidi tu apigeee ukungaaaa! Baadae hoiiiiiii.

Anny anamwambia 3 bila hizooooo, nakudai nyumba, gari na helaaaaa! Andika kwenye diary! Hahahaaaaa! Mangi macho mekunduuuuu! Si kwa kufungwa kizembe namna ileeee.. anahemaaa tuuuuu! Hana la kuongeaaaaa. Akajizoa zoa akaenda kujimwagia majiiiii. Akarudi anafungu pochi. Anny anamuuliza vipi tena kwenye pochi yangu unatafuta Viagra au? Nilisahau kukuagizia! Hahahaaaaaaaaa! Mangi yupo serious! Akauliza zile diclofenac ziko wapi! Hahaaaa! Anny akamwambia zipu ya pembeni akiba haiozi zimekufaa eeeh! Hahaaaa!


Akameza mbili, na maji chupa nzimaaa loooh! Basi Anny kamsimamia nyumaaa, poleee, poleeee sanaaaa baby wangu nitakupunguzia doziiii. Hahahaaaa! Akashangaa Mangi kamvutia kitandani, Ambush hiooo. Kamlaza upande akamba wote wako upande upandee. Akaanza kumchezea sikio, style ile ile kumbe Mangi fast learner, mkuki kwa nguruwe kwa banadamu mchunguuu, Anny hoiii, huku anamchezea chuchuuuu, mkono mwingine upo ikulu, miguu inapapasa mapajaa. Yani mwili mzima wa Mangi unafanya kaziiii simultaneous, kwa division of labour, vidole vya miguu ya mangi vinamtekenya Anny visiginooo. Anny hoiiiii. Mangi haongei vitendo tuuuuu, Anny akasalimu amri akaomba duduuuuu! Mangi akamwambia dudu nitakupa navoamua mimk, tulia dozi ikuingiee unaongea sanaa we mwanamkeeee.

Anny akamgeuza Chalii, mwendo ule ule viunho vyote vinafanya kazi, tembeza ulimi kuanzia shingoniii, kwenye chuchu vidole vinacheza masikioni na nyweleeee, Akashuka mpaka ikuluuu, Anny analia sasa, hakuna kupaka mate, ulimi tuuuu, afu ana deal na sehemu mojaaa tuuuuu. Anny anamwambia Mangii nakipendaa, nipe duduuuu, nitakuzalia mtotooo, watoto watatu. Mangi kusikia mtoto tenaaa akasema hapa hapaa nehotion bargain imefika pake,

Akamshukia kibabeeee, kifo cha mende tuuu, Anny kuingia tu Mangi akambana na miguuu, duuuuh ahueniiiii, kidogooo. Akawa anajitibia kwanzaaa, kupata ahueni, ndo kukumbuka kumbe ile ligi ya ubingwaa, akajisemea tu, hapa nimebakisha silaha moja tuuuuu, sina budi kuitumia, nikilegea Mangi atafanya ubabe kunipindua kama kambale wakati nahitaji diclofenac 3 tayariii.

Akambaniiiii K, Mangi akaachia ukungaaa, akaanza kumbania kwa hesabu sasa, bana achia, bana achia, bana chia, banaaaaa, achiaaaaa kwa formula ileeee! Mangi kwisha habari yakeeee, wazunguuu hawa hapaaaaaaaa! Akasema tu faccccck! Anny akacheka tu. Akaenda nae kumeza diclofenac mbili kwanzaaaa. Mangi anamwambia you cheated! Second round was all mine! Anny anamwambia CHEATING IMOOOO. HAHAAAAHHAHAAAA, Mangi akasema basi hii DROOOO.

Mangi anajiongelesha after this sex, sidhani itatokea nikaenjoy sex tena hiviiii. Bora tu nikuoe unizalie wale watoto wa 3 ulio niahidiiii. Hahaaa! Anny akamwambia nyumba, gari, na hizo helaaa sijasahu. Wakacheka tuuuuu.

