Fransisca : The Dragon
Queen
Born in the Chinese
year of the Dragon.
As the noble animal symbol
that represents the Chinese emperors, Dragons are born leaders and masters of
ceremonies. And because of this, every Chinese parent is hoping to have a
Dragon child. Dragon people get things started and keep them moving. They are
feisty and gifted with power and luck. Most people look up to the Dragon.
Dragons are born
monarchs. As far as they can see, their power is indisputable. Dragons are
idealists, perfectionists, they are born thinking they are perfect and they are
inflexible
Irritable and stubborn,
the Dragon is a real big mouth and their words often outrun their thoughts.
Nevertheless, their opinions are worth listening to and their advice is always
good. People do, in fact, listen to them and their influence is considerable.
Angela: The true Angel
Born in the Chinese
year of Pig.
Pigs are models of
sincerity, purity, tolerance, and honor. When you first meet them, Pigs seem
too good to be true. They are careful and caring, obliging and chivalrous. Put
your trust in them, they won't let you down and they will never try to.
The Pigs simply want to
do everything right. Pigs are the people everyone admires most. Make a list of
the Pigs in your life: aren't they the nicest, most loving and scrupulously
caring people around?
Anna! The Mistress
Born in the chinese
year of The Snake.
Snakes have always been
the seducers of human beings. If you know the story of "The White
Snake", you will understand what I mean. In reality, Snake people are born
charming and popular. Snakes are spotlight magnets, and they will not be
ignored.
Peer group attention
and public recognition are the least of what they expect. Yet Snakes are never
noisy or deliberately outspoken, and they have have excellent manners.
Most people are
secretly or hopelessly in love with Snakes. Gather those frustrated folk you
know and most likely, they are probably in love with a Snake. Irresistible as
they seem, the Snake never wastes time in idle gossip. They think often and
deeply. They are an intellectual, a philosophers, a cerebral person.
Snake people rely
heavily on first impressions, on their own feelings, on their sympathies,
rather than on facts, on the advice and opinions on others. They seem to have a
kind of sixth sense in this way.
Another big flaw in a
Snake's character is that, they are capable of biggie lies. White lies, true
lies, whatever they call them, though they don't lie often, they do lie when
they feel they can get away from it.
Year
2012! Chinese Year Of The Dragon. Catholic Church Liturgical year of Faith.
Sisca amejikalia kwake
usiku, usingizi hamnaaa, anahesabu mapaaa tu, mwaka huu anatimiza miaka 32 bila
bila, hana mume wala mtoto. Wenzie wote Anny na Angy wameolewa, na familia zao.
She just sat there
wondering how and when it all went wrong in her life. Sio kwamba maybe ana
miaka hio 32 ana mtu w mda mrefu labda, hataaa, yupo single and ready to
mingle.
Mawazo kama atavaa lile
gauni la harusi, yana kuwa yakiongezeka shaka siku hadi siku. Ile picha ya siku
ya harusi yake ikawa ikienda ikififa. Humo mawazoni hajioni sura yake kamili
anaona vivuli tu, maana ndo dalili za kukata tamaaa tena hivooo.
If he meets a guy and
he thinks this is him, kama hana pete kidoleni ujue shogaaaa, kama sio shogaa
marioooo, au wale watu single na baby mama wa 2 au 3. Duuuuuuuuuuu! Ikawa
mtihani kweli kweli Akaanza kuamini tu huenda wanaume wameisha kweli si
masihara.
Akawakumbuka wale
wooote walio mngangania aolewe akiwa na miaka 25. Akawakumbuka sanaaaa. She
thought it would be tough then but not this tough. Akapata wazo maybe aze tu na
mume wa mtu awe single mom, manake umri nao unamkimbia si kidogoo. Lakini
hataaa roho inamsitaaa.
Akajiambia nisipozaa
kufumba na kufumbua i will be 42 and regret why sikuzaa mapemaaa like now.
Nizae tu, nangoja nini sasa. Akakumbuka mistari yake ya biblia anayoisimamiaaa
miaka yote Mungu ampe Mume mzuriii,mume watakaye endanaaa. Akaiwaza tu, na chembe
chembe za doubt zikawa zikimeamoyoni dhidi ya Mungu huyu.
James 1:17
Every good gift and
every perfect gift is from above, coming down from the Father of lights with
whom there is no variation or shadow due to change.
Psalm 27:14
Wait for the Lord; be strong,
and let your heart take courage; wait for the Lord!
2 Corinthians 6:14-17: Do
not be unequally yoked with unbelievers. For what partnership has righteousness
with lawlessness? Or what fellowship has light with darkness? What accord has
Christ with Belial? Or what portion does a believer share with an unbeliever?
What agreement has the temple of God with idols? For we are the temple of the
living God; as God said, “I will make my dwelling among them and walk among
them, and I will be their God, and they shall be my people. Therefore go out
from their midst, and be separate from them, says the Lord, and touch no
unclean thing; then I will welcome you,
Proverbs 18:22 : He who
finds a wife finds a good thing and obtains favor from the Lord
Hebrews 11:6: And
without faith it is impossible to please him, for whoever would draw near to
God must believe that he exists and that he rewards those who seek him.
Isaiah 55:8-9: For my
thoughts are not your thoughts, neither are your ways my ways, declares the
Lord. For as the heavens are higher than the earth, so are my ways higher than
your ways and my thoughts than your thoughts. Akawaazaaaaaa, na kuwazuaaaa,
bado kiza kinene kikawa mbele yake.
ANGELA:
Agela nae akiwa kwake
na mumewe kitandani, akawa anawaza na kuwazua yake. Akawaza tu, sawa kaolewa,
mumewe ni mchapa kazi, ana biashara zake, ana hela kiasi, wana ishi
neighbourhood nzuri, mtoto anasoma shule nzuri sanaa, watu wengi wanatamani
wawe kama yeye, but deep inside her heart she is hurt and hurt deep.
Why hurt, siri yake
kubwaaa hajawahi mwambia mtu, ni suspect zake ambazo zilikuja kuwa proved with
time ni kwamba mumewe hampendi. Hajawahi kumpendaaa. Huo ndo ukweli mchungu.
Ilitokea tu she was there, while the guy needed a wife after fatal breakup.
Akakubali kuolewa hoping things will change over time but they didnt.
Akajua pale alipomzaa mtoto
wao wa kwanza angeuteka moyo wa mumewe, na akaomba sanaa Mungu ampe mtoto wa
kiume, lakini ikashindikana akajikuta kapata mtoto wa kike. Na mume alibadilika
kidogo ila akarudia hali yake na kumfanya aishi empty as usual.
Tatizo lingineni swala
la mumewe kutaka watoto wawili 2, jinsia yoyote itayoletwa na Mungu ni hao hao
basi. Na hilo swala kamsisitiza mara kibao. Na wa kwanza alishazaa wakike
vyovyote itakavyokuwa itatakiwa azae wa kiume. Hili limesababisha atoe mimba 3,
sababu zote zilikuwa watoto wa kike na kumdanganya mumewe ni miscarriage za
kawaida. Hili lilimtesa sanaa usiku, mpaka kuna mda kawaza kujiua, sema akimkumbuka
huyu mwanae anavumilia.
Kikubwa kilichomfanya
afikirie kuwa mumewe hampendi ni sababu their sex life is terrible. Mwanaume hana
mzukaa kabisaaaa. Mpaka adai yeye tendo, tena kwa kubembeleza. Akaanza kuhisi
mbali sanaa. Ila katika peleleza pelez yake akagundua mumewe anaendelea na gf
wa zamani ambae walivoachana ndo akaolewa yeye, na huyo dada ni mke wa mtu pia.
Kumuuliza alitmani
sanaaa, sema akayaogopa majibu, what if akimwambia ndio kweli na anampenda yule
dada sanaa, kama vipi waachane atafanyaje? Hayupo tayari kuwa divorced, Au
mwanae alelewe na mama mwingine. Familia hakuna talaka, hamna aelitalikiwa and
her mama raised her better than that.
Kutafakari akaona bora
tu ajifanye mjinga, ndoa iendeleee. Maybe and by maybe it means MAYBE fate will
be kind mbeleni na yule mwanaume atajua nani ni bora kwake na mambo
yatabadilika. Maisha yake ni ya kuishi kwa matumaini na kuingoja kesho maana
leo ishaingia shubiri.
Kwa mumewe akawa na
adabu zote, mtu wa maneno machache, hata akidanganywa safari anajua tu wapo
hapa hapamjini anajinyamazia tu, akirudi anampa pole, Mtu wa kwenda kama hayupo
ila yupo
Akajitafakaria tu mpaka
lini hali hii. Akatafakari maybe aondoke na yeye kama Anny huenda akapata mtu
mwingine wa kueleweka na akawa na furaha kama Anny lakini akaona she is not
that strong. Kama ameweza kuvumilia miaka yote hio what is 1 more year? Akakata
shauri aendelee kucheza the fools card.
Anny has always been a
beauty, breath taking beauty. Kila mtu alikubali kuwa yeye ni mzurii mnoo.
Mpaka mama yake akawa anawakere ndugu zake kwa kujitapa pale kwa Anny
kazaa,kama mtoto tu, palekwa Anny alitulia kumzaaa. Na kila mtu kamkubali Anny
ni mzuri.
Uzuri huu
umemrahisishia sanaa maisha, kazi kapata kiurahisi, chochote akitakacho
hajawahi kosa maishani mwake. Watu ni wakarimu kwake sababu ni mzuri sanaa,
ofisini ana mashostiii kibao sababu wanapenda campani yake. Katembea hoteli
nyingi mnooo, kafika sehemu nyingi, kala vingi sababu tu ya uzuri huu. Akawaza
wazo linalo mjia siku zote, je asingekuwa mzuri angeishije ishije? Akamshukuru
tu Mungu kwa uzuri wake.
Uzuri una gharama zake
pia, umemcost vingi, ikiwemo kuolewa akiwa bado mdogo sanaa,miaka 23,na bwana
wake wa chuo, waliomaliza wote. Sababu watu wengi walikuwa wnavutiwa nae, bwana
wake huyoakaona amuoe jumla haraka haraka yeye Anny akiwa na miaka 23, na
mwanaume akiwa na miaka 25.
At that time she was
young, restless, and she thought it was cool, atasifiwa kama kawaida, kapendeza
sanaaa, kaolewa mdogo, et. Ndo ikafungwa kanisani despite mama yake kumsisitiza
huyo mwanaume hana kitu, ana jilostisha tu, angoje aende maofisini akapate
maboss. Mama yake akijisingizia ugonjwa asiende tu kwenye hio harusi.
Pamoja na yote
alimpenda sanaaa BF wake, na alikuwa mzuri, so wakiwa wote wanasifiwa ni wazuri
sanaa. kila mtu alitamani kuwa yeye. The beauty of it allshe always cheated on
him, so hata kwenye ndo she knew she will be a serial
cheater!
Too bad do hii ili dumu
mwaka tu, na kuvunjika kiutani utani. Kikubwa kilichomshinda ni ugumu wa maisha
na kumsikiliza mama yake. Mwanaume hakuwa na kazi nzuri, na familia yao haikuwa
na uwezo mkubwa, ikawalazimu kuishi nje ya mji, maisha ambayo ni ya kawaida
sanaaaa. Sasa Anny kwa ushangingi wake akapata kazi nzuri sanaa kwa wazungu,
akajitahidi kumsihii mumewe wajitahidi kuishi kizungu maisha ya juu, ya kifahari
kwa yeye Anny kugharamia.
Mumewe akaleta msimamo
waisi maisha ya uwezo wao, uwezo wa mwanaume, hawezi kulelewa na mkewe. Anny
kampenda na hayo ndo maisha yake inatakiwa arizike. Ukijumlisha na kelele za
mama mkwe zaa, zaa, wajukuuu, zilimtibua kabisaaa akaweka vijiti 5 kisiri siri
ikawa malumbano hayaishi na ndugu wa mumewe.
Huku kazini akaja mteja
ana hela zake za maana, akamuelewa Anny, Anny akaacha kuvaa pete, akamwambia
yupo single. Wakaaanza yao. Huku na huku mteja akamwambia Anny waishi wote
Masaki kwenye apartment yake. Akaenda kwa mumwe kumuaga, ndoa imeishaaa. Mumewe
akajua Anny anatania atarudi. Ndo hivo.
Mume akajua anaishi na
kibuzi, kaita kikao cha familia kasamehe yote Anny arudi kwenye ndoa, Anny
kasema sirudiii. Nimefika huku Masaki. Mumewe ana kazi ya kumbembeleza kila
siku arudi, ndoa yao ya kanisani, haifutiki. Mume hajaoa mpaka kesho anamngoja
Anny arudi nyumbani, anajua ni ulimbukeni utamuisha lakini hata wazo hanaaa.
Huyu pedeshee wa Masaki
ni Mnamibia, kaishi sanaa nje, na bongo ni consultant wa multinational moja
kubwa sanaaa, na anampenda Anny hakuna mfanowe. Ni aged kampita kama 12 years
so ana mtreat kama kitoto. Atachotaka anampa. Na mda wote ni kumdekezaaa tu,
kama haamini umri ule kumpata mtoto kama yule.
Na Anny anajua kupendwa
na kupendeka. Basi ndo anamkolezaaa Daddy hakuna mfanooo. Kama mahaba ana mu
overdose. Ile kupay attention, dady unkula nini, dady hapendi hiki, dady
anependa hiki basi lazima kiwemo mezaniii. Dady ana meeting lazima suti
ziagizwe mpya, daday ana homa, Dr. ataletwa kumpima kila kitu, simu za
kumkumbusha Dady umekunywa dawa ni muhimu.
Japo kuna sehemu ya
moyo wake ikawa inawaza huenda huyu Dady ana mke maybe familia huko kwao.
Hakuwai kumuuliza, wala dady hakuwahi kusema, wakawa wanaishi tu kiutu uzima
wanaelewana. Hakuna kuuliza lolote, wala kijibiwa lolote. We are here now lets
love each other.
THE
WEDDING BELLS!
Siku hio wote wakawa
wamkutana kwa Daddy kumfanyia surprise Anny. Wakawa wana hamu ya kujua ni
surprise gani safari hiii, maana daddy kwa surprise hana mpinzani. Alisha
msurprise gari, akamsurprise birthday, akamsurprise shares, yaani kwa hawa
wawili surprise haziwaishii kiukweli.
Basi kufika wakakuta
Decor, na watu wa catering, wakawa wanajiandaa na hio surprise. Anny karudi wak
msurprise akafurahi kinomaaa, wakala na kunywa hatariii. Akawwambia mashostize
huyu dady leo ananisurprise nini, ukute ndo ananitimua kwa party hahahaaaaa.
Mda ulipofika Dady
kapiga goti, na pete ya tanzanite will you marry me Anny? Akatoaje Yes
fastaaaa. atu wote wakashangilia kasoro Sisca, ambae aliwaza na kuwazua ndo ya
2 hio kwa shoga ake yeye hata moja bado. Akawa anatamani kumfuahia shoga ake
ila furaha hanaaaaa.
Basi Anny ndo kukeraa
ni vipi sasa, engagement mda huo huo ashaanza i want a beach wedding, oooh my
God, i always wanted a beach wedding. Or we can go and marry in Dubai kama
wanaigeria, au Paris, oooh my God. This time i can afford a designer gown, who
shoul i wear? Vera Wang? or Valentino? I dont know.
Sisca akaondoka mdogo
mdogo na mawazo akiwaza dunia ilivo na upendeleo. Hakupata usingizi kabisaaaaa
usiku huo.
Angy akarudi kwake
akiwa kasahau kama hakumuaga mumewe, akajua mumewe hatogundua hata kama
kachelewa wala hatojaliii hata akijua. Kinyume na matarajio yake kamkuta kuraaa
kam Cobraaa. Ulikuwa wapi, mwamke gani hujafundwa, ndio nini sasa? Akawa
kashavurugwa na ishu ya Anny kuolewa tena na yeye kuishi kwa manyanyaso afu
mwanaume anamwambia nini.
Akamjibu tu, nilikuwa
kwenye engagement ya Anny, samahani sikuaga. Mume kaja juu kama moto wa kifuu,
ndo anakwambia na wewe uiache hii ndoa yako upate mwanaume mwenye hela sio,
sasa sikia rudi huko huko kwa Anny hapa kwangu sikutaki tenaaa! Khaaaaa!
Akamjibu tu, wewe kama umeamua kurudiana jumla na ex GF, mmeona ku cheat
haiwatoshi, kunifanya mimi mjinga haitoshi, sema tu ni mambo umeamua, wala
usimsingizie Anny, wala usifanye kuchelewa ndo sababu. Mi naenda kulala na
nitaendelea kujifanya sioni kama kawaida. Mwanaume akashtukaaa, na kupoa
ghaflaaa! Baada ya mda akajikusanya kusanya eti Ajitia kukanusha. Hisia hisia
zako hizo zitakuponza, mimi mke wa mtu wa nini wakati nina mke wangu wewe apo.
Akwambia wewe jua mi najua,
na sijajua leo wala jana, safari zako zamikoani bahari beach nazijua zooote.
Nimemuachia Mungu, iko siku Mungu huyu huyu ninae muabudu atakuabishaaaa Mchana
kweupeeee jua linawakaaaaa. Na mimi nitakuwpo hapa hapa kushuhudia
ukiumbukaaaa. Mi nalala sitaki maneno.
Mwanaume akaingia
kabatini akaweka nguo zake kadhaa akaondoka usiku huo wa saa 7. Angy akajua tu
ndoa ndo imeishia hapooooooooo! Akajilazaaa tu akihesabu paa, hata lepe la
usingizi halikumpitia.