Huku baba Melissa akawa anawahi kurudiii, anamwambia mkewe nimemtafuta Mungu nimemuonaaaa, kumbe yule mwanamke alikuwa ananifanyia madawaaa. Looooh! Angy anamwambia sawaaa, heri yako umempata Mungu leo, mimi Mungu nishamuona kitambooo. Akianza kumuelezea umuhimu wa ndoa, na kuheshimu ndoa anamwambia that is too late! Tell that to our babies in the dustbin na mchepuko wakoo unahitaji kweli huo ushauri. Anakuwa mdogoooo. Basi kadri anavosali na kuomba angundua ni kiasi gani alivomtesa mkeweeee miaka kwa miakaaaa.

Akimuomba msamaha anamwambia kwa mambo tuliofanyiana it will take more than few words to set the record straight. Just because you said some few lines everything is not okay. Anajitahidi, Mungu anasemehe mke wangu, sio tena mama melissa. Looooh Anajitahidiii kujiongezaaa, mwenzie barafuuuuu.

Huku Captain anapanda dau, anamwambia i want to marry you formally, nikuchukue kwenu kwa heshima kabisaaa, nilipe mahariii, niithibitishie jamii you the woman of my lifeee. I dont want to be the guy in the shadows! I want to respect you and make you my wife infront ofmy God and everyone esle. Give me the chance to love you the way you deserve.


We will start our home, with Melissa, Ty and me, Mungu akitujalia we may have other children together. But i promise i will be the best father and husband ever seen in this world. Please say yes! I cant wait anylonger, we are old now. It is ether now or never.


Akasema Yeeeeeeesssss! I thought you will never ask. Yeees anytimeee. Wakawa wanapanga harusi, Angy akamwambia twende tu bomani, tukafunge na watu wa familia basi. Wakakubaliana. Babu Ty akamtafutia mama Ty shule nje ili wakioana tu aondokeee.

Akawa hajarudi kwake kama mwezi hiviii. Kila siku baba Melissa anapiga kumuomba arudiiii. Mpaka paroko akampigia aende wakayaongeee. Siku aliporudi kafurahiii, akajua Mungu kamsikia, kufika akamwambia mi nimekuja tu kukuomba one last favor. Yupo anything for you my wife. Akamwambia naomba Divorce, sichukui chochote. Just my divorce! Haaaaaaaa!

Akamwambia nisameheee, kapiga magoti analiaaa, nisamehee, nakupenda sanaa mke wangu, nisameheeeee. Pleaseeeeee! Nipo tayari kwa lolote lakini tusiachaneeee. Nimekuja kugundua all my happies memories are with you. I want to spend the rest of my life is with youuuu.

Akamwambia TOO LATE. You had so many chances to forgive and move on but you didnt, Baba Melissa anajielezeaaa, sio hivo nililogwaaaa! Shetani tu. Akamwambia all our marriage you wre cheating on me! Anajitetea aliniroga, haya baada ya kuumwa ukatafuta gf mpyaa why hukurudi kwangu, michoziii tuuu, hana la kusemaaa, ukamrudia tenaa yule bibie w zamani, All this while i was here sitting waiting in vain, for you to just take a second look on me. Anaomba msamahaaa. Maneno yote anajimalizaaa. Angy akamwambia IT IS TOO LATE! Tumefikia POINT OF NO RETURN. Wewe nipe tu hio Divorce, i am marrying Captain soon. He is everything you never was.

Akamwambia hiii ndoa ya kanisani divorce NEVER. Nakuombea kwa Mungu akupe moyo wa kunisamehe mumeo wa halali. Mama Melisaa kesho akaja kuchukua kila kitu chake na mtoto. Baba Melissa akamvizia Captain njiani eti anataka kumpigaaa! Captain nae akadindaa, baba Melissa anachimba mikwaraaa, achana na mke wanguuu, nitamrudishaaaa. Unaniharibia ndoa yangu. Captain akamwambia mimi sio mjinga kama wewe, yaani namtreat kama malaikaaa, pole sanaaaaa. Umeuza nyumba yako Umesafiri kwenda South kuchimba dhahabu ukaona gazetini alienunua nyumba yako ndo ana mgodi mkubwa sanaa Africa, na mgodi wenyewe hapo hapo kwako ulipopauza, i feel you , man, believe me nimesafiri sanaa, dunia nimeiona ila kupata mwanamke wa vile si rahisi hata kidogooo. Simuachiii. Hata usipompa talaka namuoa kienyeji hivi hivi. Baba Melissa vikamchomaaa, akajiondokeaaa.

Siku hio mama Melissa amekaa ofisini akaletewa karatsi na EMS, Kufungua akakuta hati za nyumba, viwanja, mashamba yao, mwsho kabisaa DIVORCE PAPERS, kukagua amesha sainiiiii. Na barua fupi tu, nimeondoka kwenda kuhubiri injili na wazungu flani, Maisha yangu yaliyobaki nimeamua kumtumikia Munguuuu. Sitaoa tenaa. Mali zikusaidie kumlea Melissa. As much as i hate to admit i dont deserve you, Captain will be a better father to Melissa than i ever was. I wish you a happily married life. Just dont let Melissa forget me. If God wishes i will be touch from time to time. Machoziiii tu yakamtokaaaa.

KLM akawa imepita wiki 3 kimyaaa, hampigii simu wala meseji. Sisca akaaanza ku,pigia, ikapokelewa akawa anaongea fresh tuuuu. Hivo hivo kila siku anaongea freshhh, sema ndo haji wala nini.

Sisca akamuuliza are we over maybe just friends? Roho inamtoka si kidogooo. KLM akamwambia my offer is tushi wote, kwangu, uwe mke wangu ila harusi hamnaaa. I will be the best father there is, always available for you and the kids, hard working hutopungukiwa kituuuu, will respect you as my woman alwaysssss.

And most of all nataka tuanzishe familia ASAP. Umri ushaendaaa, so familia ni muhimu kuliko muhimuuuuu. Kama uko tayari kwa hivi vichache njoo nyumbani uje na vitu vyako vyoteee. Otherwise nakutakia maisha memaaa.

Mmmmmh! Akahamia kwa KLM jumlaaaa. Basi huko kutafuta mtoto ndo KLM akawa obssesed njia hii mtoto anaingiaa fastaa. Ukishadoo weka miguu juu nayo inasaidiaaa. Loo jamaniiii.

Akaanza kunenepaaa, kupima kitu na box, basi sio kudekezwa na KLM, Clinic lazima ampeleke wamesemajeee, yaani alikwa more than committed.

Akiwa hajawapasha mashotii Anny akamtumia sms, hapa nilipo nina Mimba ya mchagaaaa! Nimedataajeeeeeee! Hatukupangaaaa! Ile Zanzibar nilipitisha kuchoma sindanooo.

THE END OF ONE THING IS THE BEGGINING OF ANOTHER!!

Basi Sisca akamwambia, i am pregnant tooo! Anny akamwambia i am happy for you. Harusi lini? Sisca akmwambia shogaaaa hamna harusi, we just gonna have a baby! Isnt it wonderful! Anny akamwambia it is not! You deserve better, you saved yourself so much to deserve this! Atleast i got to wear the white dress once. Not that ina cha maana, just that every ladies dream is to wear it atlest ones.

Sikia Sisca usikubali, tufosi kingi, yeye si hataki harusi? Si tunakufanyia bridal shower, na sendoff afu kama mbabe asifanye harusii. Tunaalika mji mzimaa. Hahahaaaaa! Dont let him destroy your dreams easily, put up a fight unamlelea lea sanaaa. Ashakugeuzaaa godorooo kukulala kichwani. Its is not fare.