More and more mystrey!
Siku hio ana hili wala
lile, kaenda kwenye meeting Sisca, akaona akae restaurant ya hapo hotelini amngoje
Angy, manake jana yake alimwambia the marriage is so bad, she knew the marriage
was on the rocks before, but it could be the real end this time.
Akawa anamuonea huruma
Angy, how she is bottling up every thing, and trying to hold on over the years.
Akawa anawaza na kuwazua. Aksikia habari yako, can i give you company! Kucheki
hivi mkaka wa maana, kapiga suti, and there was some ellegance and class about
hima akajikuta tu kawa mkarimuuu.
Kutambulishana
akamwambia yeye ni lawyer, kumcheki kidoleni bonge la peteeee ya ndoa, akajua
tu ngoma ya kitoto haikeshi. Basi wakaongea ongea na nini, wala haa hakumficha,
akamwambia tu, yuko married with 2 kids, mkewe anafanya kazi bank. Hivo yaani.
Basi baadae Angy akawa
kaja, yule kaka akaaga akamuachia business card yake. Akaipokea akawa tu
kaiweka mezani. Basi Anny anamwambia waoooh, he is cute, so cute jamaniiii.
Akamjibu tu he is married as shit. Angy akatikisa kichwa tu.
Ndo kumpasha kuwa
jibaba limehama nyumbani siku ya pili, yupo mwenyewe na mtoto. Bado hajapata
akili afanye nini. Yani network bado haijarudi kabisaaa. Akawa anamwambia tu
ningeondoka ila ada zenyewe ghali sanaa, afu mwanangu atateseka sanaa, maana
hawa wanaume kama wa kwangu ukisema uondoke akufate utachora chini, labda
anaombea leo kesho niondokeee, kuondoka ndo nimemrahisishia kazi.siondoki pale,
kodi atalipa na ada atatoa. Hata kama hanitaki najivictimise yeye ndo mkosefu,
mi namwangalia tu.
Sisca akamwambia sasa
shoga si utaborekaaa, ujana unakupita waiting in vain for some one you are not
sure. Bora utafute kazi uwe unatoka asubuhi umeoga angalau na kupendezaaa,
walau utakutana na wanaume wengine na watu wengineee, kuliko kukaaa nyumbani
unawazaaa tu, utapata alcers. Angy akaona hilo litakuwa swala la msingi sio
kidogo.
Wakakata shauri
wamwambie Anny aongee na dady kazi ipatikane, maana ana network kubwa. Anny
akasema haina neno atampanga Daddy kama kwaida, haitoshindikana jambo. Wakiwa
wanaondoka Sisca akaiacha ile business card pale mezani. Angy akamkumbusha
umeacha business card ichukue tu, huwezi jua, akamwambia achana nayo. Drama
drama za side chick siziwezi. Mburaaaaah! Wakaondoka wakiwa wameiacha pale
mezani.
Angy kufika nyumbani,
dada wa kazi anamwambia Baba karudi yupo ndani! Mmmmmmh! Nini? Baba karudi yupo
ndani. Eeeeeehhhhhh! Hajaniulizia? Kakuulizia nikamwambia umetokaaa. Tobaaa!
Ngoja niende huko ndani. Akafika za mda baba flani. Salama tu mama flani,
nimerudi. Akamjibu nakuona umerudi, karibu sisi tupo. Mumewe akamtwanga swali,
huniulizi nilikuwa wapi? Akamjibu aaah bwana nikuuulize ulikuwa wapi, hapa
kwako bwanaaa unakuja mda wowote unaojisikia na kutoka mda unaojisikiaaa, mtu
chake, hata ukikuta mlango umefungwa we vunja tuuu, si wako bwana unaulipia
kodi, hakuna atakae kuuuliza. Kweli mke wangu unanijibu hivooo?
Sasa nikujibu vipi, sio
kwako hapa? Wewe mtu mzima. Ukienda mahali umeamua sio mtoto kama huyu Melissa
wetu useme anakosea nimkanye, au hajui alitendalo, wewe ukifanya lolote ni
maamuzi binafsi tu. Nishakwambia knock your self out. Mi wala hunistui, siku
ingine kaa mwezi, kaa mwaka utajua mwenyewe ukirudi utanikuta hapa nafanya kazi
yetu ya kushirikiana kumlea huyu mtoto, sababu kesha kosa baba, inabidi niwe
baba yake na mama yake, nitafanyaje sasa.
Mwanaume akakaa kimyaaa
kwa mda. We endelea tu na huo mdomo wako, iko siku utakipata unachotafutaa,
nitakupa unachonitafuta. Akataka kunyamaza ila akaona vimemkaba sanaaa bora tu
atapikeee. Nachokitafuta kishakushinda siku nyingiiii sanaaa kunipaaa, sema
vile nina roho ya kuridhika navumilia.
Mi namna hii nyumba
itanishindaa, unakuja nyumbani uwe na furahaaa, amani, upendo inakuwa majunguuu
majunguuu na kashfaaa! Mi mambo ya uswahili sipendiiiii. Vitu unahisi hisi tu
ndo kujiaminishaaa moja kwa mojaaaaa. Hivi huwazi maybe just maybe there is
0.0001 chance you are wrong amd it is all your imigination? Hivi ukijua
umenikosea sanaa utafanyaje? Mwanaume kabwatukaaaaaa. Angy kaamua tu kumpa jibu
la mjinga ambalo ni kumkalia kimyaaa.
Anny akawa kamtext kazi
imepatikana ofisini kwa Dady. Akaona asimtibue zaidi yule mwanaume atampa hio
taarifa ya kuanza kazi siku ingine.
The
power of new beginings!
Anny aakawa yupo busy
planning the big day, akawa kashaongea na dady aende U.s kuangalia designer
colections za msimu huo. Daddy akawa kakubali kabisaaa. Na akawa ana debate
afanye beach wedding au destination wedding.
Wakawa wamekutana for
brunch kujadili what colors, sare, decor na mambo kama hayooo. Basi wakajadili
pale sababu hela ipo, kila kitu kikawa kinaenda fresh. Baadae ndo kumuelezea
ile kazi ipo ofisini kwa dady. So atalipwa vizuri, na hakutokuwa na ishu yoyote
wala nini.
Angy ndo akamwambia
Anny, Sisca met this guy he was cuteee! Way too cute sema kampotezea coz he is
married. Anny akawa anampa tu, we jilegeze utazeeka nyumbani, ndoa kwa mkewe
kwani wewe tatizo lako nini? Kama ingekuwa yeye Anny, anavoona angeungana na
Johny deep kwenye usemi wa "If there is a man who is inlove with 2 women,
and has to chose, he really loves the second because if he loved the first he
will never have noticed the second. So anachezea bahati, mtu anaweka ndoa yake
kwenye line ili wawe wote bado anaona hiko ni kitu kidogo olaaaaaaaa!
Wakaongea pale na
kuhusu mume jeuri wa Angy, akawa anawaambia siku hizi namjibujeee, nampa za
uso, hata simuogopi, akinianza tu nammalizia. Hahahaaaaaaa! Wakacheka. Anny
akamwambia wewe jibu sanaaa tu, siku ukute bag yako iko nje. Hahahaaaaaa!
Akamwambia weeeee, navunja mlango. Asintanieee.
Baadae wakaagana kila
mtu akarudi ofisini, Angy akarudi nyumbani kumpeleka mtoto piano classes. Sisca
kufika ofisini akaambiwa kuna mgeni wako alikujaa. Akajua wa kikazi. Akauliza
nani, akambiwa flani! The maried guy! Akastukaaa! Akauliza alisema anataka
nini? Akaambiwa hajasemaa but kasema atarudi tenaaa. Akamwambia akija mwambie
sipo.
Mda wa kutoka
anashangaa anaitwa Siscaaa, kugeuka the married guy, akajibalaguzaa. Akaulizwa
why are you avoiding me? Tuko na tatizo? Akajikosha hapanaaa, didnt know it was
you. Basi MBA (Married but available) hakukawiza akamwambia lets go for drinks
somewhere. Sisca akamwambia tu, well natamani but i cant , sipendi drama,
tunaweza kukutwa tumekaa, nikapigwaa, kutolewa kwenye tabloids, i really pass.
MBA anakomaa sio
kihivooo, i just wanna talk and be friends, sipo huko ulipo! We can go somwhere
my wife hatogundua. Hiiiiiii! Trust me. Alingangania sanaa akaamua tu aende
akasikie hilo la huko. Kufika kule, he was really nice, and she missed company
kiukweli. Ukizingatia the guy was hot, watu wanangali mambo yakawa bambam.
Tofauti alivohisi ataboreka akajikuta kaenjoy kichiziii. Story hii, story
hii,mara wacheze music saa 7 hii hapa. Wakaagana. Ila MBA safari hii alijibipu
na simu ya Sisca.
Akarudi home hoiii,
akiwa kachangamka lakini full of life. Akakuta missed call 6 za Anny. Akasema
atampigia kesho. Mara Anny akapiga, you are such a slut my friend, nimekuja
ofisini nilitaka unisindikize mahali, nikakuona na MBA, ooh my God, he is cute,
nikajibanzaa tu sikutaka kuharibu picha. Nikawaona mnaongozanaa, please tell me
you got laid! You cant pass that di.ck. It is evil! and dispeakable! Hahaaaa!
Akamwambia hamnaaa we just talked! Anny anagomba talk what bwanaaa, mume wa mtu
ukimpata jivinjari, hana time na wewe jivinjariiii, anakudanganya jivinjariii.
Sisca anamwambia it is not good, ana mkewe. Anny anakuja juu mke kitu gani
wewe, wewe mambwana wangapi umeporwa mpaka leo hii? Ishu kuporana mabwanaaa.
Mke mwenyewe alimpora kwa mtu, wewe unamdokolea yeye, hivo hivo siku
zinaendaaa. Hahaaaaa! Wakacheka tuuuu. Anny anamwambia if you werent too proud
you could be having a di.ck right now, hot sexy, steamy night, ila sababu ni
zobaa lala bwanaaaa. Mi nishaukalia wa daddy round 1 kiuno chote hoiiii nangoja
round 2. We lala na kikoko hicho ndo ushaharibu. Hahahaaaa!
Angy huku mume karudi
na mshawasha akawa anamwangalia tu, mume kakumbuka zawadi ya mtoto siku hio,
anauliza nini kimeisha kwenye friji, rangi imechakaa hii, kesho nitamleta fundi
sijui nini. Sababu anajua atamtibua na kwenda kazini asubuhi, akaona usiku huo
ampozee kwanza. Basi akawa ane anacheka na kujiongelesha, kama yamekwisha
kabisaaaa. Hadi wanataniana.
Akwa anawaza tu, kweli
siku hazifanani, siku zingine Mungu anakuona kama hivi, siku zingine shetani
anakukalia kooni basi tabu tupuuu. Hapa mambo yakienda vizuri huenda nikapewa
mechi leo, sijuiiii, ngoja nijioneee. Akamtengea chakula fresh, basi anasifia
hiki chakula umepika mke wangu kitamu sanaaa, unajua kupikaaaa.
Hakufanya ajizi wala
nini, kaenda kuoga fastaa, kajifukizaa marashi, akataka kuvaa bikini set akaona
akishushuliwa ataumbuka sanaaa. Akaona tu bora avae dira, maana aibu zingine za
kiutu uzimaaa. Akawa kajilaza anasoma gazeti la mwaka arobaini na sabaaa.
Anazuga tuuu.
Baba la baba kaja,
straight bafuni, wala hakuchukua taulo katoka huko moja kwa moja kitandani,
kaanza kuushika mzigo mwenyewe bila mizunguko. Sababu nae Angy nae alikuwa
kammiss, akaonesha ushirikiano wa hali ya juu. Mechi kali ikachezwa. Kama sio
wao waliotifuna juzi. Saa kumi kamshwa tena mzee anataka cha asubuhiii, kama
kawaida bila hiyanaaa kaonesha ushirikiano. Baadae baba la baba kaenda kuoga,
Angy nae bafuni humo humo, baba la baba akajua mahaba niteketezeaaa, kampa
kingine cha bafuni, akajua wakitoka kuoga hoi atalala, ili baadae amuandae
mtoto shule, manake yeye anadamka ga sanaa kuwahi kazini.
Wanatoka kuoga anaona
mtu anatoa seti mpya ya chupi za maana na sisiria anavaa. Akashtuka kwanzaaa,
akaamua akae kimya. Anaona mtu anajipaka mafuta hana stress, akakaa kimya,
akaona anajipaka foundation, make up, ikabidi amuulize hizo date zenu za umbea
umbea mmenza kukutana alfajiriii? Mbona unavaa, unajiandaa, mimi nitakuja
kukukataza haya mambo ya mashoga, alfajiri yote hii unaenda wapi.
Akamwambia mi naenda kazini,
nimepata kazi. Mwanaume kadakia nini? Unasemaje? Nimeanza kazi ndo naenda ku
report. Hahahaaaa! Akacheka, huo umbea wenu sasa too much mpaka alfajiri au
mnaenda kuniloga kwa mganga leo, anajitia kutania tania. Angy akavaa kisuti
kifupiii juu ya chupi tuuu, bila tight wala nini. Mumewe anamuangalia tu. Hivi
kweli unaenda kazini? Ndio kweli baby nimepata kazi. Na hukuona umuhimu wa
kuniambia au kujadili hio kama mumeo humu ndani? Angy akakaa kimya. Sasa mimi
mumeo nasema hakuna kufanya kazi. Huli humu ndani? Huvai? Husuki nywele za
gharama? Sikupi hela za kuchezea kwenye botiques. Mimi kama mumeo nasema vua
nguo ulale hapo, na kulea mtoto.
Angy akajipulizia
perfume, akanyanyua mkoba, akamwambia baby tusigombaneee, kuna leo na kesho,
leo upo nashukuru sijawahi kupungukiwa, ya kesho anayajua Mungu, kazi ni jamba
la neema, tuna mtoto huyu huwezi jua, sikukwambia kwa mambo kama haya, badala
ufurahi mkeo naenda kazini, hata ukikwama nitakuwepo kukuboost, lakini ndo
hivoo kashfa juu ya kashfa. Mi naenda bwanaaa. Kwa hio ndo unaenda kuanza kazi
na bikini tupu ndani ya kimini afu mume nikae nafurahiii, unanikalia kichwaniii
si ndiooo, wewe nenda ka resign tu, huu mjadala haujaisha.
Akamuacha dada
maelekezo cha kufanya, huyooo ready for the first day in the office.
Tomorrow
is another day!
Akafika ofisini, dady
akamuuliza unataka kufanya kazi deprtment gani? I am very big here, i can make
it happen, akasema tu marketing. Akampigia director of marketing akamwambia our
new employeee nakukabidhi, make sure she grows her career. Usimtelekee, give
her roals that will make her grow and evolve. Basi anaitikia yes boss
mfululizooo. Basi Dady akamwambia incase of anything dont hesitate to tell me
anytime.
Kafika kapewa ofisi
kubwaaa, kabati, tv. Hr akamletea contract nono. Akasema moyoni tu Anny
aendelee kuwa mzuri hivo hivoooo. Mashoga wazuri wana faidaaa si kidogo, kazi
zilivo za shida akashukuru Mungu. Akakutanishwa na team, ya hapo wanampa
orientation. Mchana akaja Anny kumchungulia, vipiiii? Umepapendaaaa! Akajibu
nisipapende tenaaaa, aaaah, najiona nipo kama Mbinguni. Wakacheka chekaaa,
akamuonesha sehemu possible za wedding anazozi consider. Basi wakapiga story
mbili tatu akamuaga ngoja nikampe Dady cha ofisiniii. Destination wedding sio
mchezoooo.
Sisca busy busy kuchat
na MBA, kila akisema hii text ya mwishoo, MBA analeta more interesting topics.
He had a way of being nasty in a classy way and it was amusing. Basi MBA
anamwambia incase just incase ukiamua kunipa ill take you to levels you never
been. Akamuuliza tu out of curiosity what levels do you think i never been?
Akamjibu ill give you a 69 position! Hahahaaaaaa! Sisca akamjibu i have been on
that level! MBA akapanda dau, basi nitakunyonya k mpaka u squirt. Mmmmmmh!
Akastuka kwanzaaa isije kuwa mtu anachungulia, akabana miguuu.
Akamwambia mimi sipendi
hio it is just unmanly, ujue wanawake sio kama wanaume eeeh, lot of shits
inapitakule MP n all it is just pyuskiiiii! Yakh! MBA, namwambia fack that
shit, mimi napiga dekiiiiii, you will like it, believe me. We nikubalie
tutupeane rahaaa uta enjoy mwenyewee. I got a big dick too, na najua kuitumia.
Sisca akamjibu hahaahahaaaaaa! MBA akamwambia you think im blaffing? Akamtumia
picha ya kitu. Tobaaaaaaaaa! Akazima data kwanza kazi ziendelee.
Jioni jioni akawasha
data, akakuta kamtex scared huh! Akamtumia vi emojii vya kuzomeaaa. Basi
akamwambia mimi nipo level 8, leo come we chill out, akamdanganya yuko busy n
shit, akamwambia if you change your mind,mi nitakuwa pale na wanangu team popo.
Basi akawa kakaa home, akaicheki ile picha vizuri sasa, huyo akavaa kwenda
level 8. Kufika kule akawakuta wako kikundi watu wazima badala ya kukaa na
familia zao wanakesha full shangwe, full bataaaa! Basi kufika pale MBA akagoma
kumtambulishaaaaa. Huku na huku kuna mkaka nerd mmoja alikuwa katika hio
campany, akawa anamuangalia kichiziii, kila akimuibia jicha anakuta Nerd
anamuangalia. Kuna mda MBA akaenda ku take a pee, nerd kamsogelea,
anajitambulisha yeye ni Auditor, akamuomba namba ya simu.