Sisca akmwambia umri wenyewe huu, bora hata nina huyo mwanaume, atleast im not gonna be a single mother on the bright side. Ill have a family! Not quite as i planned but it is something better than nothing. Anny aksemaa hapo kwenye usinhle mother ndo kutaponihusuuuu. Hahaaaaaa! Wakachekaaaa.

Anny akaja kumwambia Mangi, bwana kuna blander tulifanyaa, imejibuuuu. Mangi kafurahiiii, akamwambia nataka kuja kukuoa. Anny akamwambia sina uhakika, ujue nishaolewaga nikashindwa, mara pili ikawa nusra, nusra almanusraaa, niolewe tenaaa. Sasa hivi im not so sureee. Cant we just have this baby! Out of wedlock!

Akamwambia sikia najua unasitaaa, ila kuna leo na keshooo, sis wachaga bwanaa. Siku sipo, watakunyanganya mali na mtoto ubakie unashangaaa. Mi sitaki mwanangu aende kuomba jasho langu kwa nguvu zangu mburaaaaaahhhhhh! Hapa harusi lazimaaa.

Anny anamwambia mimi im not comfortable, wewe hujawahi kuoa and all, watu wataongea sanaaa, anamuoa mtalaka, mara alichumbiwa na babu. I am not suree i can handle all that pressure na mimba hii. !Mangi akamwambia basi tufunge ndoa ya wawili tu bomaniiii.

Anny akamwambia Mangi, tuishiii tu baby, kama Mungu kapanga kuishi tutabariki ndoa mbele kwa mbele but another wedding no baby! Not me again. Najua hapa wataongea kaoa ila kuja kunitoa ndani kwako hawaweziii. Hahahaaaa! Mangi akakubali kishingo upandeeee.

Basi wakawa close na Sisca wote na vitumbooo. Angy anawacheka tu, hapo anakaa na captain karelax, ashafunga ndoa yake ya beach kwa ushawishi wa Anny ile idea yake. The vows are just wow! Kila mtu kamuandikia mwenzie vows zake! So magnificient. Wakaenda na bomaniiii. Akawa ana rahaaaa.

Captain mstaarabu, na wanae wawili, na yule Ty kamlea vizuri, yaniii akajutia mda aliopoteza na yule boyaaa. Captain anarudi kula mchanaaa, wanafanya home work wote na watoto wao, anawasimilia story, wanasali wote siku ingine anapikaaa. They were homeee.

Mpaka akawa anaboa Angy, akienda meeting na mashosti kidogooo nawahi kumuandalia mume wanguuu! Shogaaaaa! Mumeo huyo mume wa kwanzaaa! Tufanye hiki siku flani, nina plans na mume wanguu. Loooo! Mume huyo vepeeeeeeeee! Ndo kapata mtu wa kumpenda akapendekaaa, basi ndo inakuwa addiction ya penziii.

Akaanza kuumwa umwaaa, kwenda hospital mimbaaa, ya twinsss. Akafurahii watoto wao na shoga zake watalinganaaa. Akawaambia wakawa wanakula wote embeee. Kila mtu kamimbikaaaa. Ikatokea complication kwa Anny, akaambiwa mimba ya mapacha , ila kutokana na kizazi hakina nguvuuuu, kwa mambo yake yaleee, itabidi ashonweee huko kw bibi, miezi tisaaa. Kuzaa operation, afu ndo atafumuliwa, na mda wote bedrest.

Akawa anaogopaaaa anawazaa, isije kutoka jamani twins wake. Ila captain was so supportive, mda wote yupo bega kwa bega, anamtia moyo hawawezi kutoka, usiji stress Mungu mkubwaaaaa.

Ikawa wakikaa wanagombania majinaaa. Jina hili nimeliwahi. Anny nikizaa wa kiume nachukua hilo la Tyron, nikizaa wa kike nachukua Melissa. Angy na mimi Tyron nalitaka, nikipata wote wakiume inakuwa Tyron na Tyrese. Hahaaaa! Sisca yupo mimi hata sichagui jina, asipopewa jina la mama mkwe sijuiii. Akitoka wa kike lazima amuite jina mama yake Tatu Shabani! Hahaaaa! Anny yupo hio si namba jamaniii! Hahaaaaa!

Wakawa wanamstress Sisca wafanye ile bridal shower bila hata harusiii. Akawazaa akana kwa KLM sio sehemu ya kubeep anaweza hata kumsusa mtoto kisa bridal shower. Hahaaaa! Akawa ashakubai harusibtena maisha haya yeye basi tenaaa.

Siku ya siku mimba ina miezi 3, KLM anamwambia nataka niletemshenga kwenu nilipe mahari, hii safari ndefu, mzee wako hashindwi kunisusia maiti. Uzuri wa mahari, ukinitibua nadai changu choote! Hahahaaaa! Na faini juu.

Kina Anny wakasema sasa ile bridal shower ndo mwakeee. !Mila zitaturuhusuuuu, si ushaolewa kimilaaa. Loooooh! Hahahaaaa! Wakaenda kuposa, posa ikapokelewa mahari Milioni 6. Tobaaaaa! Sisca akasemambasi tena KLM hatoi. Wakaaga akawalaumu sanaa wazazi wake si kwa mahari ileee! Akaambiwa ashakutia mimba katuchafulia ukoo, faini tu mil 2, bado mkaja wa mama, mwenyewe ulizaliwa njiti kwa hio mkaja haushuki milioni, mama yako alikandwa maji mengi sanaaa. Za kukusomeshaaa, bado faini ya wajombaaa. Milioni 6 halali kabisaaa.

Akajuuta kuwafahamuu. Hawezi basiiiii apunguze tumkopeshe mke, kama mke anakopeshwaaa. Atatumalizia kidogo kidogo. Washenga wenyewe wakawa wanalalamika si kwa milioni 6. Mke mwenyewe bibi. Hahahaaaa!

Basi anamwambia walipe 1 million tu, zingine potezea, KLM akamuuliza kwa hio nikukopeee? Hahahaaa! Sisca ananyamaza. Basi nikuchangie Milion 3. KLM akamjibu ili uje seme ulijioa kwa hela zako. Siku waliopangiwa kimyaaa hawakurudi. Sisca akajua basi tenaaa. Akawa anataka arudi zake kwake kwa KLM jumapili baada ya jmosi kuchomeshwa mahindi.

Asubuhi akamwambia usirudi nakuja hukoo na bi mkubwa na mjombaa. Akawa anawaza KLM kwa ujeuri wake atatoa hata laki 5 azingue. Tumbo jotooo. Sababu jana walipika afu hawakuja, baba ake akaema hamna kazi mara mbili, hatupiki chochote leo. Wala bia sinunui. Waje wasije watajijua.

Saa kumi wakaja watu kibaooo. Mjomba mtu ndo mshengaaa. Mama Sisca akaona soo akaenda kukopa bia kwa Mangi, maana ilishaanza kuwa aibu mjue. Bia moja mojaa. Wakaanza kushusha kreti, kwenye gari hatariiiii. Wanajisevia wanawapa na majirani na nini sio ishu. Watu walikoga bia, mi Jackdaniels red lebel za kutosha, black lebel za kutoshaaa.

Sisca akaitwa unamjua huyu? Ndio namjua? Nani? Anaona aibu, mpenzi wangu! Akaambiwa haya nendaa. Mshenga aaknza ooh tupunguzieni kidogooo, tunataka kuoa, hali ya maisha. Mzee akawaambia haipungui labda mpungue niwakopeshe mke, kama mke anakopeshwaaa! Khaaaaaa! Maneno gani tena hayoooo mkwe.

Wakauliza mahari bei gani? Milioni 6! Anapokea nani? Baba mzazi. Wakashusha kimalborooo. Baba akawauliza mnapunguza ngapi tuandikishane? Wakamwambia wewe pokea tutakapoishia ndo hapo hapo. Akasema sawa.