Kwa uhuni tu akamtajia
ya uongo, nerd si akaipiga palepale ikasema namba unayopiga haipatikani,
akamkazia macho, ikabidi ajikoshe namba hio ya tigo imezima ngoja nikupe ya
vodaaa. Looooh! Akampa na safari hii kama lilijua limepewa ya kweli
halikuijaribu. Akaondoa tu. MBA karudi bata likaendelea. Mda wa kuondoka, MBA
anamwambia twende tukalale kwangu! Hiiiii! Akamwambia wewe si una mke?
Akamwambia mke wangu anafanya ile bank Mwanza hukoooo, so im free as a brid.
twende nikakupe mambo.
Basi na ulevi ule,
pombe zimekimbilia chini,akili yote inamwambia rudi nyumbani, nyege zinamwambai
if you hadnt curved all niggas that hitted on you, you could be having a dick
right now. We are not going home with you tonight. Akajikuta tu kakubali,
atafanyaje ukubwa jalalaaaa.Akakubali wakaenda, akauta picha ya mkewe sebuleni,
wanae wawili pale, picha ya harusiii. Fack shidaaa, huyooo akaingia chumbani.
And the guy was good. He lived up to his reputation, K kanyonya kweli kweli si
kutishiaaa, anameza kila kituuu. Kwenye ligi we can consider him a pro. Anamuandaa
mtu mpaka anaomba mshedede mwenyeweeee. Na sio watu wa kubust in few seconds,
anampa mshedede wa uhakikaaa, mpaka anamuuliza umfikaaaa, umeridhikaaa, na yeye
ndo an bust. Haaaaaaaaaaaaaa! Ilikuwa champions ligi! Mwendo huo huo goli 4.
Asubuhi yuko hoiiiii,
moja haikai mbili haisimamiii, akaomba ruhusa ofisini kabanwa na tumbo la
kuharisha akarudi nyumbani kulala. Akasema amekomaaaa, sio kwa mechi ileee,
haendi tenaaa, maana kwa mambo yake kuto fall in love na mwanaume wa design ile
sio rahisi hata kidogo. Akalalaaa mpaka saa 7, akaamua awa text kina Anny na
Angy kuna ubuyuuu wa sheikh Kipondaaa. Lunch date ikapatikana fastaaa.
Kufika kwanza sura yake
tu, Anny akamwambia you had a di.ck last night, a very good one. Slutyyyyy!
Akawaambia huo ndo ubuyu wenyweee. Nimeenda na MBA, damn he is good, so good, i
can swer i have never had that di.ck in like years maybe since University.
Wenzie wakabkia midomo wazi, haaaaaaaaaaaaaaaaaa! Anawapa details, wako he did
that? Really! Wanaangaliana, huku wakisikiliza neno kwa neno. Balalaaaa hilo
ujue wanamwambia. Anny anamkoleza finally umejua what you have been missing.
Angy akawaza mbali
akamwambia wanaume wa hivo ni hatariii, hawatulii na mwanamke mmoja, wanakuwaga
malaya malaya tu, leo yupo na huyu, kesho yule mradi tu they dont fancy going
to bed alone. Anakuwa anaendekeza u legendary kwenye fani hii ya kupigana miti.
Mmmmmh! Wote wakatafakariii, wakaona huenda ndio ya sio ikawa ndio au sio
kiundani. Sisca akawaza tu, i wont see him again, it was a mistake, i should
forget about him.
Angy akawataarifu tu,
ndani mume kanunaaa haongei kisa ishu ya kazi. Yeye ashazoeaaa, anacheza na
mwanae na kufanya yake. Atajijuaaa. Sema na game imesitishwaaa, mpaka ligi
itakavoanza tenaaa.
Hope. It is the only
thing stronger than fear. A little hope is effective. A lot of hope is
dangerous. A spark is fine, as long as it's contained.
Baada ya ile simu ya
mke wa mtu, akaanza kuminyia MBA, ile anampotezea kiutu uzimaaaa, huku
anaongeza nguvu kwa nerd. Huku mume wa mtu analalamika, hapewi mambo,
anabembelezaaa, na nini. Akawa kanotice tu kuna tofauti but hajui tofauti hiyo
vepeeeeeeeee, kuna shetani gani kapitaaaa. Hakujua kama mkewe kamuharibia inshu
zake huku.
The challange with the
nerd, he was so anti social. Mda wooote yuko busy, bsy as shit. And mda kidogo
anaopata wa kurelax, he is such a boreeee! Mkienda nae mahali hataki Sisca
acheze mziki, anamwambia it is not lady like, watu watamuonajeeee. Beach siku hio
wameenda kujiachia, mmmh! Kwanza kachagua beach za bei poaaa! Khaaaaa! Beach ya
5000 kweli? Sisca akamwambia mimi siendi, basi nerd asili yake mpole mtu wa
kufanya kitu hata kama mwanamke hakitaki maadamu kishaamua. Aka cancel trip
baada ya kuambiwa private beach hela ndefuuu.
Baada ya kucancel hio
trip, jmosi anamuuliza Siscaunaenda wapi this weekend. Akamwambia naenda
private beach as planned. Heeeee! Akashtuka na kumwambia si nilisema hela
sinaaaa, tukacancel. mmmmmmh! Akaambiwa taratibuuu, yeye ndo hela hana, ila
Sisca kwenda beach hamtegemei yeye, kama yeye anabaki yeye bibie kwenda kuko
pale paleeeee. Kama asili yake ya ubabe akamwambia na mimi nakuja huko.
Makubwaaaa!
Kufika kule, bibie
kajiachia na bikini yake, anaambiwa vaa mtandio, unatapitaje pitaje chiu,
ushakuwa mtu mzimaaa. Khaaaaaaaa! Akavumilia. Kaagiza zake shots, analalika
mwanamke hatakiwi kunywa mipombe mikaliiii, mwanamke anatakiwa anywe vitu laini
kama wine. Akamwaga zile shots, akamwambia waiter mletee wine ya msalaba. Sisca
ikabidi tu avumilie umri wenyewe ushasogea sasa atafanyaje.
Kitandani nerd nae
alikuwa yumooo, manake nerd mbishi wa rohoooo, hataki tu kushindwa na anapenda
kuwa in control mda woteee. He was a control freak. Anamtawala mtu mpaka basi,
sio kumkalia kichwaniii, anachukua godoro na kumlalia kabisaaa huko kichwani.
Mnaweza kukubaliana hiki, mda mwingine anaghairi ghafla tu, anachotaka yeye ndo
hicho hicho.
Sisca akawa tu
anavumilia tu, wapo wote, hivo mradi she had a man of her own. Na kuhudumia
anahudumia fresh, kodi analipia, mafuta anaweka, akikuta vitu ndani vimeisha
analeta au anatoa helaaa. Yani ikitokea swala la kulipia kitu sio majadiliano
marefuuu, analipa tuuu, sema ndo ukubali shurti la utii, na heshima na kuishi
atakavyo yeye.
Kimbembe MBA alivojua mshkaji
wake ndo kajiweka pale, afu yeye bado anamuelewa demu akaamua kuwaharibia, ili
Sisca arudi kuwa vulnerable aweze kumfaidi zaidi. Akamwambia Nerd, mimi huyu
demu Sisca nimemfanya sanaaaa. Afu nimemfanya rafu rafuuu si alikuwa kazi ya
nje! Nimemla mpaka kibogaaa, infact nilikuwa namla Tigo tuuu. Mi nakwambia hivo
coz wewe mwanangu siwezi kukuachia uoe kimeo. Yule mwanamke wa kupiga tu, sio
kuweka ndani.
Nerd akapinikiiii aka
screenshot akamtumia hizo sms Sisca. Tobaaaaaaaaaaaaaaaaa!
Anny maisha yakawa
yameanza kubanaaa, pesa yaa kuchezea tu hamnaaaa. Matumizi, mawazooo, magari ya
kifahari hakuna, akawa Anny sio The Anny. Stress mpaka kaanza kuzeeka. Akaona
hataaaa. Yule lawyer akawa ndo yupo close sasa balaa, kila siku anampigia
simuuu.
Kilichomchosha kwa
lawyer ni personality yake. Mshamba mshamba sanaaaaaaa. Gari analotumia bayaa,
nguo anavaa cheap cheap, hajui kupangiliaa. Hana kiatu cha maana, wala mkanda
wa maana, wala simu ya maana. Japo alisikiaga analipwa vizuri sanaa kwenye law
firm yao, na ana A list clients kama Dady akawa tu hamuelewiii.
Akawaza kutoka na
lwayer akaona sasa itakuwa kuruka mikojo kukanyaga mavi. Mwanaume wa vile
atampeleka wapi. Dady alikwa mtu wa makamo lakini yumooo veterean yule. Suit
anagiza online Italy, viatu Italy, simu latest ikiingia tu anayo, perfume za
designers, yaani alikuwa anajipenda na anapenda kuishiiii. Hapendi kujibanaa
banaaa wala nini.
Alimiss dady vibaya
mnooo, maana kila siku alikuwa anawaza how to get better and better kufaidi
maishaaaa. Ama kweli bahati haiji mara mbili, she blamed it all on the stupid
cancer.
Angy akiwa bado kwenda
kwenda kwa Dr, akashangaa nguo hazimtoshiii. Akaanza gym, Siku wakaonana na
Anny akamwambia you are so pregooo. Akastukaaa, akanunua vipimooo. Kupimaa
viatu vyote positive. Akachokaaa. Akaenda kwa Dr akamwambia it could be a boy
huwezi jua. Alienda hospital kwa Dr wao mpyaa, manake wa zamani aliefanya nae
ma inshu alihama mkoa akawa recomend kwa huyu mpyaa.
Akawa anatafakari
aiache ikue au aishughulikie akalipie kule watoto wa kiume mapacha, au mazae tu
huyu, azae na wale wa hospital. Akawa hajaamua. Anashangaa mume anarudi na
mauaa, na furaha teleee. Hongeraa nyingi, akamwambia Dr gave me the good news.
Finally! Tobaaaaaaaaaaaaa! Akawa hana pa kutokea, ikabidi tu ane afurahi manake
mume keshajua tenaaa hivooo. Mamakwe kupiga simu asubuhi, usiku na mchanaaa, na
kujisemesha cha kiume hikooo, baba yangu huyooo muangalie vizuri! Loooooh!
Mimba miezi mi 4.
Dr akamwambia iko namna
ya kuona jinsia advanced China akamfanyia booking akaenda kuangalia jinsia.
Akaenda akaambiwa wa KIUME. Wacha afurahiii, hajawahi kufurahi namna ileeee
maishani mwake. Hakumwambia mumewe ili amsurprise mtoto akizaliwa.
Sasa alimdanganya
mumewe anarudi Jmosi, akarudi ijumaa ili tu kumsprise lamujer de mividaa
tenaaa, finally mambo yanaendaa. Mungu kamuona na yeye. Kurudi akakuta mumewe
hayupo lakini bag lake la safari lipo kitandani kama alivokuwa safari nae
alisafirii pia. Akawaza tu kwanini hakumwambia anasafiriii? Roho ikamwambia
lisachiii. Akalisachi akakuta tu nguo zake na karatasi, kuzifungua zile
karatasi akakuta Regency Hospitals, jina la yule mchepukoooo. Khaaaaaaaaaaa!
Aka kaa kwanza chini.
Akawa anasoma details
sasa, zimeandikwa homornal count sijui nini, akawa haelewi vizuri ila mwishoni
imeandikwa Fit to Conceive. Mmmmmhhhhhhhh! Akavaa akaenda Regency akaingia kwa
Dr na zile karatasi. Akamwambia tarehe hii nilikuja na mume wangu hapa,
tukamuona huyu Dr, sasa alinipa maelekezo nikawa sijaelewa vizuriii, nikaogopa
kuuliza mbele ya mume wangu, ila naomba unielewesheee. Akamuuliza Jina, akataja
la mchepukooo.
Dr akachukua karatasi
zile akaingiza details kwenye system, akamwambia ni vema umuone huyu huyu Dr.
wenu japo yupo Ulaya kwa sasa. Akamuomba masomee tu ile karatasi na
kumelewesha. Basi akamwambia lile swala lao la kuzaa mtoto, linawezekanaaaa
snaaa, maana tayari ana watoto wa kiume wa 3, so uwezekano upo mkubwa sanaa. Na
hormones zake zipo vizuriii, hana tatizo lolote na hata akizaa uwezekano wa
kuzaa mtoto wa kiume ni mkubwa sanaaa. Awe tu amani, atashika mimba tenaaaa.
Akajifanya waooooh! Nashukuru Dr.
Alivotoka akasema maku
vibuyuuu hawaaaaa, kumbe wanataka kuunganisha damu kabisaa kwa kuzaaaaa!
Mazafantaaaaaaaaa! Mi natesekaaa, nasononekaaa, nahangaika kumbe wananizunguka
na yao. She felt so batrayed, so useless, so aloneeeeeeee. Roho ikawa
inamtukutaaaa. Hakurudi nyumbaniii akaenda kukaa hotelini. Kila hata akisema
amshirikishe mtu kitu kinamkaba kooni, analia tuuu, na kusaga menoooo.
Akawa kadataaaaaaaaa.
Akaamua kwenda Dispensary moja, ya rafiki yake ambae ni dr sema hio ni kama
private practise. Kufika kule akampigia kuja, akamshangaaa why are you in very
bad shape. Akamwambia i need an ABORTION. Heeee! Akastukaaa. Akagomaaa,
akamwambia ya nje ya ndoa, niokoe. Akakubali akamuuliza utakuja liniii?
Akamwambia ndo nimekuja tayariiii, manake tuingie mitamboni hivooo. Dr akasitaa
ila urafiki denii ikabidi tu amsaidie.
Kakorofishaaa mambo,
akamsafisha vizuri kabisaaaa, akamwambia hapo safi kabisaaa. Mambo byeeeeeeeee.
Akarudi hotelini, sasa hasira kaliii ile ikaanza kupoa ndo akagundua kafanya
nini, akazidi kuchanganyikiwa, akawapigia kina Anny na Sisca waendee.
Huku mumewe akaambiwa
mkewe amerudi, akfika chumbani akakuta bag lipo wazi karatasi hazipooo. Akipiga
simu haingiiiii. Kangoja usiku kucha hajarudiiii. Akawapigia mashoga zake.
Wakamwambia kiukweli hawajui alipo. Akawa anahaha kumtafutaaa.
Kina Sisca wakamwambia
tunakuja sasa hivi, mumeo anakutafuta si kidogooo, upo wapiii, akawaambia msije
nae. Njooni tu i feel like diying right now.
The devil is not so
black as he is painted!
Kufika kule hotelini
wakamkuta hoi bin hoiii. Ndo kumhudumia supu na nini, ndo kusimuliwaaa sasa,
kisa na mkasaaaa. Kila mtu jivcho lilimtokaaa, maneno kumkaukaaaa, maana lawama
mda huu hazisaidii tenaaa. Ila ilikuwa kati ya siku mbaya sanaa kwao wote.
Wakawa tu wamekaaa hakuna anaesema lolote juu ya chochote. Sisca huku kubwa la
maadui Nerd linampigia simu, anakata. Manake mpaka ya kuliwa tigo akayaona
madogoooooo. Badae akatumiwa text kwa hio hayao maneno kweli si ndio? Aibu zako
umekosa mpaka la kujitetea. Akamjibu kifupi tu, you know me! Mimi mnyonge baba,
la kusema sinaaa. Namuachia tu Mungu wangu aniteteee.
Wakawa wanashinda tu na
Angy pale hotelini kila siku. Akaanza kupata nafuuu, sema sasa nuru yote
ilimuondoka maishani. Akawa kama mzimuuuu. Hana hamu na chochote. Wakamwambia
rudi nyumbani wewe, mwanao anakumiss, jikaze tu inabidi maisha yaendeleee. Akawaambia
siwezi naweza hata kumuwekea sumu yule jibaba kule. Wakamwambia be strong do it
for your daughter. Akawa hatakiii.
Wiki mbili zikaisha
Sisca amerudi kuwa single and lonely, Anny bado hana direction, Angy bado
anakaa hotelini kajificha. Ikawa maisha ya kuishi kula tuuuu, chezea stress.
Siku hio wakaenda hotelini jioni wametoka kazini wakaambiwa kaondoka leo na
funguo karudishaaa.
Wakasema kaenda kujiua
nini? Mmmmmmhhhhhh! Wakawa wanamtafuta kwenye simu hapatikani, wakaona wakaseme
tu ukweli kwa mumewe , kama ndo kwenda polisi au vipi watajua huko huko. Kufika
getini wamekaa dakika kumi hawagongi wanaangaliana, kengele kama ina miba.
Mwishoni Anny akagonga,
akaja dada, si anawajua akawafungulia, wakamuuliza baba yupo? Akasema baba
hayupo but mama yupooo! Wakaangaliana, hata hawakumuuliza zaidi wakamfata huko
huko chumbani, wakamkuta kalala. Wakamkurupua si kwa kuwatia jamba jamba kiasi
kile. Akawaambia nimeona nirudi kumlea mwanangu, mambo ya dunia hii huwezi
kuyawezaaa.