Burungutu 6 cash, million sita cash! Watu wananongonaaaa. Tumeeeee! Wamemalizaaa! Si kwa mahari ileee. Baba akarudisha million! Wakamuulia vipi mzee? Oooooh mahari haimalizwi, lazima tuwadai. Lazimaibaki tunawadai, mkimaliza yote kama tumeuuza mtoto. Mjomba akagomaa, akachomoa 10,000 tu, basi mtatudai hii 10,000.

Basi watu vifijooo, akaitwa akavishwa peteee. Picha na nini, ndo ndoa hivoooooo. Akawa karudi kakwe. Kina Anny wanamwambia sasa ile bridal shower vipi? Sisca anawaambia mnataka nidaiwe milion 6 za watu. Thubutuuuuu! Yani hapa nimekuwa nanadabu hatariii, si kwa mahari ile. Hahaaaaa!

Siku hio ana hili wala lile anamwambia twende tukaandikishe harusi kanisani? Akauliza eeeeh! Hujanisikia au? Aaaasijaelewa! Akamwambia kwa mahari ya milioni 6 ulitegemea sitokufung mpaka kifo kitutenganishe? Hahahahaaa! Sisca akawa hajui yupo serious au anatania. Akajibu hayaaaa! Akawa haamini.

Akamwambia chagua tarehe mwezi huu huu, sitaki mimba ifike miezi 5. Sisca akataja tu anajua mizinguooo. Jumamosi wkaenda akaandikisha kweli parokia yao. Akawa haamini, akaenda kanisani tu asikie tangazo la kwanza linasomwaa! Akaenda na kin Anny na Angy na mitumbo yao. Wakaangaliana. Almanusra washangilie katikati ya misaa.

Anny mamashughuli hatuna mda kabisaa, siku zimeishaa inabidi gauni, sijui nini. Vikao tutakaa lini? Akaensa kuwaambia kwao wakanuna sendoff gani ndani ya mwezi jamanii. Ila akawaambia yeye kama yeye kajiandaa, watakapoishia ataongezea. Baba mtu yupo bora hata ile m6 ipo sio kwa makusudi hayaaaa.

KLM yeye ana watu wake kwama 30 hivi wampa support ya nguvuu,,vijana wa mjini, aliokusanya mama yake niongezaa tu.

Ilivobaji wiki Sisca akamuuliza imekywaje umebadili mawazo juu ya harusi ndo kusema m6 zimekuuma sanaa au? Hahaaa! Manake nishakata tamaa ujue, yaani ulijua kuninyima rahaaaaa si kidogo.

KLM akamwambia ulijua kweli nakuweka suriaa, tunazaa wana haramu? Hahahaa! Hamnaaa! Nisingeweza kufanya hivo. Mimi i wanted to be certain kama unataka ndoa na mimi au harusiiii. Wanawake wengi mnapenda harusiiii, ndoa hampendiii, nikaamua kukupima je harusi isipokuwepo utakuwa mtu wa aina gani? Uzuri hukubadilikaaa. Nibgekwambia nitakuoa kwa mahari ya m6, harusi kubwa na hivi vyote ungejinyenyekeza si kidogo ili upate hio harusiii. A woman who asks for nothing deserves everything. And you are that woman. Think beyond the wedding, think us! Harusi ni kitu cha kupitaaa tuuu.

Wanawake wengi mliosomaa kidogo ningewaambia nizalie afu basi wasingekubali, ila hao hao ningewaambia nitakuoa kwa m6, harusi ya 50m hakuna amabe angekataa, wakati ni mtu yule yule naeombaaa. You deserve this baby, enjoy your day ikifikaaa.

Ila ukae ukijua siku zote mimi ni yule yule KLM, ukinizingua UTAISOMA NAMBA!



Share:

Ads

Ads
Powered by Blogger.

Random Post

Video Ya Wiki

Tuchati Live Hapa

Kati ya Kiboko na Mamba nani Kiboko?

Pages