Wakampa tu poleee, kuwa
yatapitaaa, asiwaze sanaa. Akawaambia tu toka nimerudi siwezi kumuangalia
mwanangu machoni, naona kama yule mtoto ananiangaliaaa. Yani nimejaribu 3 times
sijawezaaa. Akaambiwa itaisha tu hio hali, ajitahidi kujisamehe, yeye Anny mpaka
kesho anamuota Dady usikuuu. Akasema kasheshe.
Wakamuga pale, hao kila
mtu akaishia kwake kudeal na ya kwake. Jioni mumewe karudi akaanza kubwatukaa
ulikuwa wapi umenisumbuaaa, kukutafuta , mbona hujielewi wewe mwanamke, ndo
tabia gani, akato zile karatasi chini ya mto akampatia. Mmmmmh! Sura
ikamsawajikaaa. Akajikoshaaa si karatasi tu kwani kitu gani?
Akamwambia sio kitu,
ila shukuru Mungu wako alie hai, sijazipeleka kwa mumewe, Mungu awasaidie mzae
watoto wa kiume alfa lela ulela, na wote waje kuwa mashogaaa na wangese kwa
jinsi mlivoninyanyasa maishani kwangu. Mimba yako hii ya mwisho nimetoa alikuwa
mtoto wa kiumee, na nishatoa zingine 3 kukuendekeza na upuuzi wako wa mtoto wa
kiumeee, ndo nakwambia mimba sitoi tenaaa, wala sizai tenaaaa. Zaa na huyo
aliezaa vidume vitatu, ikishindikana zaa na mke wa Devi si ana vidume 4,
ukishindwa zaa na mama yako mzazi si ana vidume 5 yule.
Akasikia malaya
mkubwaaa, umetoa mimba yangu afu umerudi kufanya nini? Kofi la kwanza. Hivi
unaona umenitawala sanaaa? Umetoa mimba zangu ngapi, akawa kama anaenda
kuchukua kitu sebuleni, akasikia tu kishindo koridoniiii kutoka kamkuta
akaanguka chaliiiiìiiiii. Kumtikisa baba Meliisa? Baba Melissa kimyaaaaa!
Akaona sasa biashara over, akawa kakaa tu pembeni amejishika kichwaaa.
House girl ndo kutoka
nje na mtoto, baba anakufaaaa, jamani baba anakufaaaa! Majirani kuja ndo kumzoa
zoa yule baba, kumkimbiza hospitali, mkewe anangaa tu sharubuuu.
Huku Sisca kufika
anamkuta kubwa la maadui nje kwake. Akamkaribishaaa. Akamwambia nimefanya
uchunguzi nimejua yale maneno sio ya kweliii. Akamuuliza umejuajeee, MBA ndo
kalwambia ya uongo sio rahisi akane maneno yake. Akasema bwana mimi nilitaka
kukuacha semaa roho ikawa inaniuma sanaaa, nikasema hata kama kweli poa tu.
Ulifanya kabla hatujakutana so it shouldnt be an issue. Ila roho ingine ikawa
bado inasitaaaa.
So nikaamua kutuma
screenshot zile kwa mkewe. Mkewe hakunijibu kitu, ila baada ya wiki moja wakaja
nae mguu kwa mguu, mkewe kakaaa kimyaa jamaa anajielezaa, kajieleza yoteee,
kuwa ni uongo mtupuuu, alitaka tu nikache aendelee kukychezea. Sasa sijui mkewe
kamfanya nini? But i believed him, nisamehe baby for doubting you.
Akashukuru tu Mungu
kamtetea kwa kubwa la maadui, manake nanuzee huu angempata nani tenaaa.
Ikaingia sms baba Mellisa kaanguka tumemkimbiza hospital. Mmmmmh, akamwambia
kubwa la maadu ngoja anende regency mjadala utaisha siku ingine. Kubwa la
maadui akamwambia twende nikupeleke.
Anny anaendelea kusaka
danga la maana, holaaa. Huku lawyer anamuomba date kila siku, siku hio na haya
mambo ya Angy akaona tu amkubalie walau usiku usogee maana kama kuna msibaaa
hukuuu. Lawyer kaja kachomekea shati kwenye jeans na sandals za wachaga!
Mmmmmmh! Akasema kazi ipooo. Akamwambia njoo tu tule hapa hapa, tupike tule.
Basi akamwamvia lawyer
apike hata mayai, manake yeye Anny hajapika mda sanaa, hana uhakika kama hata
anakumbuka kupikaaaa. Lawyer kapika ugalii laini na kitimoto roast. Basi
anamsimulia kwao huko kijini Machame alikuwa anawapikia wadogo zake, mama yao
alitangulia mbele za haki wakiwa wadogo sanaa. Mama wa kambo ndo kumfanya
haouse girl. Anny anawaza yake ya mbali, mambo ya kijijini tenaaa not that day!
Sms ikaingia baba
Mellissa ameanguka pressure, ndo tunamkimbiza Regency. Mmmmh! Akamwambia Lawyer
ugali silii, kuna ishu kubwa imetokea wacha nikimbie hapo regency. Lawayer
akamwambia twende nikupeleke, huwezi kudrive hivo na panic, hao wakaacha msosi
uleee mpaka regency.
New country old people!
Wakafika pale hospital,
akakimbizwa wodini, wakawa wanahangaika kulipaaa, kadi kaziasahau nyumbani za
bima ya afya, ikabidi Lwyer atoe ATM yake watamlipa. Wakachaji pale, wakapigiwa
ndugu, ndo kuja na ile kadi.
Basi Dr akamwambia
tunashukuru Mungu sio cardiac arrest, ungekufa huyu, ni kama neema tu mapigo
yalikuwa chini sanaaaaa. Sahivi tumempa huduma, anaendelea vizuri sema itabidi
tu mmoja alale nae, ila kwa mujibu wa habari ya tukio, sababu alikubwa na huu
mshtuko akiwa anagombana na wewe itabidi wewe usilale hapaaa. Angy huyoooo.
Mama yake akasema mimi mzazi wake nalala hapaa.
Akawa tu hajieleweiii,
watu wanaongeaa ongeaaa jamani baba Mellisa kijana wa watuuuu. Maisha haya kifo
tunatembea nacho mkononi. Wakawa wanasikitika tu. Basi wakaagana na kurudi
nyumbani kila mtu kwake na bwana wake, Angy na mwanae.
Huku kwa Sisca mambo
moto moto na hibi kubwa la maadui aliumisi mzigooo. Na ile exitment ya somebody
close could have died but they didnt inawapa mshawasha wa ku enjoy life even
more and more. Wiki mbili hajala mzigo ana hamu nao niajeeeee.
Kufika na kufika kubwaa
la maadui anavua nguo mwenyeweee zoteeee, hata kubakisha boxer. Anaenda
kitandani kujilaza tayari kwa kula mzigooo. Anaulizwa huogiiii. Aaah nitaoga
baadae, sahivi nataka kuzindua kwanzaaaa. Nijilie mali zanguuu.
Nae akavua nguo
kuonesha ushirikiano, akaambiwa kaoge kwanza wewe mtoto wa kike, usitake niseme
memngiii, hujafundwa nini? Hahaaaaaa! Sema kwa furaha aliokuwa nayo hicho
kijembe akaamua tu kuchekaaa. Akiwa anaoga, mtu huyu hapa nimeona unachelewa
kuja, tuoge wote unibebe mgongoni kama wanawake wa kitanga, kisosa kiko wapi,
leo ndo utayajua ya kisosa. Hahahaaaa!
Hapo mabusu moto
motoooo, maji ya shower mjini tenaaaa, mambo muruaaa. Cha kwanza cha
bafuniiiiii. Anamtania basi leo vile umekimisi unakilaje kwa fujo sasa.
Akamwambia hapa napasha tuuu, sijaanza bado kula.
Mechi kali usiku
kuchaaaa, mara alalamike wiki mbili 2 umenenepeana ushaanza kuwa mzito
kitandani mi sipendi namna hiooo. We unajua kabisaa raha ya mechi performance
bao majalaiwaaa. Akaanza kumjibua kunya kati kati ya mambo, si unajua tena
wanawake tukiambiwa umenenepa unavo nunaaa, roho inataka kukuchomokaaa.
Akamwambia sikia usininyanyase kama unene huutaki tafuta mwembamba.
Akamgeuza pozi la miguu
shingoni, Kamnigaa kweli kweli, afu aakaingia mzima mzimaaa, afu anamuuliza
unasemajeee? Hapo anaongeza kasi, huku mambo yamemuelemea Sisca hana jibu. Basi
kubwa la maadui anafanya sifa, anazama mzima mzimaaa, jibu ulivokuwa unajibu,
ikabidi tu aombe poooh, yameishaaa nisameheee. Bae nakupendaaa! Mimi nani?
Kubwa la maadaui anauliza kwa ubabe? We bae wanguuu, nakupenda mpaka naumwaa.
Utaendeleza kula kula ovyo na kufutukaa! Hapana nimekomaaa, sili tena nafanya
diet. Hapo anasikilizia boloyankii kooni.
Akamuweka pozi
lingineee, anaendeleza ubabeee, unanipendaaa? Ndiooo, maana akichelewa kujibu
tu huku mashambulizi yanazidiii, sanaaaa eeeh, ndioooo, kama nini? hamna
mfanoooo. Mpaka akanza kulia sasa manake raha zimezidi na control imezidi vile
vileeeeeee. Mechi ilikuwa si mchezooooo. Kuja kuisha hoiiiii. Anamuuliza
kitemi, ulikuwa unalia nini? Hahaaaahaaaa!
Huku Anny na lawyer
wamerudi wakaupasha ule ugali na kitimoto chao wakaulaaa. Basi lawyer
anasimulia story zake za child hood mambo ya shida shida yanamboa Anny. Anny
yupo tu off mood, hana hamu na chochoteee. Akawa anawaza mambo mengi. Akaona tu
usiku utakiwa mrefu.
Lawyer akamuaga mimi
naondokaa, akawambia unaenda wapi? Tunalala wote hapahapa, come on si unaniona
sipo sawa, help me to relaxxxx! Lawyer kijasho chembamba kikamtokaaa. Akakubali
fastaaa bila hata kubembelezwaaaa.
Mda wa kulala akajua
atapewa chumba chake pembeni, akambiwa njoo tulale hukuuuu. Mmmmh akaingiwa
wogaaa, ooh najua haupo sawa, sitaki our first time iwe nime take advantage of
you. It is a fuvked day acha tu nilale huku. Akaambiwa come on! We too old for
dramatic begginings. I might change my mind, better seize the opportunity, the
Gods smiled upon you tonight.
Akaingia mule ndani,
kama kondoo anaenda kuchinjwaaa. Akavua nguo zote kaingia bafuni, lawyer kakaa
tu pale ka bungaaaa. Karudi anamuuliza nguo hizo huvui? Anababaika kuvua,
chezea dream come true. Akanza kumvuaaaa. Badala ya kuseduzika akawa sasa
anaetetemeka tumbo linamchezaaa
Nguo zikavulika, wako
wotee, papasa papasa na wewe, hapo Anny ashapanic, anajua dudu tu ndo
litampozaaa. Shika mic wapiii, na Lawyer nae akaanza kubabaika kla ndo dudu
haisimamiiii ngooooo. Shika ziwaaa, shika tako, wapiiii, kama kalogwa vileeee.
Anny akakasirika na
kuanza kulalamika ndo mambo gani haya sasa tena baby? Come on! Ndo nini sasa?
Make it erect i dont care how but i need a dick, huniachi hivii hiviii. Wapiii,
mchaga mwenzangu anahaaa haaa ndo bunduki isha jam katikati ya vitaaaaa.
Akasikia tokaaaaa!
Kwendraaaa! Embu toka ndani kwanguuu. Akaondoka kwa kujikusanya kusanyaaaa,
mchaga wenzangu yule Mangi wa watuuu. Anajieleza aiseee hii sio kawaidaa,
nimerogwaaa, Anny baby pleaseee. Nachocharuaaaa, shimbony shafoooo, nasishambeee
kichagaaa humo anachangaya kwenye maelezooooo.
Akambiwa toka bwanaaa,
mi najua mtu mzima mwenzangu kumbe huelewekiiiii. Akatoka na shati mkononi
kavaa jeans, boxer kasahau chini kule. Akafunga mlango na kusikia wanaume
wengine kama wangeseeeee vile mxiuuuuuuuuuuuuu! We shepu hiii, ya kushindwa
kusimamishaaa? Chaaaaaaaa!
Roho ikamuuma kinomaaa
mangi wa watuu, akatoka tu kwa upole, ila aksema lazima amle yule demu na
atamla kwa ugwaduuuuuuu na jazbaaaa, si kwa neno lile la kufananishwa na
mngeseeee!
Kesho wameenda hospital
wakakuta ,mgonjwa kazindukaaa, anaongeaaa fresh, sasa Angy aliechelewa coz ya
uchovu akapitiwa akaenda saa 3 hiviii. Akaambiwa na mama mkwe mgonjwa kalaaaa
aje baadae. Mmmmmh! Baadae kaja mchana na chakula akaambiwa mgonjwa ashakula,
arudi na chakula chake, na kalala kaambiwa apumzike, akambiwa jioni asliete
chakulaaa.
Jioni akaenda na
Melissa, Melissa akaambiwa aingie yeye akae njeee. Baadae akambiwa mgonjwa
kazidiwaaa, hivo hatomuonaaa. Akarudi nyumbaniiii. Usiku mama mkwe akaja kumwambia
Angy mwenzio hataki kukuona naona unasumbuka bureee tu, sijui mmegombana nini
kikubwa ila kasema hataki kukuonantena maishani mwake. Akamwambia sawaaa.
Moyoni akasema atakuwa
anaenda pale kila subuhi, mchana, jioni mpaka kielewekeee. Wakamuhamishia TMJ.
Kila siku kiila asubuhi, mchana, jioni yupo pale nanharuhusiwi kuingia wala
nini. Watu wakija wanamsalimj, anadanganya nishatoka huko anaendelea vizuriii.
Sa zingine anamsikia kabisaa anachekaaaa na kuongeaaa. Mama mkwe anakuja kukaa
nae nje, anaumia lakini ndo hatakiwi na mgonjwa kule ndani atafanyaje sasa.
Siku ya siku ule
mchepuko ukaja, ukajitia kumpa pole saaanaa. Mungu akutie nguvu, anaitikia tu.
Ukaruhusiwa kuingia. Ulivotoka ukamugaaa, Mungu awatie ngubu sanaaaa. Akamjibu
tu kwa hakika Mungu yupooo, hawahiii wala hachelewiiii anajibu kwa wakati wake.
Asante kwa kuja kumjulia hali mwenziooo.
Mamamkwe akajua
hatokuja tenaaa, sio kwa mgoni wake kutinga liveeeeeee! Asubuhi yupo pale
liveeeee, kaka nje kama kawaida yake na kwenye nafasi yake. Hivo hivo mpaka
wiki 3 zikaishaa akapata dischargeee! Na siku ya discharge alikuwepo pale nje
wanamtoa anaangalia tu, wakampita mgonjwa kajikausha kimyaaa! Mama mkwe
anageuka geukaaaa sema afanyaje sasa.
Akarudi zake
nyumbaniii, ila akajua tu ya safari hii yamefikaa mbali, hayawezi
kurekebishikaaaa tenaaaaa. Ile kitendo cha kunusurika kumfia kikamfanya sumu
yote imtoke, awe yupo yupo, Hana kinyongoo, hana nini, yupo mradi yupoooo.
Mwanaume akaenda kukaa kwao kwa mama yake.
Sisca huku siku hio
kaambiwa jiandae jmosi kuna sehemu nataka twende, anamuuliza wapi? Anaambiwa
utajua huko huko. Mmmmmmhhhhh! Akawa kavaa tu nguo zake za kihasara hasara,
akaambiwa nguo hio haifai. Akawa kanunaaa, kubwa la maadui kaingia kabatini
kamtolea gauni refu vaa hiii. Akaona isiwe kesi avae tu.
Vuuuuuu, mpaka kwa kwao
kumbe, ndo kaenda kutambulishwaa. Akawa angaa sharubuu tuu. Kakaaa sebuleni
ugeni ugeni uleee, kubwa la maadui linamwambia nenda jikoni kapike na mkweo
muanze kumalizanaa mapemaaa! Hahahaaaa! Basi anaenda ana wasi wasi. Mamkwe
anamwambia wewe kaaa tu hapo mwali wangu, nitakupikia, nilivosubiri mwali kwa
hamu si kidogooo.
Basi anamuuliza tu,
unafanya kazi gani? Kwao wapi hivoooo yani. Anajibu kwa heshimaaa kabisaa,
hapana chezea mama mkweee. Wakakaa mpaka saa 4 usiku, akajua wanarudiii, hamna
kituu, akaambiwa tunalala huku huku.
Basi akapewa kanga na
mkwe usikuu, akaoga akawa anataka kuwapisha waongee mama mtu na mwanae, akawa
kaenda chumbani kwa wifi yakeee. Wifi mcharukoooo. Anamsifiaaa, hii lace wigi
wifiii, akamwambia ndiooo. Utaninunulia na mimi. Akacheka tuu. Na hii saa yako
nzurii, naiombaaa! Akamwambia chukua. Simu yako samsangi? Utaninunulia na mimi
touch! Mmmmh! Akawa anamjibu tu kiustaarabu, si unajua tena kubembelezea
ndoaaa.
Akawa kalala
washashusha neti kabisaa, mara kaja mkweee. Mwanangu kalale na mwenziooo
atasikia baridiii. Akajikaushaaa, mama acha tu nilale hukuuu na wafiiii,
akasikia fanya tukalale bwana ulale na wifi vipi, mimi nilale na nani.
Mmmmh! Akaona kweli hii
familia sugu. Akajizoa akaenda kulala chumba cha kubwa la maadui. Akajua ukweni
watalala kwa amaniii. Anaona kubwa la maadui anamgusa gusa. Akamwambia mbona
unanishushia maxi ndugu yangu ukweniii, mambo ganiiii. Akamwambia yaani mama
kakupendaaa, kakusifiaa, basi ndo kanitia nyegeee ni balaaa. Si eti mke
wanguuu.
Anamwambia heeee
kanisifiaa? Enheeeeee! Akamwambia mweo hana makuu, anaelewana na watu wote
mpaka ndugu wa marehemu mumewe wanamuongelea vizuri, so yeye kila mtu kwake
mwemaaaa. Sema basi tu vile amekukubali, na nyege zangu za kawida tu nakuwa im
so horny baby right now, itabidi unipe hata kimoja cha kimya kimyaaa.
Anamwambia bwanaaa,
nyumba yenyewe moja hiii, watatusikia we mwenyewe unajijua shoo ya kibabe,
nitaanza kupiga mikele humu mpaka mkwe aje humu. Hamnaaa kidogoo tu, baby dont
spoil this for me, dont make me beg bwanaa, akanza kunuaaa, kubwa la maadui
nae.
Ikabidi tu ndo akubali
kiutu uzima kumpaaa, atafanyaje sasa na ndo ashaamua. Basi kaanza kweli kula
kistaarabu akanoa hataa, hanogewiii, akajikaza hivo kula cha kimya kimyaaaa.
Asubuhi wakaondoka, akawasindikiza mkwe, mkarimuu, anamwmbia uwe unakuja
kunichungulia mkweo, Nipe namba yako niwe nakujulia hali.
She was happy! Not
exactly kama alivofikiri itakwa but she was happy.
Anny kaamka asubuhi
akafikiria alivomtimua Lawyer, akajisikia vibaya kweliii. Akaona alichofanya
sio utu, ukizingatia mangi mwenyewe mshamba mshamba, dfenceless, han hiana na
mtu akajiona hakufanya vizuriii. Ku sawazisha mambo akaamua ampigie ila akiwa
na shka kubwaaa kama simu itapokelwaaaa.
Simu kuita na kuita
ikapokelewa, Eeeeh, Anny my baby unaendeleaje. Mchaga kapanic, akamwambia
nakusalimia tu, nimekumiss sanaaa, jioni twende ile dinner yetu ya janaa, si
unajuaaaa jana haikukamilikaa, basi Mangi yule anakubali kweli kabsaaa Anny,
nitakupeleka ile hoteli ya hapa posta Serenaa hotel. Nzuri snaaa ileeee, mangi
anajimiminaaa kama sio yeye alieuza mechi janaaa.
Akawa anamchembezaa
kweli baby wangu, basi mi nasubiriiii. Katoka ofisini mapema mnoo kajiandaa,
Mangi kaja na suti leo, suti ilele aliyotoka nayo mahakamaniii mchana. Loooh!
Suti haielewekiii, chini kapiga moka za wachaga wenzie wa kariakooo. Akaona
atleast sio casual ya janaaaa.
Wakafika kule, akaagiza
masalad salad sababu weight issue, Mangi anakula ribs hajibani kabisaaa. Wakawa
wanapiga story, Mangi ndo kumsimulia anakula paleee lakini roho inamuuma sanaa,
maana huko uchagani alipata sanaa shidaaa, mpaka kuna kipindi ikabidi awe
anabana maviii, ili asisikie njaaaa! Hahahaaaaaaaa! Anny anamwambia Mangi bwana
wewe muongooo habari zako zingine. Anamwambia kweli unafikiii unafirikiii Anny,
usione mimi nipo mjini sahii ni juhudi sangu aiseee. Ndo maana sichezei hela.
Anny anamwambia hapa
kwa mbondei umefika, hela utatoaaa, na utaitumia ikuzoeee. Mangi anajiongeza,
kwa wewe mama yangu natumia hela yoyote ile, wala sioni ishu, ila sio ndorobooo
wengine wale hela yanguuuu kirahisiii rahisiiii. Hahahaaaaaaaaa!
Wakahama kiwanja, mpaka
level 8, kunywa kunywa sanaaa. Mangi kama sisi mangi wenzie pombe anapendaaa.
Akilew ndo haongei kabisaaa, anasinzia tuuu. Ikabidi Anny arudi nae mpaka
kwake, wakalala. Asubuhi Mangi kushtuka yupo na mtoto Anny akaona hataaaa, hapa
yatajirudia ya juzi, saa 9, kawahi kuoga ooh kuna client ni mkubwa sanaa,
sijaaandaa minutes, ngoja nikaandae alfajiri hiii. Anny akamwambia hayaaaa!
Mangi akawa ka save
kiaina hio.
The future is looking
at you kid now!
Ikawa Sisca na Nerd
they going stronger and stronger. Ila kama kawaida Kubwa la maadu ndo ana make
all the decisions about them. Sasa siku hio kukawa na harusi ya mshakaji wao
kubwa la maadui anaoa. Sisca akawa hataki kwenda coz MBA atakuwepo. Na yeye
hataki kumuona maishani mwake.
Akawa anatoa
visingizio, kimeenda kimerudi, akaambiwa hapa kwenye harusi tunaenda.
Utajificha mpaka liniii.You were the victim, so kwanini utesekee. Akagomaa
zaidi ya mbuzi kagoma kwendaaa. Kubwa la maadui ikabidi sasa atumie diplomasia
sasa. Sikia baby, najua alikukwza na nini, bt wewe uko na mimi, you are going
with me, you know me, siwezi kwenda pale niache anything bad happen to you. I
got you. Yule hawezi kukufanya kitu.
You my girl, i want to
go with you places comfortably, i want to flaunt you, i want to enjoy being
your man bila pimbi yoyote kuniingilia kwenye 18 zangu. Trust me, wewe twende,
people talk more ukiwaendekeza na ukijifichaaa. But if you are strong confront
your ghosts, dare the devils wenyewe wananyweaaaa. Kama hivi ukijificha ndo
watafurahi kwamba hujaja. Be stronger than your fate.
Kampa maneno laini
laini, huyu hapaaa kajaa nyavuni, kavaaa wakaenda. Ila bado tumbo linamcheza
kwa uogaaa. Kufika kule kuangaza kidogo MBA huyu kakaa na mkewe. Akajilaani
kutembea na mume wa mtu hamna mfano, maana akawa kama mtumwa. Anajihisi watu
wanamsemaa semaaa, ila kubwa la maadui yupo close, kamuagizia shots mwenyewee.
Maana alimuona antembea roho mkononi. Basi anampigisha story mpaka akaanza
kuzoea na kuchangamka.
Mara kubwa la maadui
akaja kuitwa na wenzie wakawa wameenda kusimama pembeni kule, na MBA akawa
kaendaaa. Kwanza alijua hawaongei MBA na kubwa la maadui, si kwa
alichowafanyia. Akajua pale kubwa la maadui ana feel so awkward sema ndo
urafiki mjini deniii. Basi wakateta wenzao wakarudi kukaa wakabaki Kubwa la
Maadui na MBA, akashangaaa, akajua ngumi zitapigwaaa. Mara anawaona wanachekaa
kabisaa wanagongaaa. Yaani story zimenogaa mbayaaaa, kama zamani, vicheko vya
bashashaaa kama washkaji kiroho safiiiii.
Akaona kama anasikia
kutapikaaa, nafsi inamtukutaaaa, akatoka nje na pochi yake jumla jumlaaaa. Huku
KLM anageuka anakuta kiti cheupeee akajua tayariiiii, picha lilishaungua
ikabidi afanye kumkimbia nje, akamkuta anatapika tuuu. Ikawa Sisca kanuna
hatariii, manake akawa kaona wanamchezea picha, mineno yote ile bado
washkajiiiii. Akamwambia bwana wee tuondokee.
Kwenye gari hamna
kuongea kila mtu kimyaaa. Kufika kwa Sisca anamwambia usiku mwema yaani
asishuke kwenye gariii, KLM akashuka vizurii, tena kapaki kabisaaa jumlaaana
gari kalizma,na kulock. Sisca anamwabia leo itabidi ukalale kwako i want to be
alone. KLM akachekaaa tu. Akamwambia kwanini? Sisca akamjibu uwe muelewa mda
mwingine KLM akamwambia mimi nalala hapa hapa, hujanitoa kirahisiii. Si
nachangia kodi na maintenance hapa, basi kulala hapa ni halali. Khaaaaaaaaa!
Sisca akamwambia labda ulale nje! KLM akamjibu kulala nje itakuwa ngumu,
ukinifungi mlango kwa nguvu zipi labda uingie hapa ufunge mimi nipo nje, hata
ukifanikisha hilo kichawi labda, nauvunja mlangooo naingia nalala kesho namleta
fundi aweke mlango mpyaaa kwani sh ngapiiii? Sisca akacheka tuuu! Akamwambia
basi sifungui mlango tulale wote hapa nje. Akakaa kibarazani. Hahahaaaaa! KLM
akajibu tu, tena cha nje kitamu sanaa, we never tried that before. Sisca
akamsonyaaa yaani unategemea sex tonight of all nights! Hahahaaaaaaa!
Unachezaaa. KLM akajibu utanipa tu, kununa kidogo imooo, kuninyima mzigo
haimooo hio. Sisca akajiapiza akimpa chiu siku hiyo sio yeye.
Wakawa wamekaa nje tu,
wanaliwa na mbuu tu, mda unaendaaa. KLM akatoa msokoto kitu cha bob Marley,
akakiwashaaa anakipuliza kidogooo. Sisca akamwambia naomba na mimi msokoto.
Akamwambia sina, na hata ningekuwa nao nisingekupaaa, mwanmke gani unavuta
bangiii. Akamwambia nipe bwanaa, unanikata stimu, nishavuta sanaaa, too late
kunikataza. Akamjibu bangi hupati hapaaa, siwezi kukubali uje uniharibie
watoto. Sababu mimi dume la mbegu navuta naweza ku control, wewe kuvuta ukiwa
na mimi sahau.
Anapuliza puff zake
kishkwambiii. Sisca anamuomba, nipe basi hata pufff moja. Aaaah wapi. Akamjibu
basi kesho naenda kununu misokoto 10. KLM akamjibu labda nisijue, nitakupigaaa,
si sijawahi kukupiga, vuta hata puff uone utavochezea kichapooo. Akamjibu weee
mimi sipigwiii, baba yangu mzazi mwenyewe hajawahi kuninasa kibao afu wewe mtu
baki uje unipige thubutuuuuu. Labda tuachane sio kunipiga. Akamwambia kuachana
hakupooo, tena sahauuu, na ukinitibua nakupa kichapo mpaka ukae nafasi yako.
Kama hutaki kupigwa behave, usinitibue. Ama sivo kichapo unachezea na uhusiano
unaendelea.
Sisca akamjibu weeeee
labda sio mimi. siku utayonigusa ndo mwishooo. mimi najiweza sio lazima niishi
na wewe, sikai in abusing relationship. Kwanza unanitawala sanaaa. Naoana
nimekufuga mda mrefuuu. We should take a break! Hahahaaaaaaa! KLM akacheka, hapa
break hamnaaa, come on ujue wewe sio katoto tena ka 25 yrs, running from shit,
scared of shit. Wewe mtu mzimaaa, ukikereka jambo unasema tu kitu flani
kimenikreaa, we talk it over. I guess mimi kucheka na MBA is what is eating you
up. All this drama.
Sikia sis watu wazima,
we should be stronger than any issue, MBA tumejuana like forever, sawa alikosea
na nini but we went past it, so should you. Ukikaa maishani mwangu zoea tu kuwa
MBA atakuwepo piaaaa. Isitoshe dunia hii utawashut watu wangapiiii. Na mimi nilikupora
kwake, he got past it. I stole his girl, we unahisi anafurahi kuniona
navojitanua na wewe, anajikaza tuuuu, ndo maisha tenaaa. Na wewe ujikaze ndo
ukubwa huooo. Utanunaa mpaka lini?
Sisc akafungua mlango
akaingia ndani, KLM nae akaingia ndani. Akavua nguo zote sisca, akaoga akaja
kulala na pajama. KLM anamwambia ndo nini sasa? Sisca akamjibu sina nyege hata
mojaaaaaaaaa, leo niache tu utanichubuaaa. Akamwambia mzigo utanipa tuuu. Sisca
akamwambia kweli shika uamini. Akagusaaa! Akasema khaaaaaaaaaaaaa! Umeoshea
ndimu kabisaaa nini huko bafuni si kwa ukavuu huu! Kweli hapa hata mimi
nitachubuka. Hahahaaaa!
KLM akamwambia ujue
nakupenda sanaaa, of ll days leo we must have sex, sio kwa kutaka inatubidiii.
Htuwezi kujiendekezaa kila tukimuona MBA we cant have sex, ndo maisha ganiii
sasa, si utumwa huooo. Unachotakiw ni kujikaza na kujitahidi, kila tukimuona
MBA we have the hottest sex ever! Dont take it seriously, you made your
mistakes, i made mine,but we are togethe now that should mean eveything. Hata
uksirike vipi ishatokea, hata nisipomsalimi MBA nikaweka kinyongo still
haitotusaidia kitu.
Hata yale mambo
yangekuwa kweli, ningekusmehe tu, ingechuku mda kidogo but ningebull shit cause
that is who i am, nimesamehe vitu vingi maishani ndo maana nimefika hapaa. Kama
ingekuwa kweli i would have helped you to become a better person instead na
ningekupenda hivi hivi. Mbona mambo mengi ulikuw unafanya because of life,
sikujaji i help you become better and better ka kulewaa, hata bangi leo jioni.
Kudeka deka, sometime nakufanyia umafia because it is the right thing to do.
Ningeweza kukuchokaa na kusema mwanamke mwenyewe mlevi, mvuta bangi niakakukula
kwa hamu tu, bt sifanyi hivo tunaenda kijeshi jeshi hivo.
Umesikia baby wangu
nakupenda sanaa, akaanza kumpiga mabusuuu, upinzani hakunaaa, kuingiza mkono
tayari pashajiseti siku nyingiii, aaaaah KLM akala mzigo genuineee afu mtamu
balaaaaa. Nguzo zote za bibie Sisca zikaangushwa moja moja.
Angy akawa kakaa na
mwanae kila siku anamuuliza baba atarudi lini? Anakosa jibu la kumpa! Mara
amuulize baba ana mama mwingine kama baba kina Joe na mimi nitakuwa na mama
mwingine? LOOOO! mtoto kama katumwaaa. Mara amwambia dada yake, my mum will
marry my dady becuase my mum is beautiful. Mara mda wa kusali aseme God please God
bring Dady home!
Akaona imetoshaaa
akamfata huko huko kwa mama yake. Akavizia mchana wanakuwa kazini kasoro
mgonjwa na msichana wa kazi. Kafika kakuta kupo wazi kaingia mpaka sebuleni,
akamkuta anangali tv kajilaza kwenye kochiii. Akaingia kakaa. Mgonjwa akataka
kunyanyuka aende chumbani, akajisikia maumivu akakosa balance, ikambidi arudi
kujilazaaa.
Wakakaaa kama nusu saa
hana anaeongea. Mgonjwa kaanza Angel mimi kukusamehe sizwezi sio maisha haya
wala yajayo naomba uniache nijiuguze kwa amani, ama ulivoshindw kuniua kw
pressure umekuja kuniua kwa kunikaba na mto nini? Mmmmmh!. Angel akaja
kumwambia sijakuomba msamaha, wla siwezi kukuomba msamaha kwa chochote si kwa
maisha haya wla yajayooo mimi siwezi kukuomba msamaha sababu sijakukosea kitu
chochote, wala usinisamehe ukishindwa kunilipiza kama unaona nilikukosea,
ukishindwa maisha haya please do definitely take your revenge in the next life.
I have taken responsibility for what i have done. Wewe ulikuwa hunipendi siku
nyingi tu, nimekubaliana na hali, i have no regrets.
Isipokuwa kilichonileta
hapa ni Mellisa, mtoto kule anakukumbukaaa. Tushaharibu haribu maisha yetu,
tusiharibu maisha ya mtoto please. That is the only noble thing we have left.
We rudi nyumbani tumlee yule mtoto, master ile nakuachia, tembea na mu yeyote
utaejisikia, fanya lolote mi sitosema kitu, sitouliza kitu, i just need you to
be the father you are to our daughter mengine yote sina la kusema.
I promise i will make
it easy for you kuishi pale, sikupigi vijembe, no attitude, tushakuwa watu
wazima sisi, hata ukileta ule mchepuko wko nitautengea juice bila kutia sumu
ndani wala chumvi. Hahahaaaa! Wakachekaa! Fanya urudi, haina lazima kuwa
maadui, hatuongei, umri ushaendaa, mtoto mkubwa yule 4 yrs, we should not fail
as parents that is the most important thing now, since we failed in everything
else.
Mgonjwa akamwambia embu
nipe maji nimeze dawa mda umefika, akamsogezea, akamwambia nipeleke chumbanii
nikapumzikee, akawa kamsindikiza, akamwambia kiukweli nitarudi nyumbani for my
daughter na because the cookings here suck! Hahahaahaaa! Nimemiss misosi yako
kinomaaa. Na kudeka mgonjwa imooo. Hahahaaa! Wakachekaaa.
And the ice between
them was broken, they buried the hatchet.
Anny kwa mchaga huku
hali tete, mchaga anakwepa kwepa swalaa. Akawa concerned ndo ashakuwa hanisi
au? Akaona bora ajaribu kwingine. Weeeeeeeeeeeeee! Kapiga show ya kibabe sio
kidogoooo. Akasema au ndo nishapata kisukariii? Akaenda kupimaaa. Iko normal tu
hana tatizo lolote. Akajua itakuwa ilikuwa woga tuuu.
Akaanza kujiandaa na
mechi ya marudianooo, anakula mihogo mibichi, karanga, na asiambiwe kitu
inaongezaa yumoooo. Supu ya pweza daily. Kama si yeye. Akaanza kutoka chunusi
nyege zimemjaa si kidogo. Akasema sasa Anny utaisoma nambaaaaaaaaa! Katika
maongezi akamwambia aisee Anny nataka kukutoa resort weekend, pale bahari beach
nimelipia chumba cha $170, nata tuspend weekend wote. Anny akachekaaaa! Jamani
Mangi hiko chumba tutakuwa wote au ndo mambo ya kazi za ghfla usiku nilale
mwenyewe? Mangi anajitutumua tutakuwa woteee, niaje tena Anny mbona unaleta
mambo sizooo. Unafiiii unafikiri kweliii! Mimi lazima niwepo nimezima simu!
Mangi nae kwa kujitutumua. Hahahaa! Akamwambia haya najiandaaa, ole wako
unizeveze kama kwaida yako and you better get it done this time. Mmmmh! Mangi
moyo ukampasukaaa. Akjitutumua ofcourse Anny you will never regret.
Moyoni Mangi anajisemea
wewe jishaue tu, mimi Mangi ndo kiboko ya Anny utawakumbuka marehemu wenu wote
kwa kazi nitayokupa.
The stuff that dream are
made of!
Ikawa Anny anajiandaa
na mechi kali, maana toka Daddy aondoke ni kitambo kidogooo si mnajua tenaaaa,
mambo ikawa kayamisi, mpaka kumpa mchaga mechi ndo mjue simba akizidiwa anakula
hata nyasi potelea pote.
Akawa anawaza ikitokea
kashindwa tenaaa itakuwajeee? Akajipa moyo haiwezi tokea bwanaaa. Siku ile tu
ilikuwa na mambo mengi mchanganyikoooo. Mpaka mechi kaomba mwenyewe itakuwa
kajipanga kapangika, mpaka katoa $100 na ushee kwa usiku mmoja itakuwa si
bureee.
Akawa anajiandaa,
akataka kunyoa brazillian, akakumbuka wembe nao unatoa mapele mapele sanaa, so
akaamua kufanya waxing kabisaa Upanga huko kwa wahindi. Akawa anawaza Mangi
akichemsha safari hii atanilipa hii 80,000 ya waxing haki tenaaa. Akanunua
lingerie mpyaaa, bikini ya kamba 3 tuuuu, sidiria bustaaa. Akaenda na
kwa sonara kusafisha cheni yake ya gold.
Ijumaa kufika akawa yupo tayariii
kwa mechi kali ya marudianoo. Asubuhi kampigia Mangi, aseee Mangi usiyeyusheee,
mimi nakutegemea ujue. Siwezi kuyeyusha aisee bae. Nishabook na kulipia kabisaa
chumba hikoo. We ukitoka kazini pitilizaaa. Nikuletee nini? Mangi anajiongeza
si mchezooo. Niletee chocolate, juice ya Delmonte, pringles na wafer. Mangi
akatia nitumie sms mambo yenu wanawake siwezi kukumbuka vyote hivo.
Anny katoka ofisini huyooooo
mpaka hotelini. Kavua nguo zote, kaogaaa, akaenda na kuogelea kwenye pool pale,
akarizikaa. Akarudi sasa kufanya maandalizi ya maana. Chetezo chake cha umeme,
kachoma udiii na kujifukiza kwa bibi wa kitosha, mjaa asili haachi asili.
Akavaa vile vikambaa, akawa
kajilaza anasoma kijarida alichokikuta humooo kuzugaa tu. Mangi kaja moja kwa
moja mlangonii, akataka kuingia, akasitaa. Akasema hata ngoja nifanye tambikooo
kidogooo. Akawaita wazee wake, jamani wazee wangu, babu zangu wa baba na mama
mliotanguliaaa, akawataja majina yao, naomba mnisaidie kijana wenu leo
nisiaibikeee. Mama yangu huko uliko kama unaniona naomba unilinde leo jioniii.
Akasema miiko ya kwao pale.
Kuingiaaa anakutana na mtoto
kwenye vikambaaaa, tumbo likamkata traaaaaaa! Akajikaza kiume akaingia. Eeeeh
nimeleta vile vitu, yani network ishaanza kukatikaaa. Akaja kuvipokea kwa
madaha, mangi jicho limemtokaa si kidogo.
Basi Anny anafanya kusudi tu
kupita pita mule ndani kumtamanisha tu mangi wa watu, mara aangushe vile vitu
chini ainame kuviokota hapo kambinulia tipa mangiii. Balaaaaa! Mangi huku
confidence level zinazidi kupungua.
Anahaha jasho linamtokaaaa! Anny
akaja kumkalaia, akajua labda atamvua nguo ama vipi, mwenzie kafikia kufungua
zipuuuu na kumshika mzeee! Yaani Mangi anachokaa formation aliopangaaa
inavurugwaaa. Akawa sasa anadata hana maamuzi acheze 4,4,2, au atumie 3,4,4,.
Tumbo likazidi kumkataaaa.
Anny akapiga magoti, afanye ibada
za kitanga rasmi mambo ya shika maiki. Ile anasogeza mdomo, mangi akapigaaaaa
subirìiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii! Akashangaaa! Mangi kainuka kabana
miguuuuuuuu, hata kutembea hawezi? Anny anamuliza vipi tena baby! Katoka mbioooo
mpka choooni!
Anny akabaki anashangaaaa! Yuko
chooni huko anasikia mabomuuuuuuu! Ndo keshashikwa na tumbo la kuharishaaa
tenaaaa. Tena lile lisilo na staha la papapaaaaaaaa! Anny anayapata mabomu
tuuuuu!
Anny aksema maskini Mangi
almanusura kujinyeaaaa! Hahahaaaaa! Akawa anacheka kwa masikitiko. Alitegemea
kukereka ikawa kajichokea tuuuuu. Baade ndo anarudi, tumbo lilinibana bwanaaa,
sasa nipo gadooo. Anny akamwambia poleeeee, Mangi anakuja kwa madoido zaidi ya
yamoto band, kutaka tu kupanda kitandani akanasa tenaaa.
Ndo kukimbilia chooni tenaaa.
Ametoka hoi, ama kweli tumbo halina adabu. Akasalimu amri. Leo sipo vizuri
kabisaaa. Ikawa trip tu za chooni haziishii usiku kucha mpaka saa 7. Anny
akamkorogea maji ya chumvi akamwambia kunywaaa. Ndo kidogoo kupata ahueni.
Wakawa wamekaa tu, mangi kajifunga taulo hoiii kajilazaaa, maneno yamemuishaaa.
Anamwambia kama umeboreka nenda tu dear.
Anamuuliza naenda vipi unamwa
hivi nakuachaje sasa. Wewe nenda tu usijali kuhusu mimi. Mangi machozi yamlenga
hahaaa! Anny akamwambia acha ujingaa, mi nipo hapa kukuangalia hali yako,
asubuhi nakupeleka hospital. Basi Mangi anajitutumja najua nimekudisapoint
sanaa. Anny akamwambia hamnaaa, kesho pia sikuuu nayo. La maana upone kwanza.
Saa 8 Mangi kaanza kuchemka
homaaaa. Wamoto, zima Ac, anatetemeka. Akamwabia twende tu hospital hakulaliki
huku. Kufika akambiwa ana malaria nyingi mnoo hawaelewi alikuwa anatembea vipi.
Na kulazwa hapo hapo.
Basi akawapigia ndugu zake wakaja
pale akaondoka zake. Mara ya pili bila bilaaa. Ikawa kaitisha kikao cha dharura
kuwauliza mashogaaa, kwani ana ubaya ganiii??? Au kazeeka? Au hana mvutooo?
Wakamuuliza vipi? Akawajibu tu nina matatizo sio madogo hata aibu kusemaaa.
Wapo tuambie. Akawaambia siku nyingine labdaaa.
Baba Melissa karudi, ikawa
washatengana vyumba, wanaishi kila mtu na mishe mishe zake. Akapona akarudi
kama kawaidaaa. Akaja kuambiwa na mmbea baba Melissa ana Gf, msichana mbichiiii
kamaliza chuo. Akamwambi basi sawaaaa.
Basi siku hio jioni alivorudi
akamtania nasikia una demu mpyaaa, chombo cha maanaaa! Wambea washaniambia.
Akachekaaa tuuu. I guess no country for old men, kabinti kadogo kadogooo. Basi
anamwambia acha kabisaaa. Mzee nina wewe ndani, nje nikatafute tena mzeee,
haihuu kabisaaa.
Siku nyingine Melissa akaja
kumwambia mimi simpendi aunty mwingine, anakaa kwenye siti yangu kwenye gari ya
dady. Ananiambia nimuite mama. Simpendiiiiii! I just dont like her. And she
kissed dady on the mouth! Yaaaakhhhhh!
Angy akajisemea tu kimoyomoyo
mtoto komaaa, ashamvulia chupi baba yako ndo mama yako wa kambo tayariii
hivoooo. Ila akazuga zuga tu.
So kwenye kikao chao akawa
kawasimjlia the girls hio ishu, wakamwambia wewe bado mdogo, date some body
else. If baba Melissa dsnt want it other people do. Cha nini kiozee kwenye
pichu wakati wenzie wanakitolea macho. If he is seeing other people, see other
people also.
Akawa analitafakari hiloooo.
Sisca huku katika kukaaa kukaa na
KLM siku hio akamshika mkono, akakuta vijiti! Anamuuliza nini hiii? Aka kaa
kimyaaa. Naomba ukatoe hivi vijiti kesho. Nikija kesho nisivikute hivi jiti
mkononi.
Akamwambia siwezi kuvitoaa,
sindano zinanifutushaaa, na wewe wa kwanza kuchonga nikiongezeka hata gram.
Vidonge vinanidhuruuuu. Akamwambia wewe huna hata mtoto mmoja unaweka vijiti
ukija kukosa uzazi utamlaumu Mungu kweli? Mbona unapenda kurisky lakini?
Sisca akamuuliza nikitoa vijiti
inakuwaje sasa? Maana mechi tunapiga kavu kavu, wewe si ulisema eti condom zote
zinakubanaaa? Mara zinakupa rashes, ili mradi tu usivae. KLM akasema tena
usinikumbusheee kabisaaa, ulikuwa unanivalisha condom wakati una vijiti
mkononi.
Sisca akamuiliza inakuwaje sasa,
utavaa condom? KLM akajibu hapana kama nilivokwambia zinanibanaaa. Mmmmmmmh!
Tutatumia Calendar. Sisca akamwambia sijaridhia, calenda si salamaa, nipe mda
nifikirie.
KLM akamwambia sasa mimi nakupa
option toa vijiti, yutumie calendaa, njia salama kabisaa, au mimi mechi nasimamishaaa.
Maana tushaanza kushindana humu ndani. Mimi nakushauri kitu cha afya yako afu
unaleta ubishi usio na tijaaa. Kikipotea humo utasemaje? Sisca akakaa kimya
moyoni akajisemea hujanibebesha mimba kipompiii namna hio, hakitoki kijiti wala
chelewa.
Kesho KLM karudi kamkuta hana
plastaaa, basi akasalimia, wanapiga story vizuriii, mda wa kulala kalala na
boxer. Sisca akasema alivo mdhaifu hapakuchiii. Palikicha salamaa kabisaaa.
Asubuhi kaoga huyo kaenda kazini.
Siku ya pili akaamu yeye Sisca
kulala mtupu kabisaa, anamjua mdhaifu sana yuleee, hata kushtuka hajastukaaaa,
kalaaaa fofoooo mpaka asubuhi. Huyo akaishia zake kazini kama sio yeye.
Hajanuna story kama kawaida sema supply ya mechi kaisimamisha.
Siku ya tatu akasema atamtegaaa
mpaka kielewekeee. Akalala bila nguoooo, usiku anampiga mabusuu, na kumshika
shika ndo kwanza anageukia ukutaniii. Basi anambembeleza akamjibu tu nyege
zangu ni psychological ujue, sababu ushakaa jambo nililokwambia haziwezi
kusimama hata ufanyaje. Wewe katoe vijiti tu, hapo itakuwa umepress on
vinginevo niache nilale.
Kesho akaenda kutoa vile vijiti.
Karudi mkono unamuumaa si kidogooo. Alivokuja akaona bangage basi akaanza kuwa
romantic, anakuja embu nione, pole baby wanguu. Akambandua ile plasta akakuta
kidondaa. Wacha Sisca amuweke ngumi maana sio kumtoneshaaa. Pole baby nilikuwa
nahakikisha hunichezei picha la x. Poleee kidonda kinatishaa.
Njoo hapa kitandani, akamwambia
si kwa maumivu hayaaa. KLM anamwambia ujue ukiwa unaumwa unatakiwa ukae na
bwanaa akuliwazee, njoo hapa uone kama utasikia maumivuuu. Akaendaa, akaanza
kumpiga mabusu mabusuu, mara anashangaa mtu kasha dindaaa. Mmmmh! Mara anaanza
kumvua nguo. Akamwambia sio kwa maumivu hayaaa! Kutaka kutoka kambanaa,
akamwambia ukifosi kujitoa utaumia sio kidogo. Aaah bwana mi naumwaaa sitakiii.
KLM anamwambia mambo
yashaharibika siwezi kupata blue balls we upo, it wont be fair, nakufanya
taratibuuuuuu okay baby. Very careful hwezi kuumia. Umensikiaaa. Ana seduce,
Sisca akalainkaaa, ila akkumbuka katoa vijiti. Akamkazia labda ukachukue
condom. Mmmmmh! Akamwambia sikizaaa, namwaga njeee. Niamini mimi namwaga nje,
nishawahi kukudanganyaaa? Sisca akawa kaelegea, akaumuamini. Huku na huku
kajisahau, kamwaga kila kitu ndaniii.
Let as not ask for the moon we
have stars.
KLM akajikosha kosha pale, umri
na nini ndo vimemfanya ashindwe kumwaga njeeee. Sisca akajikalia kimyaaa tu.
Ikaanza formula ya calendar, siku za hatari lazima KLM afanye maarifa ale
mzigooo, kavu kavu. Sema Sisca mtoto wa mjini akaiuza mechi kesho na aamkia
72hrs pills
Ila kiukweli kwa KLM alifika
beiii, leo kesho alikuwa anamngoja amtangazie ndoaaa. Alitamanii big day
ifikeeee, aaaaawwwwww! Akawa anangoja tuuuuu. Kwa hamu zoteee. Mama mkwe nae
anamta ndimu kama nini mwali wangu, mwali wangu mpaka rahaaa.
KLM yakamshinda akamuuliza hivi
wewe mwanamke hutamaniii ndimu ndimuuu hivi, embe mbichi, mabungo kama wanawake
wenziooo! Sisca akacheka tuuu. Akamwambia hapana mi natamani burger, pizaa.
Akamjibu ahaaaaa! Basi sawa.
Anny akaenda kwa Angy kumtaka
shauri la siri Sisca asijue, kamuapisha kabisaaa hatouza cd. Akamwambia shogaaa
mwenzio nimekwishaaa, acha tu usinicheke. Angy anamwambia nambie naweza kuwa wa
msaada kwako.
Mwenzio nina bwanaaa, japo
haeleweki kanivunja maini kabisaaaa, kasindwa kudindaa. Angy akabaki mdomo
waziiii! Haaaaaaa! Hajadinda kwako? Annn akamjibu ndio shoga mara 2 sio moja.
Angy yuko tobaaaa!
Yaani shoga nimechokaaa, sijui
natisha siku hiziii maana wanasema ukitembea sanaa na mzee anakuzeesha, sijui
nanukaaa, mpapa umevundaaa hausikii udi wala marashi ya pemba, sijuiiii. Na
kinachonitishaa huyo alieunawa mzigo mshamba ,shamba flani hivi, nawaza kama
yule pimbi kanawa, mtu classic itakuwajeee? Naogopa hata kujaribu na mtu
mwingine asosinda na yeye si nimekwishaaaa.
Angy akagunaaa mmmmmmh! Labda
ushamba wa huyo mtu umechangiaaa. Maybe alipanic au hawezi levwl zako, embu
jaribu na mtu classic uone kama itakuwa bila bila au vipi. Anny akamwambia
lakini i like this dude, he is not my style, ila imetokea tu nimemzoeaa, na
ennjoy kuwa nae vibaya mnooo. Ana mambo yake ya ajabu ajabu nayaona amazing. I
just like him a lot. He makes me wanna be myself. I dont try so hard arround
him. Mxiuuuuu!
Angy akamwambia basi kama ndo
hivo stick with him, kwani kuna tatizo? Anny akamjibu yapo mengi kwa kweliii.
Kwanza kabisaaa hajui kuvaa. Angy akamwambia unamuelekeza tu, sometime
unamnunulia wewe, mbona inarekebishika tu hio. Baba Melissa mnamkumbuka enzi
zake, sahivi wanakula wengine jasho langu, dunia hiii. Unamfanyia shopping kama
umeamua hio sio issue. Nguo sio mwili au ngozi useme hawezi kubadilika. Maybe
kama ana bad genes inaweza kuwa issue.
Anny akamwambi maneno kuntuuu
hayooo, sikuwaza kabisaaa, lakini hili la kutokudinda inakuwajeee? Angy
akamwambia kama ingekuwa mimi ningejitahidi tu. Manake ushajua tatizo panic,
basi kwanza unamwambia tuwe marafiki tu, kumuondoa kile kimuhe muhe cha mechi,
siku hajatarajia kabisaaa, unatengeneza mazingiraaa, mbona tadindaaa tu. Na
mazingira yenyewe sio ya mechi kaliii, maandalizi nini, mazingira tu ya
maongezi wawili, unampa mistari ya kimaosha na kumelewa, ishu moja inaanzisha
ingine, mara umemlalia, unampa mate atadindaa tuuuu. Hahahaaaaa!
Anny akasema pambe sanaaa hio.
Nitaifanyia kazi ila Sisca usimwambie. Angy akasema walaaa simwambiii, naona
KLM anakazana kumtia mimba, ndoa hatangazi yu
E nae anamuweza mwenyeweee!
Hahaahaaaa! Wakachekaa.
Anny akamcheki Mangi, kumjulia
hali na nini, Mangi anajitutumua kulilaumu tumbo kuomba rematch. Anny
akamwambia lets just be friends, tumejuana mda mfupi sanaa, tuwe tu marafiki wa
kawaida. Mmmmmmh! Mangi kilimuuma kurudishwa kwenye frendship zone sikidogooo.
Akavumilia tu atafanyajeee.
Basi siku hio Mangi akamuaga
ananeda Zanzibar hide away Nungwi, pesa ndefuuu. Anny akamwambia nichukulie
chumba na mimi nikusindikize. Mangi anakufa na tai shingoni chumba cha nini
tulale wote tuuu. Akamwambia aaah rafiki acha zako we nichukulie na mimi. Mangi
akagomaaa akadai hela hanaaa.
Anny akamwambia basi sawa nakuja
kwenye humba chako ila dont try anything, we are friends. Mangi akamwambia mimi
kama kawaida yangu ngamia wa maoneshoo tu, sina effect. Mmmmmmh!
Wakaenda Zanzibar, hide away
nungwi pambe sanaaa. Anny akawa kajiachia anaoglea tu, Mangi yupo kazinii.
Jioni katoka kazini jua linazama kamkuta, kajilazaa kwenye zile beach beds,
wakaanza kupiga story. Hapo yupo na bikini tupuuu.
Basi story za maishaa, mama yao
wa kambo alivokuwa anawatuma shamba afu mwanae anabaki nyumbani. Jinsi
alivokuwa nasoma kwa uchungu sanaaa. Jinsi kaka yake alivokuja mjini akawa
dereva wa ubalozi wa denmark na kumsomeshaa. So many tjings ambazo hakuzijuaaa.
Jua likazama kigizaa kikaanza,
anny akaenda kujibanza kwa Mangi, madai anaogopa chunusi, baharini paleeeee.
Sasa Mangi story zimemnogeaa, ana hamu aendelee kumsimulia , manake akawa
kashaanza kumzoea. Anny nae anamsimulia siku ya kwanza kumuona alisema kaka
mzuri, yule ila mshamba mshambaaa. Hahaaaaa! Mangi akamwambia kwa hio mimi
mshamba? Anny akajibu kidogo sio sanaaa. Wakachekaaa.
Basi Mangi akawa anamwambia siku
ya kwanza kumuona alijua mmarkani eti, maana alikuwa kavaa hills ndefu, ananuki
vizuriii, hadi akauliza dada yule nani, akaambiwa mke wa Dady akae mbali, kila
akijitahidi kumsahau anashindwaaa. Kila akijitahidi kumsahau anashindwaaaa.
Basi Anny akaanza kumuwekea mguu,
sasa si tupo wote hapaaa, marafiki wenyewee, anampapasa papasa, dreams are
valid ujue anamwambia Mangi, umeona the gods delivered me to you kwenye bikini.
Anampapasa pasa hapo.
Mangi akaona sas huu uboyaaa, akajaribu
kumpa mateee, akapoelewa vizuri tu, mate mate, katikati Anny anamuuliza
kimahaba, rafiki vipi tenaaa. Ndo anamtia mangi mzuka mbayaaaa, huyu hapa
kadindaa ni hatariiii. Anny akataka aingilie shoo aicontrol yeye akasema
hakawii kubanwa tumbo huyu ngoja nimuacheee.
Sasa full mipapasanooo, Anny yeye
anatumia nguvu kidogo na technic za hali ya juu kama kumsukuma mlevii, anasiki
mani mkono upo kwenye bikini. Akasema leoooo. Mambo yameivaaa. Mangi anamwambia
twende chumbaniii, Anny akamjibu hapa hapa. Mangi hakutaka mjadala zaidiii,
kaipindua tu ile bikiniiikashusha bukta kala mzigoooo.
Tofauti alivotegemea he will bust
quick, Mangi alilast, weeeeeeeeeeeee, mpaka akaenjoy. Kuja kumaliza hoiiii.
Wakajilaza kwanza pale pale si kwa shughuli ya Mangiii. Anny kiranga chake si
akamkalia mangi kimchezo mchezo. Mangi kadinda tenaaa kampa kingine cha kukaaa,
hakuna kuvua bikini wala nini mwendo wa kupachua tuuuuu. Anny akawa ana hana
hamu na Mangi.
Wakahamia chumbaniiii. Mangi kala
mzigoooo. Usiku anashangaa Anny anaguswa guswa mzigo unatakiwa. Mangi nuksiiii
sanaaaa! Hana hamu naeee. Alfajiri mzigo tenaaaaa. Akawa hana hamu na mangi
kabisaaa. Akashukuru walibook siku moja kesho wanarudiii.
Si kwa kichapo kileee. Mani hapo
confidence level 200% Anny kufika mjini ikabidi anywe diclofenac.
Huku kwa Angy mwaname anamwambia
mummy i have a boyfriend! Haaaaaa! We mwana weeee! Akamwambia ndio. Akawa
hajampatilizaaa. Siku ingine akamwambia ujue Ty hajaja shule leo anaumwa can we
go to see him? Mmmh! Akamujliza who is TY akamwambia my Boyfriend. Khaaaaaaa!
Akamuuliza why do you think Ty is
your boyfriend? Akamwambia one day we learned face painting, teacher said we
should paint practise painting people. Every body didnt want me to paint them,
my fellows were painting their friends and i was alone, i felt like crying.
Then Ty sat on my space and said i can paint his face anyway i want.
Then i didnt paint him well, i
was scared he will yell at me, but he said it is beautiful and i am a good
painter. Mmmmmmh! Mama mtu akawaza makubwaaa! Akamtega tu so he is your
boyfriend because he let you paint his face
Yes! And he always come to say hi
to me on break, and gave me a flower one day, invited me to his birthday,
showed me his daddy! Mmmmh! Mama mtu akazidi kuona majangaaaa! Akamuuliza which
grade is Ty akawambia grade 1, wakati Mellisa yupo senior nursery. Akabaki tu
katoa machooo!
Sometimes the only way you can
win is through losing!
Mangi ikafika ijumaa saa 9
anamwambia Anny nipo parking hapaaaaa! Mmmmmmh! Anny akamwambia subiri mda wa
kazi mwisho saa 11. Kazunguke urudi. Akasema sina pa kuzunguka nakungoja hapa
hapa. We fanya kaziii.
Akatoka saa 10, hao wakachukua
boti mpaka zbar. Basi Mangi anajifanya kidume ndo yeye njia nzimaaa. Anny
anamuangalia anasema leo wewe usipoimba haleluyaaa kuu, mimi sio Anny wala
sitokei Tanga. Mangi anajishebeduaaa, diclofenac umemeza lakini, usije kunifia
room ukaniachia murdder case. Hahahahaaaa! Annny anasonyaje kimya kimyaaaa.
Chezea kupoteza mechi ya kwanza.
Wamefika Zbar Mangi anamwa,bia
dreva tax, pitia pharmacy kidogooo. Akanunua diclofenac akampa Anny!
Hahahaaaaa! Anny akajisemea ungejua nilichokuandalia hizi dawa utazinywa wewe
leo. Wamefika Anny anamwambia ngoja nikaogeleee. Mangi anasema utaogelea
baadae, madai yake nyege zisha mbanaaa sanaaa. Lo! Mangi huyu vipi jamaniiiii!
Akamwambia usinihribie fomesheni, acha nika swim kidogo. Basi Mangi anapiga
push up eti ana pashaaa. Aiiiiiii. Anny akamwambia wewe maliza nguvu afu uje
ujambe jambe kitandani. Hahaaaaa
Akaenda kuswim, akatuliza akili
na kujirelax, afu akamrudia Mangi kitandaniii. Mangi wa sahivi mbabeeee,
anamdakia mlangoniii, kumshika tu keshadindaaa! Makubwaaaa, kufika Anny
akamwambia kaoge kwanzaa, maana ibada nazotaka kukufanyia zinahutaji usafi. Na
ujisugue hilo dusheee. Mangi kusikia jisugue dushee akajua hii koniiii, hii
akawahi bafuni kwa mbwebwe. Anaoga kadinda jamaniiii. Akamuita Anny njoo
unisugue mgongo sijifikii! Loooh! Ili amuone tu kadindaaa. Chaaaa!
Akajitia kumvutia kwenye shawa,
Anny akamchomoka, kimoyomoyo anasema nani akupe ushindi wa mezaniii. Akawa kaka
kitandani. Mangi kuja na maji yake kajirusha kitandaniiii, Mangi naee kwa
mbwembwe. Anny akamdakaa juu, hajampa mate wala nini kamuanza na sikio, vile
vile alivosema Sensei. Mangi anahaaaa! Anny anamuuliza nikupunguzie dozii?
Mangi hana analolisemaaa, akaja kumnyonya chuchu design anazingata ngata, Mangi
anadataaa, Akashuka kitovuniii, Pale ulimi tu hamna kujaza mimate, Mangi
akipiga mahesabu ya safari inakoelekea raha ndo hizo na hajafikaa eneo la
tukio, anajifunga goli la kisigno mwenyeweee.
Kufika pale Mangi ka cremu
procedure, anashangaa ulimi tu, stroke ya kwanza kama shoti ya umeme, ya pili,
network inakata kata, 3,4,5,6 Akamuwekea ulimi kwenye kichwa anachezesha
chezeshaaaa kwa spidiiii, Mangi akapaaaaa mbingu za 8, akajua anakuja, he just
had to bust. Yupo nakujaaaaa, Anny alivoona mtu anageuza machoooni akamshika
ile sehemu ya reflexxxx! Mangi akarudi dunianiiii, anashangaa kadinda badooo,
Anny anamuuliza uje wapiiii, tuliaaaa, utakuja nitavoamua mimi kiboko yako,
nani kiboko ya Anny? Mangi anaongea kichagaaaa. Akawa haelewi yani kama
kakumbwa jini maitiiii, maana hakojoi afu ana vibrate kwa raha. Mxiuuuuuuuuuuu!
Anny akamkaliaaaa, Mangi akajua
uwanja wa nyumbani anataka kusmamia show, Anny akabadili formation akainuka
juu, afu anaikatikia juu juu. Yaani juu kwa juu hashuki chini, Mangi anadataaa,
analiaaa akataka kumshusha chini kwa nguvi ili apumue kidogooo. Anny amashika
mikono style ya kioo kioo na kumblock Mangi hana balance anatapa tapaaaa.
Manake kalala kifudi fudi mikono blocked so kujinyanyua hawezi, Anny kamkalia
huku kachuchumaaa afu anaikatikia ju kwa juu kwa juu mamae. Mangi anaongea
kichagaaaa tu. Ikibadi aoleweee asikilizie utamuu tu, maana ujanja hanaaa! Basi
anamuomba anny naomba niruhusuuu nikojoeee, nitakupa nyumbaaa, nitakubadilishia
gari, sijui kuna heli gani inaingia lini nitakupa yoteeee. Anny akashuka chini
na kumuinua Mangi sasa ndo kupata ahueni, huku anakojoa Anny anamtekenya
miguuuu! Mangi ikabidi tu apigeee ukungaaaa! Baadae hoiiiiiii.
Anny anamwambia 3 bila hizooooo,
nakudai nyumba, gari na helaaaaa! Andika kwenye diary! Hahahaaaaa! Mangi macho
mekunduuuuu! Si kwa kufungwa kizembe namna ileeee.. anahemaaa tuuuuu! Hana la
kuongeaaaaa. Akajizoa zoa akaenda kujimwagia majiiiii. Akarudi anafungu pochi.
Anny anamuuliza vipi tena kwenye pochi yangu unatafuta Viagra au? Nilisahau
kukuagizia! Hahahaaaaaaaaa! Mangi yupo serious! Akauliza zile diclofenac ziko
wapi! Hahaaaa! Anny akamwambia zipu ya pembeni akiba haiozi zimekufaa eeeh!
Hahaaaa!
Akameza mbili, na maji chupa
nzimaaa loooh! Basi Anny kamsimamia nyumaaa, poleee, poleeee sanaaaa baby wangu
nitakupunguzia doziiii. Hahahaaaa! Akashangaa Mangi kamvutia kitandani, Ambush
hiooo. Kamlaza upande akamba wote wako upande upandee. Akaanza kumchezea sikio,
style ile ile kumbe Mangi fast learner, mkuki kwa nguruwe kwa banadamu
mchunguuu, Anny hoiii, huku anamchezea chuchuuuu, mkono mwingine upo ikulu,
miguu inapapasa mapajaa. Yani mwili mzima wa Mangi unafanya kaziiii
simultaneous, kwa division of labour, vidole vya miguu ya mangi vinamtekenya
Anny visiginooo. Anny hoiiiii. Mangi haongei vitendo tuuuuu, Anny akasalimu
amri akaomba duduuuuu! Mangi akamwambia dudu nitakupa navoamua mimk, tulia dozi
ikuingiee unaongea sanaa we mwanamkeeee.
Anny akamgeuza Chalii, mwendo ule
ule viunho vyote vinafanya kazi, tembeza ulimi kuanzia shingoniii, kwenye
chuchu vidole vinacheza masikioni na nyweleeee, Akashuka mpaka ikuluuu, Anny
analia sasa, hakuna kupaka mate, ulimi tuuuu, afu ana deal na sehemu mojaaa
tuuuuu. Anny anamwambia Mangii nakipendaa, nipe duduuuu, nitakuzalia mtotooo,
watoto watatu. Mangi kusikia mtoto tenaaa akasema hapa hapaa nehotion bargain
imefika pake,
Akamshukia kibabeeee, kifo cha
mende tuuu, Anny kuingia tu Mangi akambana na miguuu, duuuuh ahueniiiii,
kidogooo. Akawa anajitibia kwanzaaa, kupata ahueni, ndo kukumbuka kumbe ile
ligi ya ubingwaa, akajisemea tu, hapa nimebakisha silaha moja tuuuuu, sina budi
kuitumia, nikilegea Mangi atafanya ubabe kunipindua kama kambale wakati
nahitaji diclofenac 3 tayariii.
Akambaniiiii K, Mangi akaachia
ukungaaa, akaanza kumbania kwa hesabu sasa, bana achia, bana achia, bana chia,
banaaaaa, achiaaaaa kwa formula ileeee! Mangi kwisha habari yakeeee, wazunguuu
hawa hapaaaaaaaa! Akasema tu faccccck! Anny akacheka tu. Akaenda nae kumeza
diclofenac mbili kwanzaaaa. Mangi anamwambia you cheated! Second round was all
mine! Anny anamwambia CHEATING IMOOOO. HAHAAAAHHAHAAAA, Mangi akasema basi hii
DROOOO.
Mangi anajiongelesha after this
sex, sidhani itatokea nikaenjoy sex tena hiviiii. Bora tu nikuoe unizalie wale
watoto wa 3 ulio niahidiiii. Hahaaa! Anny akamwambia nyumba, gari, na hizo
helaaa sijasahu. Wakacheka tuuuuu.
Huku baba Melissa akawa anawahi
kurudiii, anamwambia mkewe nimemtafuta Mungu nimemuonaaaa, kumbe yule mwanamke
alikuwa ananifanyia madawaaa. Looooh! Angy anamwambia sawaaa, heri yako
umempata Mungu leo, mimi Mungu nishamuona kitambooo. Akianza kumuelezea umuhimu
wa ndoa, na kuheshimu ndoa anamwambia that is too late! Tell that to our babies
in the dustbin na mchepuko wakoo unahitaji kweli huo ushauri. Anakuwa mdogoooo.
Basi kadri anavosali na kuomba angundua ni kiasi gani alivomtesa mkeweeee miaka
kwa miakaaaa.
Akimuomba msamaha anamwambia kwa
mambo tuliofanyiana it will take more than few words to set the record
straight. Just because you said some few lines everything is not okay.
Anajitahidi, Mungu anasemehe mke wangu, sio tena mama melissa. Looooh
Anajitahidiii kujiongezaaa, mwenzie barafuuuuu.
Huku Captain anapanda dau,
anamwambia i want to marry you formally, nikuchukue kwenu kwa heshima kabisaaa,
nilipe mahariii, niithibitishie jamii you the woman of my lifeee. I dont want
to be the guy in the shadows! I want to respect you and make you my wife
infront ofmy God and everyone esle. Give me the chance to love you the way you
deserve.
We will start our home, with
Melissa, Ty and me, Mungu akitujalia we may have other children together. But i
promise i will be the best father and husband ever seen in this world. Please
say yes! I cant wait anylonger, we are old now. It is ether now or never.
Akasema Yeeeeeeesssss! I thought
you will never ask. Yeees anytimeee. Wakawa wanapanga harusi, Angy akamwambia
twende tu bomani, tukafunge na watu wa familia basi. Wakakubaliana. Babu Ty
akamtafutia mama Ty shule nje ili wakioana tu aondokeee.
Akawa hajarudi kwake kama mwezi
hiviii. Kila siku baba Melissa anapiga kumuomba arudiiii. Mpaka paroko
akampigia aende wakayaongeee. Siku aliporudi kafurahiii, akajua Mungu kamsikia,
kufika akamwambia mi nimekuja tu kukuomba one last favor. Yupo anything for you
my wife. Akamwambia naomba Divorce, sichukui chochote. Just my divorce!
Haaaaaaaa!
Akamwambia nisameheee, kapiga
magoti analiaaa, nisamehee, nakupenda sanaa mke wangu, nisameheeeee.
Pleaseeeeee! Nipo tayari kwa lolote lakini tusiachaneeee. Nimekuja kugundua all
my happies memories are with you. I want to spend the rest of my life is with
youuuu.
Akamwambia TOO LATE. You had so
many chances to forgive and move on but you didnt, Baba Melissa anajielezeaaa,
sio hivo nililogwaaaa! Shetani tu. Akamwambia all our marriage you wre cheating
on me! Anajitetea aliniroga, haya baada ya kuumwa ukatafuta gf mpyaa why
hukurudi kwangu, michoziii tuuu, hana la kusemaaa, ukamrudia tenaa yule bibie w
zamani, All this while i was here sitting waiting in vain, for you to just take
a second look on me. Anaomba msamahaaa. Maneno yote anajimalizaaa. Angy
akamwambia IT IS TOO LATE! Tumefikia POINT OF NO RETURN. Wewe nipe tu hio
Divorce, i am marrying Captain soon. He is everything you never was.
Akamwambia hiii ndoa ya kanisani
divorce NEVER. Nakuombea kwa Mungu akupe moyo wa kunisamehe mumeo wa halali.
Mama Melisaa kesho akaja kuchukua kila kitu chake na mtoto. Baba Melissa
akamvizia Captain njiani eti anataka kumpigaaa! Captain nae akadindaa, baba
Melissa anachimba mikwaraaa, achana na mke wanguuu, nitamrudishaaaa.
Unaniharibia ndoa yangu. Captain akamwambia mimi sio mjinga kama wewe, yaani
namtreat kama malaikaaa, pole sanaaaaa. Umeuza nyumba yako Umesafiri kwenda
South kuchimba dhahabu ukaona gazetini alienunua nyumba yako ndo ana mgodi
mkubwa sanaa Africa, na mgodi wenyewe hapo hapo kwako ulipopauza, i feel you ,
man, believe me nimesafiri sanaa, dunia nimeiona ila kupata mwanamke wa vile si
rahisi hata kidogooo. Simuachiii. Hata usipompa talaka namuoa kienyeji hivi
hivi. Baba Melissa vikamchomaaa, akajiondokeaaa.
Siku hio mama Melissa amekaa
ofisini akaletewa karatsi na EMS, Kufungua akakuta hati za nyumba, viwanja,
mashamba yao, mwsho kabisaa DIVORCE PAPERS, kukagua amesha sainiiiii. Na barua
fupi tu, nimeondoka kwenda kuhubiri injili na wazungu flani, Maisha yangu
yaliyobaki nimeamua kumtumikia Munguuuu. Sitaoa tenaa. Mali zikusaidie kumlea
Melissa. As much as i hate to admit i dont deserve you, Captain will be a
better father to Melissa than i ever was. I wish you a happily married life.
Just dont let Melissa forget me. If God wishes i will be touch from time to
time. Machoziiii tu yakamtokaaaa.
KLM akawa imepita wiki 3 kimyaaa,
hampigii simu wala meseji. Sisca akaaanza ku,pigia, ikapokelewa akawa anaongea
fresh tuuuu. Hivo hivo kila siku anaongea freshhh, sema ndo haji wala nini.
Sisca akamuuliza are we over
maybe just friends? Roho inamtoka si kidogooo. KLM akamwambia my offer is tushi
wote, kwangu, uwe mke wangu ila harusi hamnaaa. I will be the best father there
is, always available for you and the kids, hard working hutopungukiwa kituuuu,
will respect you as my woman alwaysssss.
And most of all nataka tuanzishe
familia ASAP. Umri ushaendaaa, so familia ni muhimu kuliko muhimuuuuu. Kama uko
tayari kwa hivi vichache njoo nyumbani uje na vitu vyako vyoteee. Otherwise
nakutakia maisha memaaa.
Mmmmmh! Akahamia kwa KLM
jumlaaaa. Basi huko kutafuta mtoto ndo KLM akawa obssesed njia hii mtoto
anaingiaa fastaa. Ukishadoo weka miguu juu nayo inasaidiaaa. Loo jamaniiii.
Akaanza kunenepaaa, kupima kitu
na box, basi sio kudekezwa na KLM, Clinic lazima ampeleke wamesemajeee, yaani
alikwa more than committed.
Akiwa hajawapasha mashotii Anny
akamtumia sms, hapa nilipo nina Mimba ya mchagaaaa! Nimedataajeeeeeee!
Hatukupangaaaa! Ile Zanzibar nilipitisha kuchoma sindanooo.
THE END OF ONE THING IS THE
BEGGINING OF ANOTHER!!
Basi Sisca akamwambia, i am
pregnant tooo! Anny akamwambia i am happy for you. Harusi lini? Sisca akmwambia
shogaaaa hamna harusi, we just gonna have a baby! Isnt it wonderful! Anny
akamwambia it is not! You deserve better, you saved yourself so much to deserve
this! Atleast i got to wear the white dress once. Not that ina cha maana, just
that every ladies dream is to wear it atlest ones.
Sikia Sisca usikubali, tufosi
kingi, yeye si hataki harusi? Si tunakufanyia bridal shower, na sendoff afu
kama mbabe asifanye harusii. Tunaalika mji mzimaa. Hahahaaaaa! Dont let him
destroy your dreams easily, put up a fight unamlelea lea sanaaa. Ashakugeuzaaa
godorooo kukulala kichwani. Its is not fare.
Sisca akmwambia umri wenyewe huu,
bora hata nina huyo mwanaume, atleast im not gonna be a single mother on the
bright side. Ill have a family! Not quite as i planned but it is something
better than nothing. Anny aksemaa hapo kwenye usinhle mother ndo
kutaponihusuuuu. Hahaaaaaa! Wakachekaaaa.
Anny akaja kumwambia Mangi, bwana
kuna blander tulifanyaa, imejibuuuu. Mangi kafurahiiii, akamwambia nataka kuja
kukuoa. Anny akamwambia sina uhakika, ujue nishaolewaga nikashindwa, mara pili
ikawa nusra, nusra almanusraaa, niolewe tenaaa. Sasa hivi im not so sureee.
Cant we just have this baby! Out of wedlock!
Akamwambia sikia najua unasitaaa,
ila kuna leo na keshooo, sis wachaga bwanaa. Siku sipo, watakunyanganya mali na
mtoto ubakie unashangaaa. Mi sitaki mwanangu aende kuomba jasho langu kwa nguvu
zangu mburaaaaaahhhhhh! Hapa harusi lazimaaa.
Anny anamwambia mimi im not comfortable,
wewe hujawahi kuoa and all, watu wataongea sanaaa, anamuoa mtalaka, mara
alichumbiwa na babu. I am not suree i can handle all that pressure na mimba
hii. !Mangi akamwambia basi tufunge ndoa ya wawili tu bomaniiii.
Anny akamwambia Mangi, tuishiii
tu baby, kama Mungu kapanga kuishi tutabariki ndoa mbele kwa mbele but another
wedding no baby! Not me again. Najua hapa wataongea kaoa ila kuja kunitoa ndani
kwako hawaweziii. Hahahaaaa! Mangi akakubali kishingo upandeeee.
Basi wakawa close na Sisca wote
na vitumbooo. Angy anawacheka tu, hapo anakaa na captain karelax, ashafunga
ndoa yake ya beach kwa ushawishi wa Anny ile idea yake. The vows are just wow!
Kila mtu kamuandikia mwenzie vows zake! So magnificient. Wakaenda na bomaniiii.
Akawa ana rahaaaa.
Captain mstaarabu, na wanae
wawili, na yule Ty kamlea vizuri, yaniii akajutia mda aliopoteza na yule
boyaaa. Captain anarudi kula mchanaaa, wanafanya home work wote na watoto wao,
anawasimilia story, wanasali wote siku ingine anapikaaa. They were homeee.
Mpaka akawa anaboa Angy, akienda
meeting na mashosti kidogooo nawahi kumuandalia mume wanguuu! Shogaaaaa! Mumeo
huyo mume wa kwanzaaa! Tufanye hiki siku flani, nina plans na mume wanguu.
Loooo! Mume huyo vepeeeeeeeee! Ndo kapata mtu wa kumpenda akapendekaaa, basi
ndo inakuwa addiction ya penziii.
Akaanza kuumwa umwaaa, kwenda
hospital mimbaaa, ya twinsss. Akafurahii watoto wao na shoga zake
watalinganaaa. Akawaambia wakawa wanakula wote embeee. Kila mtu kamimbikaaaa.
Ikatokea complication kwa Anny, akaambiwa mimba ya mapacha , ila kutokana na
kizazi hakina nguvuuuu, kwa mambo yake yaleee, itabidi ashonweee huko kw bibi,
miezi tisaaa. Kuzaa operation, afu ndo atafumuliwa, na mda wote bedrest.
Akawa anaogopaaaa anawazaa, isije
kutoka jamani twins wake. Ila captain was so supportive, mda wote yupo bega kwa
bega, anamtia moyo hawawezi kutoka, usiji stress Mungu mkubwaaaaa.
Ikawa wakikaa wanagombania
majinaaa. Jina hili nimeliwahi. Anny nikizaa wa kiume nachukua hilo la Tyron,
nikizaa wa kike nachukua Melissa. Angy na mimi Tyron nalitaka, nikipata wote
wakiume inakuwa Tyron na Tyrese. Hahaaaa! Sisca yupo mimi hata sichagui jina,
asipopewa jina la mama mkwe sijuiii. Akitoka wa kike lazima amuite jina mama
yake Tatu Shabani! Hahaaaa! Anny yupo hio si namba jamaniii! Hahaaaaa!
Wakawa wanamstress Sisca wafanye
ile bridal shower bila hata harusiii. Akawazaa akana kwa KLM sio sehemu ya
kubeep anaweza hata kumsusa mtoto kisa bridal shower. Hahaaaa! Akawa ashakubai
harusibtena maisha haya yeye basi tenaaa.
Siku ya siku mimba ina miezi 3,
KLM anamwambia nataka niletemshenga kwenu nilipe mahari, hii safari ndefu, mzee
wako hashindwi kunisusia maiti. Uzuri wa mahari, ukinitibua nadai changu
choote! Hahahaaaa! Na faini juu.
Kina Anny wakasema sasa ile
bridal shower ndo mwakeee. !Mila zitaturuhusuuuu, si ushaolewa kimilaaa.
Loooooh! Hahahaaaa! Wakaenda kuposa, posa ikapokelewa mahari Milioni 6.
Tobaaaaa! Sisca akasemambasi tena KLM hatoi. Wakaaga akawalaumu sanaa wazazi
wake si kwa mahari ileee! Akaambiwa ashakutia mimba katuchafulia ukoo, faini tu
mil 2, bado mkaja wa mama, mwenyewe ulizaliwa njiti kwa hio mkaja haushuki
milioni, mama yako alikandwa maji mengi sanaaa. Za kukusomeshaaa, bado faini ya
wajombaaa. Milioni 6 halali kabisaaa.
Akajuuta kuwafahamuu. Hawezi
basiiiii apunguze tumkopeshe mke, kama mke anakopeshwaaa. Atatumalizia kidogo
kidogo. Washenga wenyewe wakawa wanalalamika si kwa milioni 6. Mke mwenyewe
bibi. Hahahaaaa!
Basi anamwambia walipe 1 million
tu, zingine potezea, KLM akamuuliza kwa hio nikukopeee? Hahahaaa! Sisca
ananyamaza. Basi nikuchangie Milion 3. KLM akamjibu ili uje seme ulijioa kwa
hela zako. Siku waliopangiwa kimyaaa hawakurudi. Sisca akajua basi tenaaa.
Akawa anataka arudi zake kwake kwa KLM jumapili baada ya jmosi kuchomeshwa mahindi.
Asubuhi akamwambia usirudi nakuja
hukoo na bi mkubwa na mjombaa. Akawa anawaza KLM kwa ujeuri wake atatoa hata
laki 5 azingue. Tumbo jotooo. Sababu jana walipika afu hawakuja, baba ake
akaema hamna kazi mara mbili, hatupiki chochote leo. Wala bia sinunui. Waje
wasije watajijua.
Saa kumi wakaja watu kibaooo.
Mjomba mtu ndo mshengaaa. Mama Sisca akaona soo akaenda kukopa bia kwa Mangi,
maana ilishaanza kuwa aibu mjue. Bia moja mojaa. Wakaanza kushusha kreti,
kwenye gari hatariiiii. Wanajisevia wanawapa na majirani na nini sio ishu. Watu
walikoga bia, mi Jackdaniels red lebel za kutosha, black lebel za kutoshaaa.
Sisca akaitwa unamjua huyu? Ndio
namjua? Nani? Anaona aibu, mpenzi wangu! Akaambiwa haya nendaa. Mshenga aaknza
ooh tupunguzieni kidogooo, tunataka kuoa, hali ya maisha. Mzee akawaambia
haipungui labda mpungue niwakopeshe mke, kama mke anakopeshwaaa! Khaaaaaa!
Maneno gani tena hayoooo mkwe.
Wakauliza mahari bei gani?
Milioni 6! Anapokea nani? Baba mzazi. Wakashusha kimalborooo. Baba akawauliza mnapunguza
ngapi tuandikishane? Wakamwambia wewe pokea tutakapoishia ndo hapo hapo.
Akasema sawa.
Burungutu 6 cash, million sita
cash! Watu wananongonaaaa. Tumeeeee! Wamemalizaaa! Si kwa mahari ileee. Baba
akarudisha million! Wakamuulia vipi mzee? Oooooh mahari haimalizwi, lazima
tuwadai. Lazimaibaki tunawadai, mkimaliza yote kama tumeuuza mtoto. Mjomba
akagomaa, akachomoa 10,000 tu, basi mtatudai hii 10,000.
Basi watu vifijooo, akaitwa
akavishwa peteee. Picha na nini, ndo ndoa hivoooooo. Akawa karudi kakwe. Kina
Anny wanamwambia sasa ile bridal shower vipi? Sisca anawaambia mnataka nidaiwe
milion 6 za watu. Thubutuuuuu! Yani hapa nimekuwa nanadabu hatariii, si kwa
mahari ile. Hahaaaaa!
Siku hio ana hili wala lile
anamwambia twende tukaandikishe harusi kanisani? Akauliza eeeeh! Hujanisikia
au? Aaaasijaelewa! Akamwambia kwa mahari ya milioni 6 ulitegemea sitokufung
mpaka kifo kitutenganishe? Hahahahaaa! Sisca akawa hajui yupo serious au
anatania. Akajibu hayaaaa! Akawa haamini.
Akamwambia chagua tarehe mwezi
huu huu, sitaki mimba ifike miezi 5. Sisca akataja tu anajua mizinguooo.
Jumamosi wkaenda akaandikisha kweli parokia yao. Akawa haamini, akaenda
kanisani tu asikie tangazo la kwanza linasomwaa! Akaenda na kin Anny na Angy na
mitumbo yao. Wakaangaliana. Almanusra washangilie katikati ya misaa.
Anny mamashughuli hatuna mda
kabisaa, siku zimeishaa inabidi gauni, sijui nini. Vikao tutakaa lini? Akaensa
kuwaambia kwao wakanuna sendoff gani ndani ya mwezi jamanii. Ila akawaambia
yeye kama yeye kajiandaa, watakapoishia ataongezea. Baba mtu yupo bora hata ile
m6 ipo sio kwa makusudi hayaaaa.
KLM yeye ana watu wake kwama 30
hivi wampa support ya nguvuu,,vijana wa mjini, aliokusanya mama yake niongezaa
tu.
Ilivobaji wiki Sisca akamuuliza
imekywaje umebadili mawazo juu ya harusi ndo kusema m6 zimekuuma sanaa au?
Hahaaa! Manake nishakata tamaa ujue, yaani ulijua kuninyima rahaaaaa si kidogo.
KLM akamwambia ulijua kweli
nakuweka suriaa, tunazaa wana haramu? Hahahaa! Hamnaaa! Nisingeweza kufanya
hivo. Mimi i wanted to be certain kama unataka ndoa na mimi au harusiiii.
Wanawake wengi mnapenda harusiiii, ndoa hampendiii, nikaamua kukupima je harusi
isipokuwepo utakuwa mtu wa aina gani? Uzuri hukubadilikaaa. Nibgekwambia
nitakuoa kwa mahari ya m6, harusi kubwa na hivi vyote ungejinyenyekeza si
kidogo ili upate hio harusiii. A woman who asks for nothing deserves
everything. And you are that woman. Think beyond the wedding, think us! Harusi
ni kitu cha kupitaaa tuuu.
Wanawake wengi mliosomaa kidogo
ningewaambia nizalie afu basi wasingekubali, ila hao hao ningewaambia nitakuoa
kwa m6, harusi ya 50m hakuna amabe angekataa, wakati ni mtu yule yule
naeombaaa. You deserve this baby, enjoy your day ikifikaaa.
Ila ukae ukijua siku zote mimi ni
yule yule KLM, ukinizingua UTAISOMA NAMBA!










